kweli sis mipira sio kabisa.ndo raha ya kupima.ndo maana wanawake hawatulii maana hawafaidi kila mahali mipira mipira chukua mmoja pimeni afya mle raha ya dunia khaaaa
Eti babu Asprini kanambia nichague mjukuu wake, lakini kanikataza Smile eti ajamkagua bado! eti! eti! nisaidie dada AshaDii ya kweli haya! ndio maana nauza sura masaa yote bado sijaona.Tokana na kazi ya babu yenu ya kukagua.... sishangai...lol
Ila wewe hapo naomba ujieleze nielewe why umetia kambi?
nilikuwa nakataa kupima ili mipango mingine iendelee jamaayangu na ndugu zake wakanibeba wewe usipime belinda nilitamani kufa ile kusubiri majibu
wewe ni he au she?Nafanya, bila a second thought.
kumbe wewe ni She! niPM basi!Unashangaa au unanisapoti?
Lakini na mwanamme afanye sio mie peke angu.
Ukiona mwanamme ana akili hata ya kukumbuka kujipima VVU ujue kakua huyo.
Sikubali kumpoteza.
Anti!!! siku nyingi jamani, how is life?Kid sis... wapi huko wanaume wanasisitiza mpira? Hii ndio naisikia kwako aisee....
walishangaa lakini kwani wao wamepima ata?wote ni hao hao.yaani ni story ndefu kidogo.huwezi kunielewa vizuri lakini yamepitaKweli nduguzo lazima walikushangaa..majibu yalivyokuja??
Mara ya kwanza naanza hizi mambo nikajipeleka Angaza mwenye kupima 2004, ile nakaribia kuingia angaza nikakwaruza gari la mtu nikawaza mbona balaa hili. Kuingia Angaza nilikuwa natetemeka, nikapimwa na kusubiria matokeo..sasa wakati ule storii nyingi kabla ya majibu. Mdada aliyekua ananihudumia alikuwa anahubiri wee mambo ya kuishi kwa matumaini mimi nawaza +ve or -ve...du! yakatoka nipo safi...Baada ya hapo nimezoea kupima, bila kupima na marudio si-doo namtu hata kama ana helmet..
Kinadanganya tena?????
Ubaya wa kupima lazima muuze mechi
Lazima roho itoke najua
Sijawahi pima anyway
Nimeshtuka!............... yaani mkishapimana hiyo mara moja tu mnajiachia......................... tutafika kweli?Kusema Kweli ngono salama ipo really straining.. Use of rubber sababu ya malengo ya kuzuia HIV/AIDS ni muhimu saana but inaboa... Kama kweli Kid sis kuna Mwanaume anakua na hicho kipimo, naona it is for the best, mkisha pimana.... No LIMITATIONS.... Raha mwajipa wenyewe! Hivo nitapima Asap on the condition nae pia anapima...:nerd:
Jullieth,nimependa signature yako,i concur with it 100 % !!!!!Unavaa condom tu
Nani huyo Alter? Tema hapa nimchape.Wifi King... Naazima hio silaha... Kuna mtu kani boa!
huku kulikuwa KWA WANAWAKE TU! lakini naona kuna wababa wamehamia kabisaaaaaaaaaaaaaaa, wakiongozwa na babu..... tuwaeleweje? (samahani babu, unalo hiloooooooo)
haya karibuni..........................Huonagi hata kwenye kitchen party zenu mnawazuia wanaume kuingia lakini mnawaruhusu madj hata sisi tumeingia kwa staili hiyo
au mtu wa vinywaji au catering...............wewe ni dj au mpiga picha?
wewe ni dj au mpiga picha?
haya karibuni..........................