Kwa wanawake: Wanaume tuliowengi tunapenda majibu ya moja kwa moja.

Mzee baba inaonyesha umewekwa pending hadi PM ndo maana umemaind........

ila sio siri hakuna kitu inaboa mtu ushamchana live af analeta pozi...... unakuta kengine kanazingua tu... ila na wewe ukinyuti kanaanza kujileta leta.
 
Mzee baba inaonyesha umewekwa pending hadi PM ndo maana umemaind........

ila sio siri hakuna kitu inaboa mtu ushamchana live af analeta pozi...... unakuta kengine kanazingua tu... ila na wewe ukinyuti kanaanza kujileta leta.
 
Hivi kuna watu bado mnatongoza?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…