Kwa wanawake wote mliofunga PM

Kuna mmoja huyo nilijaribu kutuma salam za maombi naona kufuli tu mlangoni. Hawa dada zetu sio kabisa[emoji39]
 
Yap ndio hao lakini kule unaona uhalisia na sio avatar.
 
Dada wanasemaga eti ukitokewa kwani huwezi kukataa na kusema ushawahiwa?

Pia nasikiaga wengine wanasemaga eti si kila anayekuja huko anakuja kwa ajili ya mtongozo eti hivyo ikaage tu wazi. 🀣🀣
Hahahaaa embu fungua uko.

Tupo zetu hii mitaa kaunda tunafuatilia kama hizi fununu za kweli
 
Kumbe sitakiwi kukutafuta...haya yameisha

Kuna umri wa kuwaachia wadogo zako/zetu humu!sisi tufanye mengine ya maana na muhimu zaidi!kwanza sipend mtu anitag chitchat!..nitag kwa mishe za maana..thts y nampenda na kumheshimu sana@mrangi...yy akiibuka anaibuka na dili za maana!sasaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™Œ ww men kuutwa kuchungulia jirani yako katokaje tokaje!utafeli mbaya! Eish!(jokes aside😎)
 
Hahahaa!! Tatizo ufunguo aliupotezaga Sesten Zakazaka hivyo njia ya kuja kule hata haipitiki Mtani. πŸ€ͺπŸ€ͺ

Zimenishitua hizo taarifa imeshakuwa dhahiri ni za kweli ujue.
Uzuri wa mambo ni kwamba funguo nimeipoteza wakati wote wawili tupo humo ndani ya Prime Minister, yaani wa nje haingii na mimi na wewe tupo peke yetu ndaniπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ

Huko Jangwani kwenye bonde la kulimia mpunga habari ndio kama hivyo tena ulivosikia, mambo vululuvuluuu🀣🀣🀣
 
Hakika Ses. 😍😍😍😍

Hebu tuwacheni kwanza tutafakari yajayo. 😎😎😎
 
Hakika Ses. 😍😍😍😍

Hebu tuwacheni kwanza tutafakari yajayo. 😎😎😎
Yajayo naona kama ni chengachenga tu hapo Jangwani. Kama plan yenu ni kumleta Mkwasa ndio mnazidi kuingia chaka kabisaa! Hamna kocha pale. Nawaambia haya sababu nawapenda Yanga ujue 😎😎😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…