Wasukuma mbona wanasukumiwa kila jambo la kishamba hapa Tz..?We naee sasa unarecommend drama halafu unaspoil tena ...usukuma wa kiwango cha juu sana
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hii drama inasumbua sana akili, maana kile unachotaka kiwe, hakiwi. Sikutegemea kama Lady Gil Chae angeolewa na yule Officer kirahisi vile.Ngoja tuone episode inayokuja kutakiwa na matukio gani.Roho imeniuma mimi hawa
Sijajua huko mbele,ngoja tusubiri
Nimeingia adi website ya mbc kucheki next itatoka lini[emoji1787]
Kwa huko kwao nimeona hii ndo drama inatrend kwa sasa
Story yake ni kali.My Dearest ni historical drama kali sana hii inaweza kukupa slump[emoji16]
Nazungumzia kwa mwaka huu,hiyo moon sijabahatika kuitazamaKuishinda river when the moon rises??
Ni Kali sana, vipi tale of nokdu nayo Ume Iona??Nazungumzia kwa mwaka huu,hiyo moon sijabahatika kuitazama
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Bado,ni kali au?Ni Kali sana, vipi tale of nokdu nayo Ume Iona??
[emoji117] Mvaa Kobazi
Zote ni Kali, kuanzia story, hata action iliyomo ni 🔥🔥
Kumbe na wewe pia ulikugomea[emoji1787]Siamin nimefanikiwa kuingia kwenye huu uzi[emoji17]
Sema hii drama sad ending haikwepeki MBC wanajua kututesa mioyo.Hii drama inasumbua sana akili, maana kile unachotaka kiwe, hakiwi. Sikutegemea kama Lady Gil Chae angeolewa na yule Officer kirahisi vile.Ngoja tuone episode inayokuja kutakiwa na matukio gani.
Ukiacha King the Land, ni kweli kwasasa hii ndio drama inayotrend huko Korea.
Kinachoniumza zaidi ni kwambaHii drama inasumbua sana akili, maana kile unachotaka kiwe, hakiwi. Sikutegemea kama Lady Gil Chae angeolewa na yule Officer kirahisi vile.Ngoja tuone episode inayokuja kutakiwa na matukio gani.
Ukiacha King the Land, ni kweli kwasasa hii ndio drama inayotrend huko Korea.
Hio tale of Nokdu ina mambo ya hovyo 😂 jamaa kujifanya mwanamke kidogo ingekua vizuri kama mwanamke angejifanya mwanaume😂Ni Kali sana, vipi tale of nokdu nayo Ume Iona??
👉 Mvaa Kobazi
Waliogiza Mr Sunshine wengi ni A-list actors mara nyingi wanapewa lead roles kwenye drama zao Kim Taeri, Kim Ji-won,Lee Byung-hun, Byun Yo-han, Yoo Yeon-seok.Mvaa Kobazi halafu kumbe walio igiza Mr sunshine, Wana series Kali Aisee🤒.
👉Nime muona msaidizi was gun do mae- Kwenye river when the moon rises.
Naona inasifiwa hii ngoja nitembee nayoMy Dearest ni historical drama kali sana hii inaweza kukupa slump[emoji16]
Humu story imenyooka asikwambie mtuNaona inasifiwa hii ngoja nitembee nayo
Tatizo ni hilo ongoing 😂 nasubiri iishe. Ipo episode ya ngapi?Humu story imenyooka asikwambie mtu
Ya 10,Tatizo ni hilo ongoing 😂 nasubiri iishe. Ipo episode ya ngapi?
Ana piga huyo😂🤣🤣Hio tale of Nokdu ina mambo ya hovyo 😂 jamaa kujifanya mwanamke kidogo ingekua vizuri kama mwanamke angejifanya mwanaume😂
Ila ina story kali.