[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2296]Na kweli sijawahi kuona umefunga ya kwako jirani. Safi sana. [emoji122][emoji122][emoji122]
Zinafungwaje hizo PM nifunge yangu....
Kifupi hazijafungwa kwasababu anytime tukitaka kuingia zinafunguliwa tunaingia.
Zile ni tetesi bana Mtani au imeshakuwa habari iliyothibitishwa?Halafu Mtani naona Zahera mmemtimusha.
Ukiifunga tu spontaneous nakuwa your number one fan!
Sawa mkuuAtleast tungekuwa tunachat vya maana mzee bba...!niache
I’m taken hivyo nimeifunga
Umejuaje?Sio kweli
Ule mlango ukiwa wazi kuna mengi yanapitaUnataka kusema kuwa taken pia ina uhusiano na pm!?
Haya maajabu sasa nilikuwa sijazingatia hilo.Sasa nasikia kuna wanaume nao wamefunga PM! Najiuliza nao wanaogopa kutongozwa? Wanatongozwa sana? Wanapigwa mizinga sana? Akili yangu inaniambia ni attention seekers tu
Janga la taifa[emoji23][emoji23][emoji23]Nilidhani niko peke yangu.
Nimeacha nduguNdugu hebu wacha uchokozi. [emoji28][emoji28][emoji28]
Shikamoo na Mimi nakuja huko pm[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2296]
Ni wewe Mtani japo bado kuna kazi ngumu huko mbeleni na si ajabu hiyo January tukakukalisha kwa Mkapa. 😜😜Hivi tukisema kila mmoja ashinde mechi zake, halafu mechi baina yetu tutoe droo nani atakuwa bingwa?
Wote waliokuja kwangu wamefanya hivyo. Ila niliowaanza mimi sio wote walionitongozaMi huwa naingia na sitongozi
Na wewe umesema wote
Si haya unayoyasema bobNakwama wapi kiongozi? ?
Ukiwa na uwezo wa ku-hide MAC address ya kifaa chako kuna uwezekano mkubwa sana wa kutokamatwa kama kuku, pia you need to act smart way na sio kuhide MAC address tu, mtu unatakiwa kujua unachokifanya hasa unapotenda kitu unachojua kinaweza kukuletea utata baadae.Hii ni ngumu Baba Mchungaji sababu waeza kuta ni mtu mumezoweana huko majukwaani na huyo huyo ni hao wasiojulikana je akija PM waeza usimjibu na kumkalia kimya? Na hapo akija anakuja na matani yake yaleyale ya jukwaani uliyoyazowea kumbe nyuma ya pazia ni walewale.
Hivyo Baba mchungaji unataka kusema kikawaida hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kushawishiwa na akashawishika hasa upande wa huko kwa Waziri Mkuu eee?. Kwangu naona ipo na inawezekana tena hasa nyie Me kwani ni wepesi kama karatasi. [emoji3]