Nimemuona mzee wang gunaThe Goryeo Khitan war drama
View attachment 2760896
Kweli mzee Kuna kipindi Fulani kakae yule Bang Ga yule wa nne kuzaliwa(bang won yeye ni WA Tano)Sema kuna namna fulani hivi Lee Bang Won alikuwa na tamaa sana ya madaraka, kwa kiwango kikubwa sana alionyesha ali ya kupigania sana mpango wa kuiangusha Goryeo baada ya kugundua kuwa baba yake ndiye atakaekuwa mfalme, akiwa na target ya kuwa Kinga anaefuata.
Kama ndugu zake wangeonyesha dalili za kuutaka ufalme wakati ule mpango ndio unasukwa, sidhani kama wangeishi. Alikuwa desparate sana kiasi cha kumuua Poeun aliyeonekana kikwazo, mtu ambaye aliheshimiwa sana na baba'ke pamoja na Sambong na hakuna namna yoyote ile wangethubutu kumuua.
Yeah Big Mouth ni bonge la seriesBig mouth ni [emoji91][emoji91], uki itazama vizuri Ina mengi ya kujifunza.
Hi Ina itwaje Mac Alpho, Mangungo IISema kuna namna fulani hivi Lee Bang Won alikuwa na tamaa sana ya madaraka, kwa kiwango kikubwa sana alionyesha ali ya kupigania sana mpango wa kuiangusha Goryeo baada ya kugundua kuwa baba yake ndiye atakaekuwa mfalme, akiwa na target ya kuwa Kinga anaefuata.
Kama ndugu zake wangeonyesha dalili za kuutaka ufalme wakati ule mpango ndio unasukwa, sidhani kama wangeishi. Alikuwa desparate sana kiasi cha kumuua Poeun aliyeonekana kikwazo, mtu ambaye aliheshimiwa sana na baba'ke pamoja na Sambong na hakuna namna yoyote ile wangethubutu kumuua.
Disney wanatoa mizigo ya korea sasa hivi?
Yeahhh, ipoo mfano hiyooDisney wanatoa mizigo ya korea sasa hivi?
Hata ya kichina wanayoDisney wanatoa mizigo ya kikorea
Nipe recommendation ya wavaa mashuka moja nitembee nayoHata ya kichina wanayo
Hii six flying dragon? Au king of tearsKweli mzee Kuna kipindi Fulani kakae yule Bang Ga yule wa nne kuzaliwa(bang won yeye ni WA Tano)
Alionesha tamaa awe mfalme hahahah
Akakusanya wanajeshi wake eti akapambane na BANG won mdogo wake.
Tatizo jamaa hakuwa na AKILI ZA KUTOSHA sijui kwa kwasababu hakuwa msomi sana kama BANG won.
Akamtuma mwanae eti akampige mshale Bang won hahahahahah
Alitaitiwa akaishia kubana Kila kona na dogo bang won akampa onyo braza wake ole wake "ole wako urudie siku nyingine... Nitasahau kwamba sisi ni ndugu.. nitakuwa"
Wakaishia kumuogopa dogo wao Bang Won mabraza wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
My country, scarlet heart, vipi??Nipe recommendation ya wavaa mashuka moja nitembee nayo
Haecho niliwahi angalia episode 1 ikanishindaMy country, scarlet heart, vipi??
Angalia hapo juu Kuna list ya series zaidi ya 8Haecho niliwahi angalia episode 1 ikanishinda
Ni nzuri, labda haukuwa na mood tuHaecho niliwahi angalia episode 1 ikanishinda
Kati ya Haechi na Kingdom ipi kaliNi nzuri, labda haukuwa na mood tu
Kingdom ya Yule dogo au mfalme aliye tafutiwa mtu wa kufanana nae??Kati ya Haechi na Kingdom ipi kali
Kaka hii ni ya moto sana sasa hapa nimepata drama yakucheki aisee natamani ingekuwa complete.Shukrani mkuu kwa Hili pendekezo lako
Hiyo Kali Sana, ngoja Numbisa aje ai tafute pia😆Kaka hii ni ya moto sana sasa hapa nimepata drama yakucheki aisee natamani ingekuwa complete.Shukrani mkuu kwa Hili pendekezo lako
Hivi wanakuwa wanatoa episode lini na liniHiyo Kali Sana, ngoja Numbisa aje ai tafute pia😆