Kwa wanawake wote mliofunga PM

Kwa wanawake wote mliofunga PM

Sasa nasikia kuna wanaume nao wamefunga PM! Najiuliza nao wanaogopa kutongozwa? Wanatongozwa sana? Wanapigwa mizinga sana? Akili yangu inaniambia ni attention seekers tu
Haya maajabu sasa nilikuwa sijazingatia hilo.

Mwanaume unafunga pm???
 
Hii ni ngumu Baba Mchungaji sababu waeza kuta ni mtu mumezoweana huko majukwaani na huyo huyo ni hao wasiojulikana je akija PM waeza usimjibu na kumkalia kimya? Na hapo akija anakuja na matani yake yaleyale ya jukwaani uliyoyazowea kumbe nyuma ya pazia ni walewale.
Hivyo Baba mchungaji unataka kusema kikawaida hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kushawishiwa na akashawishika hasa upande wa huko kwa Waziri Mkuu eee?. Kwangu naona ipo na inawezekana tena hasa nyie Me kwani ni wepesi kama karatasi. [emoji3]
Ukiwa na uwezo wa ku-hide MAC address ya kifaa chako kuna uwezekano mkubwa sana wa kutokamatwa kama kuku, pia you need to act smart way na sio kuhide MAC address tu, mtu unatakiwa kujua unachokifanya hasa unapotenda kitu unachojua kinaweza kukuletea utata baadae.
 
Back
Top Bottom