Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

umenikumbusha drama ya shine or go crazy.
kiukweli Ailee amejaaliwa sauti nzuri.
yes kwa wanawake ,mimi napenda utunzi wake halafu wanazipatia hizo sound pa kuziweka....
ujue movie ikiwa haina soundrack nzuri inapoteza mvuto kidogo.

kwa mfano siku zote kwangu Gu family book itabaki kuwa best historical kdrama kwangu kwa sababu... Story ilikua nzuri sana, sio kama zile unakuta mwanaume ameng'ang'ania mwanammke ambae hampendi na yeye anapendwa na mwingine, Gu family iko different... Cast iko perfect

ila zaidi ya yote soundrack za mule ni kali kuliko nilizowahi kuzisikia hasa Ya The one... imetulia halafu wanaiweka mahala panapohitajika waweza kulia[emoji24][emoji24][emoji24]
The one ana sauti mpaka anaogopesha
 
Tena nianzishe akicheka mimi nachekaga mpaka basi.
jamaa ni very funny
nmeanza kumfata tangu Chuno
Akiamua kubonda anabonda haina mfano
akiamua kucheka ndo anacheeka[emoji23][emoji23]

Jang hyuk ndie muigizaji wa korea nnaempenda kuliko wote
akifatiwa na Lee byung hun , Song jo ho, Lee soo hyuk(model) kang ha neul ( nampendaga tu)
na wabondaji wotee wanajua mkono.


watu tunatofautiana Mfano watu wanampenda Lee mi ho ,mm walaaa hata simhusudu namwona kama waigizaji wa kawaida kabisa. na sijawahi kutafuta series zake kwa nia nmeona city hunter akanichefua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm napenda mwingizaji mwenye Greedy ,jitu makini liko serious likiamua kufanya kitu hakuna wench wakumzuia. kwahivo leminho hakidhi vigezo vyangu
 
basi mimi na wewe tunapikika chugu kimoja.nampenda sana jang hyuk
ila kwenye the voice anatia huruma
 
basi mimi na wewe tunapikika chugu kimoja.nampenda sana jang hyuk
ila kwenye the voice anatia huruma
nmeona trailer zake ,na tazza na beautful mind
ujue kuna vitu kwa sasa pia vinanifanya nisiangalie baadhi ya drama

lead wa kike akikosa mvuto sitazami, yani awe tu mtu ambae haeleweki hta kama series nzuri basi naacha.
voice/tazza sijawapenda wale wanaolead
beautful mind sijaipenda sio mpenzi wa medical
zingine ni The kings face lead sijampenda mmbaya.
princess man dem mmbovu[emoji23][emoji23] hana vitu amaizing yupoyupo tu
nyingi tu nmeishia ep 1
king of high school conduct lead haeleweki[emoji23]
 

Mkuu mambo vipi, asee nimekuwa naitafuta sana series ya Gu Family book, nimejaribu kudownload lakini nashindwa. Unawenza kunisaidia tafadhali.
 
[emoji23] [emoji23] ametisha. Ila Korean actors wote wako hivyo asee ukiangalia muvi yake moja lazima utafute muvi yake nyingine...hawakoseagi yani
 
Hapo kwa Minho umenigusa mimi aisee daah yaani I love the boy hadi basi[emoji23] [emoji23]
 
Mkuu mambo vipi, asee nimekuwa naitafuta sana series ya Gu Family book, nimejaribu kudownload lakini nashindwa. Unawenza kunisaidia tafadhali.
Pole mimi nimeitafuta kwa watu wee nimeshindwa nikaamu nidownload tu
 
wengi tu wanampenda, lakini mimi walaa[emoji23][emoji23][emoji23] namuona kawaida tu kama underground fulani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wee mtake radhi oppa..underground?? Nawapenda wengi ila minho amewazidi wote[emoji85] [emoji85]
 
Aise ata mm hiyo princess man yule dem kanifanya nisiichek
the king face sasa umejinyima mautam mwenyewe

hahahaaa jaman unaachaje kumuangalia jang hyuk kisa lead actress kimeo......tree with deep root na slave hunter umeangalia lakn
mim jang hyuk akiigiza ata na cartoon nitaangalia sio kwa mahaba niliyo naye juu yake
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dooh sio kwa mahaba haya
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani mimi nlivyomgugo nikakuta ameoa daah nlichukia ila baadae nikaona hakuna namna maisha inabidi yaendelee
hahahaaa bora ako,mi bado ananitamanishaga balaa.
mi akicheka tu,uku mie hoi
 
Hiyo app hata haieleweki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi lead nikiwa simuelewi naacha kuangalia[emoji23][emoji23][emoji23]
princess man bora yule princess ndo ange lead....
kings face mdada mmbaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nilianza kuangalia Ruler :master of the mask
nikadhani second lead ndo ana lead kidogo niache kuitazama ila bahati nzuri nikaona kuna huyo lead [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nataka ujinga mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hakuna demu mkali kama alieigiza shine or Go crazy na jang hyuk mdada mzuri sana.. kijiji kilimpendeza[emoji23]

halafu scarlet ryeo ikarudiwa ila story different kdg.
halafu kwenye scarlet nampenda sec lead kuliko main[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kah jaman oppa kuna km faith ,personal taste na boys over flower amejitahidimo
na the heirs
sema na nyota pia ya chips yai inamsaidia
ana nyota[emoji23], halafu wengi hawapendagi historical na watu wagumu.
mimi napenda mapanga ndo mana nawapenda marshals
akina anold,rambo walishaniathiri kisaikolojia[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…