Kwa wanawake tu: Jinsi ya kuboresha na kufurahia tendo la ndoa


Sawa kweli mapacha unawataka[emoji23][emoji23][emoji23]

Nadhani kutakuwa na tutorial youtube ya namna ya kutengeneza chai yake sidhani kama ni kazi sana ukipata mti utashare na mimi nione km ndo huo kuna uwezekano wa ku save gharama na mda
 
Sio kwako peke ako shoga angu. Yani kama Libido ndo inakua libido haswaa. Huwa nawachekesha rfk zangu nawaambia Mbona kama kuenjoy kunazidi? au Mungu anatupa bonus kabla ya menopose
 
Sio kwako peke ako shoga angu. Yani kama Libido ndo inakua libido haswaa. Huwa nawachekesha rfk zangu nawaambia Mbona kama kuenjoy kunazidi? au Mungu anatupa bonus kabla ya menopose
Itakuwa kweli.
Mana aseeeeeh
 
Sasa kwa kazi hio ya bamia je sisi WANAUME tukitumia itakuaje??
 
Siwezi kuacha uzi upite mbele ya macho yangu hata kama ni wa wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…