Yah ana unywele haswa vitu nipendavyo
Shin hye sun anaitwa. Itakuwa kafanya hawachelewi hao viumbe sijui wana shida ganiHuyu dada alokua kweny Mr Queen saiv namtizama kwenye see you in my 19 life ( nimesahau jina ) amefanya sajari?
Yan kila nikimtazama akiongea hii lips ya chin kama nzito inafanya facial iwe imesimama hapo hapo
Au macho yangu
Na anh boyoun wamemremba mno
Nimewamis vitoto
Hakika nitafanya juu chini soulmate awe Mkorea tena ni Seoulmate[emoji23][emoji23]Wewe tena [emoji16][emoji16] nina wasiwasi una mpango wa kuoa mkorea
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mi nime komaa na Royal gambler, na shine or go crazy🤗Hakuna kuzima dataView attachment 2696874
Huyu nani kwani ni m-kpop?Hakika nitafanya juu chini soulmate awe Mkorea tena ni Seoulmate[emoji23][emoji23]View attachment 2696873
Yah alikuwa idol nyuma kabla kundi lao halijawa disbanded,kama umecheki Dr Cha sura familiar hiyo
Dr Cha sijaangalia na sina mpango [emoji16]Yah alikuwa idol nyuma kabla kundi lao halijawa disbanded,kama umecheki Dr Cha sura familiar hiyo
Mwanzoni ni nzuri ila huku mwishoni mambo yalikua sielewi elewi😂
Halafu medical drama mimi wala sio mpenzi [emoji16]Mwanzoni ni nzuri ila huku mwishoni mambo yalikua sielewi elewi[emoji23]
Medical nzuri iwe romance kama Doctor Stranger sio kama Medical Top Team hakuna hata kissHalafu medical drama mimi wala sio mpenzi [emoji16]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Halafu medical drama mimi wala sio mpenzi [emoji16]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hakuna kuzima dataView attachment 2696874
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Medical nzuri iwe romance kama Doctor Stranger sio kama Medical Top Team hakuna hata kiss
Sijatazama wala.. ingekuwa season moja ningeshaangalia ila shida ya mimi drama ikishakuwa tu na seasons mbili na kuendelea naona uvivuNa hospital playlist hujatazama[emoji45]
Tuwajadili maex amaUkimaliza tuijadili hiyo
Tuwajadili maex ama
Sijatazama wala.. ingekuwa season moja ningeshaangalia ila shida ya mimi drama ikishakuwa tu na seasons mbili na kuendelea naona uvivu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Huwa naona nikianza season 1 nitalazimika na kuangalia inayoendelea wakati nina msururu wa drama zinaningoja (kama nalipwa kwa kuangalia drama nyingi [emoji16])Hii mi ata wakieka 10 season nitatizama
Kuna ile bond wapo nayo hata ma medical yao huzingatii
Mi napenda friendship drama ( sijui kama zina jina la kitaalam[emoji16]