covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Kinachotuuma wanaume sio wewe kugawa nje hapana kinachoumiza ni vile mwanaume mwenzangu kuona utupu wako na kujua uzuri na udhaifu wàko wakati si mmiliki wa mali.
Sisi wanaume tukiwa faragha uwa tunapenda kumchora mwanamke maumbile yk na kumfanyia tathimini sisi wanaume hasa waume zenu tuliowaoa kwa heshima uwa tunawafichia sana madhaifu yenu ya kimaumbile maana ndio tumeshawabeba.
Sasa ninaposikia au kuona eti mjinga mwingine amekupanda isee ni km umeuza siri kwa adui yaani unasababisha mumeo adhalilike and trust me mwanaume tukiambiwa tchague kumfumania mkeo umpendae na kufa kwa kunyongwa asilimia💯 watasema bora wanyongwe.
Hii ni nature kwa viumbe wote jinsia ya kiume hawapendi kuchagia wanazotia na male wengine.
Sisi wanaume tukiwa faragha uwa tunapenda kumchora mwanamke maumbile yk na kumfanyia tathimini sisi wanaume hasa waume zenu tuliowaoa kwa heshima uwa tunawafichia sana madhaifu yenu ya kimaumbile maana ndio tumeshawabeba.
Sasa ninaposikia au kuona eti mjinga mwingine amekupanda isee ni km umeuza siri kwa adui yaani unasababisha mumeo adhalilike and trust me mwanaume tukiambiwa tchague kumfumania mkeo umpendae na kufa kwa kunyongwa asilimia💯 watasema bora wanyongwe.
Hii ni nature kwa viumbe wote jinsia ya kiume hawapendi kuchagia wanazotia na male wengine.