Kwa wapenda siasa popote walipo

Kwa wapenda siasa popote walipo

Mbegu Jr

Senior Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
152
Reaction score
178
Tutarajie kufurahia/Tutarajie kufadhaika

Vitu vinavyoongelewa na CCM mtu CHADEMA hawezi kukiona cha maana kwakuwa moja kiu yao ni kuona chama chao kinatawala nchi siku moja na na kipindi chao cha kutaka adhma yao hii itimie ni kipindi hiki watu wa CCM wawavulie kwakuwa ukweli siku zote hauji kwa utamu.

Vilevile CHADEMA akiwa ananadi sera zake mtu wa CCM haoni mtu kama anamfaa kwa lolote hasahasa kwa wapinzani wenye sera imara za kuvutia wananchi wawavumilie kwakuwa Ukweli siku zote sio mtamu weka sera zitakazo vuta watu na kwako.

Wahimizeni wafuasi wenu siku ya uchaguzi wakapige kura kwa mustakabali wa maisha yao, biashara zao, ajira zao, amani yao na kwa future ya kizazi chao.

Watakao shindwa kwa idadi ya kura zilizopigwa na wananchi wakubali wakajipange kwa wakati mwingine haijalishi uko chama gani kama wananchi wamekukataa usiwavuruge watu kwa interest zako au za chama hii nchi yakwetu wote.

TANZANIA YA WOTE
 
Tutarajie kufurahia/Tutarajie kufadhaika

Vitu vinavyoongelewa na CCM mtu CHADEMA hawezi kukiona cha maana kwakuwa moja kiu yao ni kuona chama chao kinatawala nchi siku moja na na kipindi chao cha kutaka adhma yao hii itimie ni kipindi hiki watu wa CCM wawavulie kwakuwa ukweli siku zote hauji kwa utamu...
Bahati mbaya sana ccm na wagombea wao hawajawahi kukiri au kutamka hadharani kwamba wakishindwa wataheshimu matokeo.

Lakini wamekuwa mstari wa mbele kuwalaani chadema na wagombea wao wanaposema hawatakubali kuporwa ushindi wao na wako tayari kudai kwa kuingia barabarani. Lakini wametamka wazi kuwa wakishindwa kwa haki watayakubali matokeo bila shida.

Ukija upande wa ccm wao wanasisitiza tu kuwa wanashinda sijui kwakuwa wanajua watatangazwa washindi hata wasiposhinda yaani hata hawaeleweki
 
Tutarajie kufurahia/Tutarajie kufadhaika

Vitu vinavyoongelewa na CCM mtu CHADEMA hawezi kukiona cha maana kwakuwa moja kiu yao ni kuona chama chao kinatawala nchi siku moja na na kipindi chao cha kutaka adhma yao hii itimie ni kipindi hiki watu wa CCM wawavulie kwakuwa ukweli siku zote hauji kwa utamu...
Wewe usiwe mtu wa kukubali mambo tu kama baiskeli inayoendeshwa, ujue kwamba hatupaswi kukubaliana na dhuluma na wizi wowote, lazima kupingana na hayo hata kama ni kwa kutumia nguvu.
 
Wewe usiwe mtu wa kukubali mambo tu kama baiskeli inayoendeshwa, ujue kwamba hatupaswi kukubaliana na dhuluma na wizi wowote, lazima kupingana na hayo hata kama ni kwa kutumia nguvu.
Kuwe kuna sababu ya kukataa sio unaona kila kitu kipo clear ukatae tu kwakuwa wewe ni mtawala. Kama kura zikihesabiwa kwa uhalali hakuna shida and vice versa
 
Back
Top Bottom