fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Mnapokuwa kitandani, ni dosari zipi huwa zinawakera kiasi ambacho zinawafanya ama mvunje ndoa au kuchepuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisahau😥Ubahili.
ok,kwanza asante kwa kujibu,kwako ungependa mwanaume apige vingapi?mwanaume wa kimoja chaliii
Asante kwa kujibuUbahili.
Mimi nipo tayari uniite na unione bahili lakini vibunda vyangu na uchumi ubaki intact ili hata ukinichoka na wenzio wanaonimezea mate wakijua mi nina hela na hawajui mi bahili na wao wapate nafasi niwakule then wasanuke mi bahili wasepe and the circle continues........Men, please keep your money for yourselves....Ubahili.
Sawa.Mimi nipo tayari uniite na unione bahili lakini vibunda vyangu na uchumi ubaki intact ili hata ukinichoka na wenzio wanaonimezea mate wakijua mi nina hela na hawajui mi bahili na wao wapate nafasi niwakule then wasanuke mi bahili wasepe and the circle continues........Men, please keep your money for yourselves....
Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini.Mimi nipo tayari uniite na unione bahili lakini vibunda vyangu na uchumi ubaki intact ili hata ukinichoka na wenzio wanaonimezea mate wakijua mi nina hela na hawajui mi bahili na wao wapate nafasi niwakule then wasanuke mi bahili wasepe and the circle continues........Men, please keep your money for yourselves....
Wewe umeshughulikaje hadi aende round ya pili?mwanaume wa kimoja chaliii
Hakuna ubahili kwenye mahusiano ya kimapenzi, kinachotokea ni kwamba unataka hela za dezo wakati mwenzako ana mipango na hela zake.Ubahili.
Mkuu nashukuru umeelewa ni nn nilitaka kumaanishaBora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini.
oh kumbeHujanielewa, namaanisha up and down zile
Hawezi kuwa na dosari 😊 ndio one and onlyMnapokuwa kitandani, ni dosari zipi huwa zinawakera kiasi ambacho zinawafanya ama mvunje ndoa au kuchepuka?
Dipreee....Ubahili.