"Both more and less interest in sex can signal infidelity," says Dr. Oikle. If he's suddenly rebuffing your advances when he never turned you down before, he could be satisfying his sexual needs elsewhere. "While many couples experience changes in their sexual activity over time, if your spouse is never interested in having sex anymore, you should consider the possibility that he's having an affair. His mistress may be giving him something sexually that he isn't getting at home, or because it's secret and new, it's more exciting, so he puts all his energy into sex with her," says DeLorenzo. Meanwhile, a sudden increase in his sexual appetite could also be the result of infidelity. "Engaging in sex with a new partner can rev up testosterone, increasing his overall drive," explains Dr. Oikle. A third party may also be responsible for a sudden interest in experimenting sexually, according to DeLorenzo.
Mi nikigundua tu mke wangu ananichunguza, naanza tabia feki, wakati mwingine najinyunyizia uturi wa kike ambao huwa nauacha kwenye gari, au najitumia text msg na namba yangu ambayo haijui, yaani namrusha kiroho mbaya hadi aache ushakunanku
Lakini wajameni mtoa mada hajakwambia uchunguze,ye kakujuza tu dalili nakati ya hizo hutokea tu hata bila kuchunguza,mfano hiyo ya kuwa mad at you kwa kila ukifanyacho!
Mi nikigundua tu mke wangu ananichunguza, naanza tabia feki, wakati mwingine najinyunyizia uturi wa kike ambao huwa nauacha kwenye gari, au najitumia text msg na namba yangu ambayo haijui, yaani namrusha kiroho mbaya hadi aache ushakunanku
Umeona eeh. Yani hizi dalili cheater anazionyesha bila kujijua. Huna haja ya kumchunguza what you need is to have this tool kit with you. lol.
Mwambie Boss na kama ndio anazitafuta alama hivyo atabadilisha wanaume kama underware (nasikia baadhi ya mademu wanabadilisha hata mara tatu kwa siku). Usimchunguze bata mama!!!
Hamna kazi tu!
wenzio wanajua mpaka majina ya 'wake wenza wenzao'
wewe unatafuta sign kwenye yahoo?
this is a man's world....lol
Sitaki pressure,mwache apande ashuke as long as dharau kwangu hakuna,watoto wangu wazima na hawakosi kitu wala siumizi roho yangu,kwa nini ninunue maradhi ya moyo,kitu kimoja najua hamna siri duniani kwa hyo ipo siku 2 nitajua,
Sasa mbona unalumika mwizi huku jua linapowaka besti?
"Unalumika" ndo kilugha gani hicho?
wenzio wanajua mpaka majina ya 'wake wenza wenzao'
wewe unatafuta sign kwenye yahoo?
this is a man's world....lol