Kwa wanawake: Wanaume tuliowengi tunapenda majibu ya moja kwa moja.

Kwa wanawake: Wanaume tuliowengi tunapenda majibu ya moja kwa moja.

Kwa kweli kama miongoni mwenu kuna ambao bado wana tumia hiyo kanuni ....waambie itakula kwao ...

Hiyo kanuni sasa hivi imeshapitwa na wakati kama mafuta ya kimbo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kuacha tu...

Wanatakiwa wakawaombe msamaha waliyowafanyia hayo.
 
nipo hapa ninakula nasikia mitongongozo sijafikisha tonge la tatu demu kashakubali sasa hivi jamaa kamwagizia grand malt na maji , ugali nyama choma nahisi kabla sijamaliza kulipa bill wataenda kugegedana ,
NDEGE JOHN KUna sehemu unakosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu tudondoshee ndondoo mzee baba.
 
Back
Top Bottom