Kwa wanawake tu: Je ni njia gani nzuri kusafisha sehemu ya siri?

Khaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
So yako mawili kwenye uchi wa mwanamke mkuu?
Akikujibu umuulize pia hilo tundu la kukojolea lipo upande gani wa Papuchi humo ndichi?na lina ukubwa kulinganisha na lile tamu la ku'Thrust dushe?
 
Ha ha ngoja kwanza niendelee kusoma comment
 

Vizuri, sikumbuki kusema vidole vya mwenza wangu vipite huko, mie nimesema usiingize kidole chako au cha yeyote huko.

Tafadhali tusaidie hiyo elimu ya usafi unayoifahamu ili tuache kulishana pumba hapa.

Maelezo yangu kwa kifupi yanasema hivi; uke una mechanism yake ya kujisafisha yenyewe kwa ndani, vidole havisafishi bali vinaleta usumbufu usiokuwa wa lazima huko ambao unapelekea kuharibu PH ya mahala husika. Je wewe ni mwanamke? Kama sio ushawahi ku-bake cake kwa oven au jiko la mkaa, swali, ninini kinatokea unapoifunua cake yako mara kwa mara kuiangalia kama imeivaa, kama umewahi fanya hivyo utakuwa unafahamu matokeo yake, huo mfano unafanana na mtu anayesafisha uke kwa kuingiza vidole ndani.

Btw, nikuulize ninini exactly ambacho unadhani utakuwa unakisafisha/toa huko ndani? Je vidole vyako kama unaamini ni kweli vinasafisha Vinaweza kuingia kufika umbali gani ili usafishe kote? Je uke unaanzia wapi na kuishia wapi kiasi uweze kusafisha kote? Twende......
 
binti kiziwi unanionea kwa maswali yako hayo kwanza mie ni mwanaume kwahiyo hayo maswali mie mgeni πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
Lakini maswali yangu yalijikita kwenye kuchagiza ile falsafa ya kukatazia kwamba kusitiwe vidole wakati wa kujisafisha wakati uume umeaminiwa uingie hamna shida
Wakati wanaume wapima oil wanaingiza vidole vyao bado Mwenyezi uke wakati wa kuswafi yeye asitie chake
nakadhalika
Binafsi sina ujuzi wowote juu ya namna wanawake wanatakiwa kuosha K zao lakini napingana na swala la uoshaji wa uke bila kutia vidole
Asante
 
Inajisafisha yenyewe.. ukisafisha kwa kemikali unaua bakteria ambao kazi yao ni kusafisha hiyo kitu na mwisho wake utakuta unanuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…