Kwa wanawake waliozaa

Kwa wanawake waliozaa

@FL1 & daughter!!! wow so sweet and lovely...

I think I'm still confusing or not ready to be a mother....
 
hongereni kwa wenye watoto

mie bado kwanza nipo nipo .......🙂
 
yaani mpendwa we acha tu,ka boy kangu kalisha kalili muda wangu wa kurudi home nikichelea kidogo tu anakosa amani kabisa.then akifika unapata mahug ya kufa mtu...aaii jamani raha

hahaha safi sana daughter ni raha iliyoje upendo wa mama kwa mtoto .mwenyezi mungu aliweka maajabu ..me naplan baby mwingine next year huyu akiwa 4 years nadhani itakuwa njema sana
 
@FL1 & daughter!!! wow so sweet and lovely...

I think I'm still confusing or not ready to be a mother....

Time wil tell my dear Noname ..I wish you all the best wakati utakapoamua kuwa mama..:A S-rose::A S-rose:
 
Yani nyie wote manaosimulia furaha za kuwa na mtoto na mlivyojisikia mara y a kwanza ndo mnanizidishia haswa hamu ya kubeba ujauzito hata leo usiku. i just cant wait ila ndo hivyo kila kitu na mipangilio yake.

CONGS TO ALL MOTHERS WA JF AND EXPECTANT MOTHERS PIA :grouphug:
 
@FL1 & daughter!!! wow so sweet and lovely...

I think I'm still confusing or not ready to be a mother....

yes dear to be ready so that by the time u are a mother,u give ua best to ua baby.
 
Yani nyie wote manaosimulia furaha za kuwa na mtoto na mlivyojisikia mara y a kwanza ndo mnanizidishia haswa hamu ya kubeba ujauzito hata leo usiku. i just cant wait ila ndo hivyo kila kitu na mipangilio yake.

CONGS TO ALL MOTHERS WA JF AND EXPECTANT MOTHERS PIA :grouphug:

Thanks mrembo,ni vyema ukafanya maandalizi mazuri ili ukimpata huyo mtoto usipate nafasi ya kujuta.
its such a sweet feeling kusikia mtoto wako anasema 'i love u mom' huku anasmile
 
Thats why MOTHERS are so special. U r so special ladies especially when u recognize ur special position as MOTHERS. kuddos to Mothers.
 
hahaha safi sana daughter ni raha iliyoje upendo wa mama kwa mtoto .mwenyezi mungu aliweka maajabu ..me naplan baby mwingine next year huyu akiwa 4 years nadhani itakuwa njema sana

mie nilitamanigi nizae chap chap nitulie, kama c mr kuwa masomoni nahic ningetoka uzazi na mimba nyingine walaah, lol......
 
When my lil Angel was born i had a C section lakini furaha niliyopata the doctors were amazed jinsi nilvyopona upesi. She is now 18 months and am enjoying every sinlge day to the maximum esp her kisses mwaaa mama, (cant do the real chum). I love her with everything I have got.

God bless all mothers and mothers to be
 
Hii thread kumbe ya wajawazito? Ngoja nisepe....Ila ningekuwa mwanamke nisingekubali kupata mimba, na kama ningeipata (lazima ingekuwa kwa kubakwa) ningefanya abortio:dance::dance::dance:
 
Hii thread kumbe ya wajawazito? Ngoja nisepe....Ila ningekuwa mwanamke nisingekubali kupata mimba, na kama ningeipata (lazima ingekuwa kwa kubakwa) ningefanya abortio:dance::dance::dance:

usamehewe bure
 
these lil angel jamani dah....
mi kanifurahisha sana eti ukimuuliza umevaa nini huko.....she z like 'pachi pachi' akimaanisha pampers.....lol and she z so young jamani lakini she tries hard to speak!!!

Mungu huyu jamani dah!!!!

hongereni wa mama jamani.......you are so lucky and blessed!!

Jinsi michango yako ilivyotulia hapa jamvini (pamoja na Avatar yako) basi mwenzio nilidhani wewe tayari ni Mama. Subira yavuta heri, nawe ukiwa tayari utajaliwa watoto wazuri wakupe furaha tele for the rest of your life.
 
When my lil Angel was born i had a C section lakini furaha niliyopata the doctors were amazed jinsi nilvyopona upesi. She is now 18 months and am enjoying every sinlge day to the maximum esp her kisses mwaaa mama, (cant do the real chum). I love her with everything I have got.

God bless all mothers and mothers to be

Congratulations! Siku zote nilidhani wewe ni njemba.
 
Back
Top Bottom