Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ndio huo Fanta tu unitextHii kubwa kuliko Mtani. Sema tu ukweli bana Mtani. 😀😀😀
Yap ndio hao lakini kule unaona uhalisia na sio avatar.Kuna baadhi huwa wanakuwa wataalamu wa mambo fulani. Kuna wakati unamtafuta kuongeza kitu fulani kwenye fani husika.
Maana kuna mmoja alikosea kitu fulani nikataka kumpata maelezo zaidi juu ya hicho kitu.
Naingia pm nakutana na lock ikabidi nipige chini.
Ukirudi kwa upande wako hao wa Posta mwenge si ndio hawa hawa wa jf.
Hahahaaa embu fungua uko.Dada wanasemaga eti ukitokewa kwani huwezi kukataa na kusema ushawahiwa?
Pia nasikiaga wengine wanasemaga eti si kila anayekuja huko anakuja kwa ajili ya mtongozo eti hivyo ikaage tu wazi. 🤣🤣
[emoji2] hakuna kitu nashangaa mnatudharauKwani Buza kuna nini Meeyah? Nimejikuta nacheka tu kwa comment yako
Taarifa za kichwa kichafu ni za kweli!!
Pole sana mamii, madharau si uungwana kwakweli🤔🤔🤔[emoji2] hakuna kitu nashangaa mnatudharau
Zina ukweliTaarifa za kichwa kichafu ni za kweli!!
Kumbe sitakiwi kukutafuta...haya yameisha
Na yule demu mzuri wa Tweeter pub ukamchukua. Wewe mbinguni utapasikia tuUmeamua kuwapunguza ili
Hahahaa!! Tatizo ufunguo aliupotezaga Sesten Zakazaka hivyo njia ya kuja kule hata haipitiki Mtani. 🤪🤪Hahahaaa embu fungua uko.
Tupo zetu hii mitaa kaunda tunafuatilia kama hizi fununu za kweli
Uzuri wa mambo ni kwamba funguo nimeipoteza wakati wote wawili tupo humo ndani ya Prime Minister, yaani wa nje haingii na mimi na wewe tupo peke yetu ndani🤪🤪🤪Hahahaa!! Tatizo ufunguo aliupotezaga Sesten Zakazaka hivyo njia ya kuja kule hata haipitiki Mtani. 🤪🤪
Zimenishitua hizo taarifa imeshakuwa dhahiri ni za kweli ujue.
Hakika Ses. 😍😍😍😍Uzuri wa mambo ni kwamba funguo nimeipoteza wakati wote wawili tupo humo ndani ya Prime Minister, yaani wa nje haingii na mimi na wewe tupo peke yetu ndani🤪🤪🤪
Huko Jangwani kwenye bonde la kulimia mpunga habari ndio kama hivyo tena ulivosikia, mambo vululuvuluuu🤣🤣🤣
Yajayo naona kama ni chengachenga tu hapo Jangwani. Kama plan yenu ni kumleta Mkwasa ndio mnazidi kuingia chaka kabisaa! Hamna kocha pale. Nawaambia haya sababu nawapenda Yanga ujue 😎😎😎Hakika Ses. 😍😍😍😍
Hebu tuwacheni kwanza tutafakari yajayo. 😎😎😎
Hapana. Pale sijachukua mtu. Labda umemfananisha na Joy wa Fesibuku pubNa yule demu mzuri wa Tweeter pub ukamchukua. Wewe mbinguni utapasikia tu
Haya sasa Ses njoo kule kwenye uzi wetu umwage haya maushauri.Yajayo naona kama ni chengachenga tu hapo Jangwani. Kama plan yenu ni kumleta Mkwasa ndio mnazidi kuingia chaka kabisaa! Hamna kocha pale. Nawaambia haya sababu nawapenda Yanga ujue 😎😎😎