Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Mama mchungaji, naomba usinichonganishe na ndugu wasomaji maana leo nimefunga kwaajili ya kufanya maombi kwa wote walio funga PM zao
Wazuri huwa hawafungiZinafungwaje hizo PM nifunge yangu....
Unataka kusema anakuwa sio ridhikiKwani mkuu....
Siku ukija kuona mwanaume ameanzisha thread kwamba hataki usumbufu huko PM, ama aseme kwamba amefunga PM kwasababu anasumbuliwa sana...
Wewe kwa mawazo yako utamuelewa aje huyo mwanaume...!!??
Ebu sema ukweli wa moyoni mwako
😂😂😂 unawaonea bwana Baba Mchungaji.Kwani mkuu....
Siku ukija kuona mwanaume ameanzisha thread kwamba hataki usumbufu huko PM, ama aseme kwamba amefunga PM kwasababu anasumbuliwa sana...
Wewe kwa mawazo yako utamuelewa aje huyo mwanaume...!!??
Ebu sema ukweli wa moyoni mwako
Bora umenisaidia ndugu.Alivyo ona mshangao ikabidi athibiteshe kitufe changu
Mama mchungaji, ebu tuache utashi ubaki palepale na kwamaana ileile. Member anapo tema nyongo na kujiweka kwenye kundi la wanao ishi humu kwa hofu na mashaka, basi nadhani member huyo hana ulazima kujibu PM yeyote ikiwa tu ataona kwamba hataki kuwasikiana ya yeyote.Kwanza Baba Mchungaji niseme tu sijawahi kutumia hiyo Application na ndio nasikia leo kwamba huko hamna kitufe cha kufunga.
Hivyo Baba mchungaji unataka kuniaminisha kwamba sababu ya kufunga Pm ni kukwepa kero na usumbufu eee? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini usisahau kuna wale wanaoogopa wasiojulikana hivyo wanaona kufunga PM ndio salama yao Baba mchungaji. Yaani majukwaani wanamwaga sumu zao weee juu ya gavamenti wakitegemea hakuna wa kuwapata kwa njia ambayo itahusisha mawasiliano ya faragha ambayo mwisho wa siku yanaeza kuwa ushawishi wa wao kupatikana.
Kifupi hazijafungwa kwasababu anytime tukitaka kuingia zinafunguliwa tunaingia.
Sawa sawa, nipo hapa ukifika utaniona nina kunywa mirinda....Endelea kusubiri
Watu hawaezi kuacha kufungaHahahaaa. Nilivyoona ndugu yangu kaitikia "Oooh" basi nikajua limempata dongo lako Baba Mchungaji.
Kila la kheri Baba Mchungaji huenda yakapokelewa woote wakawacha hiyo tabia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu....Kwa hiyo tunao kuwa nashida tofaut na mitongozo tufanyeje watufungulie
Wasio julikana wanafanya kazi rahisi kumpta mtu kuliko unavyo fikiri ila tu ukiwa na sumu zaidi kwaoKwanza Baba Mchungaji niseme tu mi si mpenzi wa kutumia hiyo Application na ndio nasikia leo kwamba huko hamna kitufe cha kufunga PM.
Hivyo Baba mchungaji unataka kuniaminisha kwamba sababu ya kufunga Pm ni kukwepa kero na usumbufu eee? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini usisahau kuna wale wanaoogopa wasiojulikana hivyo wanaona kufunga PM ndio salama yao Baba mchungaji. Yaani majukwaani wanamwaga sumu zao weee juu ya gavamenti wakitegemea hakuna wa kuwapata kwa njia ambayo itahusisha mawasiliano ya faragha ambayo mwisho wa siku yanaeza kuwa ushawishi wa wao kupatikana.
Dada wanasemaga eti ukitokewa kwani huwezi kukataa na kusema ushawahiwa?
Pia nasikiaga wengine wanasemaga eti si kila anayekuja huko anakuja kwa ajili ya mtongozo eti hivyo ikaage tu wazi. 🤣🤣
Duhhh....Unataka kusema anakuwa sio ridhiki
Sio kauli tata ni yakawaida maana wapo wanao kuja kwa nia ambayo unaona huyu tapeli sasa unahangaika nae wa niniSafi sana ndugu yangu. Usijali kabisa nimekuelewa.
Nawaza tu hiyo kauli eti "nafanya yangu" [emoji848][emoji848][emoji848]
Huyu hapa manengelo
Pole ila usijali ni kumwambia popote ukimkuta anachangia unamwambia tu una shida naeMkuu....
Hapa ndipo namimi kilio changu kikubwa kilipo
Hii ni ngumu Baba Mchungaji sababu waeza kuta ni mtu mumezoweana huko majukwaani na huyo huyo ni hao wasiojulikana je akija PM waeza usimjibu na kumkalia kimya? Na hapo akija anakuja na matani yake yaleyale ya jukwaani uliyoyazowea kumbe nyuma ya pazia ni walewale.Mama mchungaji, ebu tuache utashi ubaki palepale na kwamaana ileile. Member anapo tema nyongo na kujiweka kwenye kundi la wanao ishi humu kwa hofu na mashaka, basi nadhani member huyo hana ulazima kujibu PM yeyote ikiwa tu ataona kwamba hataki kuwasikiana ya yeyote.
Hivyo Baba mchungaji unataka kusema kikawaida hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kushawishiwa na akashawishika hasa upande wa huko kwa Waziri Mkuu eee?. Kwangu naona ipo na inawezekana tena hasa nyie Me kwani ni wepesi kama karatasi. 😀Na tukirudi kwenye ushawishi, ebu kwanza tuwekane sawa hapa... Hivi kweli mwanaume aliye kamilika na uanaume wake kweli inaingia akilini akikwambia kwamba alishawishiwa..!!??
Tena mbaya zaidi aseme eti alishawishiwa PM ilkhali tayari alisha chagua aina ya maisha yake ya humu Jf...!!
Hapana mama mchungaji, ebu naomba uongeze hoja kidogo uzito ili nikubaliane na wewe btafadhali
Hahaha nimeacha ila ujumbe umefikaDuhhh....
Mkuu, ebu usiniandikie comment tafadhali..teh[emoji28]
Mama mchungaji, ebu naomba kwanza hao rafiki zako wanisamehe kwa mtazamo na msimamo wangu.[emoji23][emoji23][emoji23] unawaonea bwana Baba Mchungaji.
Nimejikuta nawakumbuka rafiki zangu fulani hivi hapa ambao nao wamefunga PM zao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tooba. [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]