Ndio wanafanyaga hivyo washenzi wale...hata bae wa
talnam walimtaimu kipindi kile home town chachacha ndio ya moto imetoka jikoni. Sema hawa Korean celebrity watushukuru sana sisi international fans...tunawasaidia sana kupaza sauti, sisi tunachotaka kazi zao mambo mengine hayatuhusu tofauti na huko nyuma mtu akiibua skendo ndio mwisho wa msanii. Bila sisi watu kama Kim seon ho, Seo yeaji, Kim jung hyun n.k tulikuwa tayari tumeshawazika kwenye ulimwengu wa burudani
Sent from my TECNO BA2 using
JamiiForums mobile app