Mzee kashindikana yule sema na Kim Seon Ho naye almanusra yamkute bahati nzuri watu wengi walikuwa upande wakeKabisa
Ingekua tofauti
Msimu ule ulikua na kidudu yani ukijichanganya tu knetz wana ku bust
Wamemshindwa tu villain wa vagabond
Maana hadi kwenye queenmaker katokea na hauna namna zaid ya kukubal zile role zinamfit (a real life villain)
Nimerudi tena kupitia baadhi ya episode ni huyoyo In woo kaanza na kumaliza. Although hii drama ukiitazama ni kama main Character ni yule Princess maana imemuonesha zaidi Princess hata kuliko mwamba mwenyewe. Ingawa jamaa kajitahid. Huyu In woo nilimwona nadhani kwenye Shine or Be Mad na Mr. Queen. Huyo main main Character ambaye sijamuina kwenye hii drama nakumbuka huyo sura kwenye Drama ya Strong Woman Bong Su.kwamba wanafanana
Mbona hata zile humour zao ziko tofauti
Ingawa Na inwoo alijitahid sana
Nilifatilia ikiwa ongoing FL alikua ashaeka bond na first ML unaona alivyopata tabu kuji adjust
Yes utakuwa upo sahihiBut huenda kaangalia iliyokuwa updated maana ilibidi baadhi ya scenes za episode za mwanzo za character On Dal ziwe filmed upya so bila shaka kaangalia ambayo yupo Na In Woo kuanzia episode ya kwanza.
Ndio wanafanyaga hivyo washenzi wale...hata bae wa talnam walimtaimu kipindi kile home town chachacha ndio ya moto imetoka jikoni. Sema hawa Korean celebrity watushukuru sana sisi international fans...tunawasaidia sana kupaza sauti, sisi tunachotaka kazi zao mambo mengine hayatuhusu tofauti na huko nyuma mtu akiibua skendo ndio mwisho wa msanii. Bila sisi watu kama Kim seon ho, Seo yeaji, Kim jung hyun n.k tulikuwa tayari tumeshawazika kwenye ulimwengu wa burudaniIla ile drama Ji Soo angecheza hadi mwisho ingekuwa kali zaidi jamaa alikuwa anakuja moto wakati ule alikuwa katoka kucheza When I Was The Most Beautiful sema ndio hivyo future yake ikakatisha,hata yule aliyeibua zile skendo bila shaka aliona wivu kuona jamaa anaanza kuhit akaona no acha amharibie.
Mimi hii niionaga ya kawaida tuuhAnother classic action hii ni zaidi ya veil, tafutenj mtasema.
[emoji117]Black night Khantwe, Numbisa, Al-Hadidy, Mafian cartel, Mr Q, Introsagvert, mshamba_hachekwi, gwangaeto
View attachment 2701787
Ume iangalia??Mimi hii niionaga ya kawaida tuuh
Yes nimeiangalia muda tuuh kama unataka yenye mkono jaribu BLOODHOUNDSUme iangalia??
Blood hounds ni moto mwingine 🔥🔥, nilicheka manywele alivyo pasukaa🤣😂Yes nimeiangalia muda tuuh kama unataka yenye mkono jaribu BLOODHOUNDS
Hivi yule demu mjukuu wa babu aliendaga wapi maana babu alivyokufa sikumona tenaBlood hounds ni moto mwingine [emoji91][emoji91], nilicheka manywele alivyo pasukaa[emoji1787][emoji23]
Sija imaliza, nili ishia walipo kuwa marafiki.Hivi yule demu mjukuu wa babu aliendaga wapi maana babu alivyokufa sikumona tena
Sema K-Netz wana mambo flani hivi ambayo yanaweza kukuacha speechless nikikumbuka walivyoichomolea betri Joseon Exorcist nachoka sanaNdio wanafanyaga hivyo washenzi wale...hata bae wa talnam walimtaimu kipindi kile home town chachacha ndio ya moto imetoka jikoni. Sema hawa Korean celebrity watushukuru sana sisi international fans...tunawasaidia sana kupaza sauti, sisi tunachotaka kazi zao mambo mengine hayatuhusu tofauti na huko nyuma mtu akiibua skendo ndio mwisho wa msanii. Bila sisi watu kama Kim seon ho, Seo yeaji, Kim jung hyun n.k tulikuwa tayari tumeshawazika kwenye ulimwengu wa burudani
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kwa kugha nyepesi wana mambo ya ki**ngeSema K-Netz wana mambo flani hivi ambayo yanaweza kukuacha speechless nikikumbuka walivyoichomolea betri Joseon Exorcist nachoka sana
Huyu kijana Jung-yun kajua kunikera aisee anampoteza Ji-woo kizembe sana.
Hata kama ni introvert mtoto wa kiume miaka 20 huwezi kuweka feelings wazi kwa msichana ni tatizo sana aisee.
Dogo neno "saranghae" kwake zito?[emoji23][emoji23]
Hapa tusubiri huruma tu maana Ji-woo kaamua kumcancel ukizingatia kuna wavulana wengine kama watatu wanammendea halafu mmoja anapenda ila yupo kama zoba View attachment 2702031
Nimerudi tena kupitia baadhi ya episode ni huyoyo In woo kaanza na kumaliza. Although hii drama ukiitazama ni kama main Character ni yule Princess maana imemuonesha zaidi Princess hata kuliko mwamba mwenyewe. Ingawa jamaa kajitahid. Huyu In woo nilimwona nadhani kwenye Shine or Be Mad na Mr. Queen. Huyo main main Character ambaye sijamuina kwenye hii drama nakumbuka huyo sura kwenye Drama ya Strong Woman Bong Su.
Ndio wanafanyaga hivyo washenzi wale...hata bae wa talnam walimtaimu kipindi kile home town chachacha ndio ya moto imetoka jikoni. Sema hawa Korean celebrity watushukuru sana sisi international fans...tunawasaidia sana kupaza sauti, sisi tunachotaka kazi zao mambo mengine hayatuhusu tofauti na huko nyuma mtu akiibua skendo ndio mwisho wa msanii. Bila sisi watu kama Kim seon ho, Seo yeaji, Kim jung hyun n.k tulikuwa tayari tumeshawazika kwenye ulimwengu wa burudani
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hivi yule demu mjukuu wa babu aliendaga wapi maana babu alivyokufa sikumona tena