Kwa Wanawake tu...................

kwani choo ch kike hakina 2ndu la kujisaidia ......ngoja nikakiulize king'amuzi changu mi jinsia gani.
 
Makubwa kazi kwenu wenye wapenzi. ha ha ha
 
la azizi je?

naomba maana ya namba saba tafadhali...
 
Mimi ni mshamba wa mapenzi, mume wangu utasikia ananiita mama nanihiii, uongo wa kuitana hayo yote kinafiki hatuna. Ila najua wengi wanaotana hivyo ujue kuna ualakini hapo.

Muite jina lake, kama mna watoto ita kwa jina la baba Juma/Jamila etc
 

Huu naona ni usanii tu hapa ita jina mambo kwishney
 


he kumbe!!
bora mi humwita babaa naye huniita mamaa
hahaha ni hayo ttu
 


Ahsante sana kwa kunijulisha haya thats why I like this jf manake hii no 2 na 5 ndi unapendaga sana kuniita kumbe huwa unamaanisha hivieeh?! Inshaalwa natafuta mke mwingine kuanzia sasa!
 
Ahsante sana kwa kunijulisha haya thats why I like this jf manake hii no 2 na 5 ndi unapendaga sana kuniita kumbe huwa unamaanisha hivieeh?! Inshaalwa natafuta mke mwingine kuanzia sasa!

Ha ha ha Mwanaume mubaya wewe Laptop yangu iko wapi kwanza halafu hulali wewe usiku wote huu ndo unasign in kisa na mkasa
 

Samahani kuingia nisipotakiwa LAKIN:

Bora umekuwa mkweli!

Btw: Namba 7 ina maana ya M.K.W.E.R.E? Kama sio, mbona kuna ***** sawa na tukiandika ****** humu ukumbini?
 
He he mie namwita mpenzi yeye ananiita honey....nadhani ngoma draw..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…