Ndiyo hiyo korean avengersHivi hii ni drama gani.? Maana nilivyosikia habari za Moving nikaenda kukutana na drama iliyojaa fantasies, watu wanaopaa, wasiokufa. Ndio hiyo au kuna nyingine..?
Kwa bando langu papatu papatu itakuwa sifaidi ,mahali nilipo sasa hakuna Wi-Fi natega siku nitokee kwenye Wi-Fi nikachukue za kutosha zile ulizoniwekea.Vipi mkuu ulifanyia kazi recommendations zangu
Huko mbeleni inakuja kwa na actions za maana? Maana niliishia Ep 12 bila kuona chochote..!Ndiyo hiyo korean avengers
Yupi mkuu?Yule mchina umempotezea mkuu?
Yupi mkuu
Kwa mchina kuna hii kazi isisahaulike ni chuma kwelikweli
View attachment 2784619
Warrior baek dong soo namimi nitahakimisha naimalizaJumong
Waikiki zote 2
Nitahakikisha nazimaliza mwakani japo huwa zinanishinda mwanzoni
Wakuu natamani kupata hata k-drama yenye scene ya sex mwanzo mwisho
Huwezi kupata.Wakuu natamani kupata hata k-drama yenye scene ya sex mwanzo mwisho
Anataka drama huyo kitu ambacho impossible[emoji23]Itafute frozen flower
sijui ni mimi pekee ndiye ninayeshidwa kuendana na hizi Tastes za korea drama zilizotengenezwa kimuundo wa kimagharibi.Worst of evil
kuna nyakati nilikuwa sitaki hata kuiona sura ya lee jong gi, nikajilazimisha niwe na bashsha kadri ninapoiona sura yake ili nipate kufaidi kazi zake na hatimaye niliangalia ILJIMAE, baada ya hapo kila kitu kikawa rahisi kwanguWakuu vipi Gunman in Joseon ni kali ? maana ninayo kwenye simu episode chache kuna kipindi niliiIgnore baada ya kuona mvaa mashuka na muvi ya pori kuna mambo ya Gun ,nimeanza kuangalia rasmi episode za mwanzo nimeanza kuvutiwa nayo na kutamani kuendelea kutizama.
Wengi tunapenda kdrama kwa sababu hayo mambo hakuna au yapo kwa uchache.Wakuu natamani kupata hata k-drama yenye scene ya sex mwanzo mwisho
Mambo ya tastesijui ni mimi pekee ndiye ninayeshidwa kuendana na hizi Tastes za korea drama zilizotengenezwa kimuundo wa kimagharibi.
kadri nikiziangalia hizi drama nahisi kuna kitu nakikosa, korea drama zinazoonyeshwa na vituo vya korea zina ladha ya upekee na zimeshaniathiri....
imagine unaangalia drama hupati kusikia hata mdundo wa OST.
ebooh!
by the way, hiyo drama ni nzuri kiupande fulani japokuwa mpaka leo nimeshindwa kuimaliza.
ningelikuwa mwalimu ningeliipa 7.5/10
action scenes ni 👊👊🤛🤲👏👏
huko unakofika mwenzako nitalazimika kuvua viatu vyangu vya ndara.Mi hapo mgeni
Basi enjoy
Unatizama street woman fighter?
Kuna kajimbo ka leserrafim humo kamedensiwa noma,
hako ndo ringtone ya kichwa
Hata mimi nimeacha kufuatilia wazungu hizi single movies zao kea sababu ya maudhui ya ngono kupenyezwa na kukosa maadili ya kuangalia na watoto hata watu unaowaheshimu.Wengi tunapenda kdrama kwa sababu hayo mambo hakuna au yapo kwa uchache.
Sio unaangalia series mtu akipita kwenye pc inabidi upaise maana hujui itafata scene gani
Jumong sichoki kuangalia wameipanga kisawasawa halafu Actors wa mule ni moto sana.Jumong
Waikiki zote 2
Nitahakikisha nazimaliza mwakani japo huwa zinanishinda mwanzoni
Hii ilinishinda sikuimaliza pamoja na Gu Family book.Warrior baek dong soo namimi nitahakimisha naimaliza
Chuma nilizo tazama Mwaka huu, mpaka Sasa kwa upande wa Korea.Kilingeni 2023: Nilijipangia kupunguza ulevi kwa asilimia kubwa sana na mpaka sasa nashukuru naendelea vyema. Muda kama huu miaka ya nyuma ningelikuwa nimeshakunywa takribani chupa 50 au zaidi za vinywaji tofauti.
DRAMA
MOVIE
- my dearest (inaendelea)
- arthdal chronicles (completed)
- song of bandits (completed)
- the worst of evil (hii nitaimaliza)
- the killing vote note (hii nitaimaliza, panapo uhai)
- bloodhounds (completed)
- chief kim (completed)
- bossam steal the fate (completed)
- oasis (completed)
zote mbili zinakupa hadithi ya vita ya Imjin (ikimuangazia zaidi admiral yi soon shin)
- hansan: rising dragon
- admiral: roaring currents
PENDING (NIMEISHIA NJIANI)
- romantic doctor season 3
NASUBIRIA
- goryeo khitan war
- castaway diva (nimekuwa mlevi wa park eun bin, jamani ndiye my crush wangu..... hairuhusiwi kumsema vibaya)
MUIGIZAJI WANGU BORA KWA SASA
- Namgoong Min - mwanaume
- Seo Hyu Jin - mwanamke
VETERANI BORA KWA SASA
- Lee Geng Young
🎸🎸mimi si mlevi tenaaaa!!!!!🎙️🎷🎷
🎶🎶nikilewa sijikojolei kama zamani🎶🎵
🎻🎻mimi ni mnywaji tu.🥁🎹🎼
🎸🎸🎼 sinywi tena maji mengi kama samaki🎶🎼🎸🎺🎷