Fungua PM mtoto mzuriπππ
Haijafungwa πFungua PM mtoto mzuri
Mama mchungaji, kwanza jiulize kwanini kitufe cha kufunga PM hakipo kwenye Jf Application..!!??Duuh!!! Hivyo Baba Mchungaji kitufe cha kufunga PM kiliwekwa kwa ajili ya wanawake pekee?
Mama mchungaji, naomba usinichonganishe na ndugu wasomaji maana leo nimefunga kwaajili ya kufanya maombi kwa wote walio funga PM zaoImebidi nikimbilie kwenye Profile yako ndugu yangu nijiridhishe kama Dongo la Ushimen halijakupata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani mkuu....Ooooh
Wote wanao kutumia PM, zinapitia kwangu...teh[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu, nasubiri jibu la ile PM.. maana mda nao unazidi kuyoyoma[emoji3][emoji3][emoji3]
HahahahahWote wanao kutumia PM, zinapitia kwangu...teh[emoji23]
Ni sawa lakini ukipishana nao mbagala,sinza,posta inakuwa unathaminisha moja kwa moja tofauti na humu unachizika na Avatar kumbe kihalisia ni Polygon au Morijo.Mkuu, lakini mimi naamini kwamba hao wa kwenye daladala za posta-mwenge, mbagala, sinza, tabata na kadhalia.... ndio hawa hawa tunao pishana nao humu ndani kila kukicha.
Kwanza Baba Mchungaji niseme tu mi si mpenzi wa kutumia hiyo Application na ndio nasikia leo kwamba huko hamna kitufe cha kufunga PM.Mama mchungaji, kwanza jiulize kwanini kitufe cha kugunga PM hakipo kwenye Jf Application..!!??
Hapa jibu ni kwamba, lazima uingie Jf kwa browser ndipo utafanikiwa kuifunga PM yako, na hii italazimika mtu aifanye ikiwa tu atakuwa amepata kero na usumbufu wa kutosha.
Na katika hali ya kawaida kati ya mwanamke na mwanaume, nani humuanza kumzoza mwenzake..??
Hapa ikiwa jibu ni mwanamke, basi mwanamke anayo haki ya kuifunga PM yake kwasababu yeye ndie muhanga mkubwa wa kuzizwa ambapo hubadilika na kuwa usumbufu.
Naomba kuwasilisha hoja mama mchungaji....
Halijanipata mi Niko huru kupokea yoyote kwa mjadala ila nikiona haeleweki nafanya yanguImebidi nikimbilie kwenye Profile yako ndugu yangu nijiridhishe kama Dongo la Ushimen halijakupata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kusubiriMkuu, nasubiri jibu la ile PM.. maana mda nao unazidi kuyoyoma
Hahahaaa. Nilivyoona ndugu yangu kaitikia "Oooh" basi nikajua limempata dongo lako Baba Mchungaji.Mama mchungaji, naomba usinichonganishe na ndugu wasomaji maana leo nimefunga kwaajili ya kufanya maombi kwa wote walio funga PM zao
Dahhh....Hahahahah
Aah wapi
Safi sana ndugu yangu. Usijali kabisa nimekuelewa.Halijanipata mi Niko huru kupokea yoyote kwa mjadala ila nikiona haeleweki nafanya yangu
Kwa hiyo tunao kuwa nashida tofaut na mitongozo tufanyeje watufungulieMama mchungaji, kwanza jiulize kwanini kitufe cha kugunga PM hakipo kwenye Jf Application..!!??
Hapa jibu ni kwamba, lazima uingie Jf kwa browser ndipo utafanikiwa kuifunga PM yako, na hii italazimika mtu aifanye ikiwa tu atakuwa amepata kero na usumbufu wa kutosha.
Na katika hali ya kawaida kati ya mwanamke na mwanaume, nani humuanza kumzoza mwenzake..??
Hapa ikiwa jibu ni mwanamke, basi mwanamke anayo haki ya kuifunga PM yake kwasababu yeye ndie muhanga mkubwa wa kuzozwa ambapo hubadilika na kuwa usumbufu.
Naomba kuwasilisha hoja mama mchungaji....
Sawa sawa chief, lakini minaona humu ndio penyewe zaidi. Sema sijawahi kubahatika kukuta PM yeyote ikiwa wazi wallah..Ni sawa lakini ukipishana nao mbagala,sinza,posta inakuwa unathaminisha moja kwa moja tofauti na humu unachizika na Avatar kumbe kihalisia ni Polygon au Morijo.