Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Sema kuna namna fulani hivi Lee Bang Won alikuwa na tamaa sana ya madaraka, kwa kiwango kikubwa sana alionyesha ali ya kupigania sana mpango wa kuiangusha Goryeo baada ya kugundua kuwa baba yake ndiye atakaekuwa mfalme, akiwa na target ya kuwa Kinga anaefuata.

Kama ndugu zake wangeonyesha dalili za kuutaka ufalme wakati ule mpango ndio unasukwa, sidhani kama wangeishi. Alikuwa desparate sana kiasi cha kumuua Poeun aliyeonekana kikwazo, mtu ambaye aliheshimiwa sana na baba'ke pamoja na Sambong na hakuna namna yoyote ile wangethubutu kumuua.
Kweli mzee Kuna kipindi Fulani kakae yule Bang Ga yule wa nne kuzaliwa(bang won yeye ni WA Tano)

Alionesha tamaa awe mfalme hahahah

Akakusanya wanajeshi wake eti akapambane na BANG won mdogo wake.

Tatizo jamaa hakuwa na AKILI ZA KUTOSHA sijui kwa kwasababu hakuwa msomi sana kama BANG won.

Akamtuma mwanae eti akampige mshale Bang won hahahahahah

Alitaitiwa akaishia kubana Kila kona na dogo bang won akampa onyo braza wake ole wake "ole wako urudie siku nyingine... Nitasahau kwamba sisi ni ndugu.. nitakuwa"

Wakaishia kumuogopa dogo wao Bang Won mabraza wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sema kuna namna fulani hivi Lee Bang Won alikuwa na tamaa sana ya madaraka, kwa kiwango kikubwa sana alionyesha ali ya kupigania sana mpango wa kuiangusha Goryeo baada ya kugundua kuwa baba yake ndiye atakaekuwa mfalme, akiwa na target ya kuwa Kinga anaefuata.

Kama ndugu zake wangeonyesha dalili za kuutaka ufalme wakati ule mpango ndio unasukwa, sidhani kama wangeishi. Alikuwa desparate sana kiasi cha kumuua Poeun aliyeonekana kikwazo, mtu ambaye aliheshimiwa sana na baba'ke pamoja na Sambong na hakuna namna yoyote ile wangethubutu kumuua.
Hi Ina itwaje Mac Alpho, Mangungo II
 
Worst of evil
Mvaa Kobazi,
FB_IMG_16960777436186647.jpg
 
Kweli mzee Kuna kipindi Fulani kakae yule Bang Ga yule wa nne kuzaliwa(bang won yeye ni WA Tano)

Alionesha tamaa awe mfalme hahahah

Akakusanya wanajeshi wake eti akapambane na BANG won mdogo wake.

Tatizo jamaa hakuwa na AKILI ZA KUTOSHA sijui kwa kwasababu hakuwa msomi sana kama BANG won.

Akamtuma mwanae eti akampige mshale Bang won hahahahahah

Alitaitiwa akaishia kubana Kila kona na dogo bang won akampa onyo braza wake ole wake "ole wako urudie siku nyingine... Nitasahau kwamba sisi ni ndugu.. nitakuwa"

Wakaishia kumuogopa dogo wao Bang Won mabraza wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii six flying dragon? Au king of tears
 
Back
Top Bottom