Kwa wanawake wenye watoto tu

Kwa wanawake wenye watoto tu

Bi dentamol

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
1,018
Reaction score
2,130
Wapendwa hiyo hapo ni calendar ukitaka kuchagua uzae mtoto jinsia gani unaangalia miaka yako na miezi ya kubemba mimba hiyo ni calendar ya china Mimi naomben kupata uhakika hapa kwa walio na watoto hasa wanawake
He miaka yako na mwez uliobeba mimba ni sawa na kwenye hiyo kalendar????
IMG_20180408_215204.jpg
 
Kweli, maana G ni nyingi kuliko B, na huo ndio uhalisia
 
Wapendwa hiyo hapo ni calendar ukitaka kuchagua uzae mtoto jinsia gani unaangalia miaka yako na miezi ya kubemba mimba hiyo ni calendar ya china Mimi naomben kupata uhakika hapa kwa walio na watoto hasa wanawake
He miaka yako na mwez uliobeba mimba ni sawa na kwenye hiyo kalendar????
View attachment 738415
Tuwekee na ya mapacha banaa..
 
Loh hili la mtoto wa kiume kumtafuna mother ni hatari, na baba kumlamba binti yako mwenyewe.

Nyie wachangiaji mnao hao watoto mabinti wazuri wanaoumiza shingo za watu. Au mnachangia tu kutokana na elimu. Nadhani hapa mleta uzi antaka tupeane uzoefu sisi waafrika hasa wabongo. Kule nje tofauti.
 
Wapendwa hiyo hapo ni calendar ukitaka kuchagua uzae mtoto jinsia gani unaangalia miaka yako na miezi ya kubemba mimba hiyo ni calendar ya china Mimi naomben kupata uhakika hapa kwa walio na watoto hasa wanawake
He miaka yako na mwez uliobeba mimba ni sawa na kwenye hiyo kalendar????
View attachment 738415
Hata wanaume inatuhusu hii.
 
Duh! Kuna ukweli fulani hapa wajameni. Maana mm ktk watoto nilio nao ni mmoja tu ambaye nimeshindwa kuthibitisha sababu mamake alikuwa na miaka 17. Wengine wote ni sawa sawa.
 
Back
Top Bottom