Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Pisi imenyooka ingepata nyama tu kimzigo flani cha kuzugiaView attachment 2742000
Kwa mimi nawaona wapo perfect kwa sababu matako hayapo katika qualities za uzuri wa mwanamke that's why beauty pageants zote Duniani hata Bongo hawaangaliagi tako[emoji23][emoji23]

Kama hivi mtoto yupo perfect tako la nini[emoji38][emoji38]
 
Pasi hio😂 fan boy upo blind folded huoni husikii mbona hapo hamna hata kamzigo kakuzugia. Imagine ndio demu wako hamna hata kishundu cha kuzugia😂😂 mbona wazungu wana mizigo fresh tu hawa wakorea hawali itakua😂😂 Na hapo kajibinua
 
Tz sweetheart pisi kali tz kwa sasa Al-Hadidy kabla Uturuki. Mzigo muhimu wanaume wa Korea maboya wanasababisha mademu wao wajikondeshe😂😂
 
Tz sweetheart pisi kali tz kwa sasa Al-Hadidy kabla Uturuki. Mzigo muhimu wanaume wa Korea maboya wanasababisha mademu wao wajikondeshe[emoji23][emoji23]View attachment 2742540
Mungu hakupi vyote walivyo navyo Wakorea ndio qualities wamefit beauty standards,mimi nikiona demu ana mtako mkubwa namuona kama kilema,halafu pia the bigger the ass the smaller the brain[emoji23][emoji23]
 
Macho yako yashazoea kuona uvimbe wanawajua udhaifu wenu ndio maana dawa na sindano za kukuza makalio wanawaletea ila wao hawatumii[emoji23]
 
Mungu hakupi vyote walivyo navyo Wakorea ndio qualities wamefit beauty standards,mimi nikiona demu ana mtako mkubwa namuona kama kilema,halafu pia the bigger the ass the smaller the brain[emoji23][emoji23]
Who lied to you. The bigger the ass the higher the girl's confidence. Hao mademu zako fan boy wana Anxiety na depression full kujiua. Hio ni awkward beauty standard 😂
 
Who lied to you. The bigger ass the more the girl's confidence. Hao mademu zako fan boy wana Anxiety na depression full kujiua. Hio awkward beauty standard [emoji23]View attachment 2742573
Depression ni tatizo la Korea nzima wake kwa waume.

Wao confidence kwao ni kuwa na sura nzuri na figure nyembamba.


Kwa Bongo tako linaleta confidence ila nnachozungumzia mademu wa kibongo wenye misambwanda huwa akili zao fupi sana na first symptom ni kuyatingisha hovyo[emoji23]

Huwezi kunishawishi hata mimi nilikuwa mdau wa msambwanda enzi za chura ya Snura wakati nina akili za kitoto[emoji23]
 
Sasa mbona huyu Jenner figure yake wanayo wakorea wengi sana hasa ambao wanapiga mazoezi workouts kwa sana
Thubutu😂😂 picha zingine nashindwa kuweka hapa ntachafua jukwaa ona nyama hizi kwenye upaja wa Jennifer linganisha na Jennie😂
 
Thubutu[emoji23][emoji23] picha zingine nashindwa kuweka hapa ntachafua jukwaa ona nyama hizi kwenye upajawa Jennifer View attachment 2742579 linganisha na Jennie[emoji23]View attachment 2742580
Weight release unaijua kijana?
Ni kawaida kukondeana hivyo kama Lisa huwa hadi mbavu zinaonekana but ndivyo fans wanataka kuona mtu asiwe na uzito mkubwa

Yawezekana nipo blinded but hata Kibongobongo siwezi date na mwenye msambwanda type zangu kama Vanessa Mdee
 
👉Sasa Vee kidogo ana nyama huwezi fananisha na mademu wa Korea ambao wana bad eating habits, a lot of body shaming mtu akiwa obese, bullying
👉Hizo beauty standards zao zimepelekea kuwepo kwa kesi nyingi za vijana kujiua sababu ya msongo wa mawazo. Sura hawana mpinzani
 
Mungu hakupi vyote walivyo navyo Wakorea ndio qualities wamefit beauty standards,mimi nikiona demu ana mtako mkubwa namuona kama kilema,halafu pia the bigger the ass the smaller the brain[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunajua hatuwezi kukubadilisha ila hapa hatuzungumzii mtako kama wa Kajala au Sanchi. Tunaongelea tule tunyama twa kawaida...mfano Zuchu hana tako ila anaweza kulingana na hawa mademu zako wakorea?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hapo Seoul nionyeshe mmoja ambaye shepu yake iko kama Vanessa Mdee

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Yah wapo wanaolingana nawaoanga sana Instagram tena hata yeye wamemzidi.

But it doesn't matter point yangu ipo palepale matako hayapo katika uzuri wa mwanamke ni extra addition tu.

Mfano wake ni kwamba natokea kaskazini halafu mwanamke anatokea kusini pale tunagongana macho paap ndio inatakiwa nifanye evaluation ya uzuri wake sio hadi nikimbilie nyuma yake kuangalia uvimbe ndio niseme mzuri

Wanyakyusa mtanisamehe[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…