Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hizi nzuri hutajutia bando lako(muda wako)

Crash Landing on You

Descendants of the Sun

The Heirs

I’m Not a Robot

Healer

Fight for My Way

Love in the Moonlight

What’s Wrong with Secretary Kim

Business Proposal

My Love from the Star

Hwarang: The Poet Warrior Youth

Bring It On, Ghost

Coffee Prince

Etc etc Hapo sijaweka hospital dramas nazo ni nzuri sana

Nimeshaona karibia zote ulizotaja miaka hiyo

Coffee prince kitambo sana nimeiangalia....imenikumbusha winter sonata enzi hizo
 
Asee,kama wewe ni mdau wa action movies...worst of evil itakufaa

Mie nisiyependa vurugu na dirty b'ness nimeishindwana nayo episode ya kwanza tu...najutia bando langu tu manake nilidownload episodes zote
Pole sana,Siku hizi una test mitambo episode 2 au 3,ukinogewa unaendelea
 
Saiv dram nyingi hazina mzuka au mimi nimepunguza ulevi

Baada ya my dearest

Nimeanza episode chache za

Korea-khitan war stori nzuri ila usodoma kweupe nachoka kabisa

Vigilant - vibe za mouse kabisa

Doona- bae suzy kaact kama rookie

Twinkling watermelon - najikaza nayo hapa maana ina musik nataka nione hatma ya band
Twinkling ni drama bora sana kuanzia story line na wahusika,japo mwanzoni ina changanya kidogo ila baada ya episode kadhaa utaipenda
 
Saiv dram nyingi hazina mzuka au mimi nimepunguza ulevi

Baada ya my dearest

Nimeanza episode chache za

Korea-khitan war stori nzuri ila usodoma kweupe nachoka kabisa

Vigilant - vibe za mouse kabisa

Doona- bae suzy kaact kama rookie

Twinkling watermelon - najikaza nayo hapa maana ina musik nataka nione hatma ya band
Now weekend nasonga na Perfect Marriage Revenge na kuanzia kesho naenda sawa na My Demon & Story Of Park's Marriage Contract
 
Korea-khitan war stori nzuri ila usodoma kweupe nachoka kabisa
USISOME KAMA HUNA MIAKA 90 YA KUZALIWA

nimesoma sehemu fulani sijui kama ni kweli au ni kasumba za vibaraza vya kahawa.
" During the Goryeo dynasty, same-sex sexual activity was not explicitly prohibited".

unaikumbuka movie ya frozen flower, unajua yule mfalme baradhuli (kwetu tunamwita khanithi) alikuwa ni wa taifa la Goryeo japokuwa uhusika wake ni wa kidhahania, nafikiri ni rahisi kuzungumzia homosexuality kupitia utaifa wa Goryeo iliojengwa kwa imani ya kuvumiliana (buddhism) kuliko utaifa wa Joseon iliojengwa kwa misingi ya neo Confucianism

chukua na hii:
rikodi tofauti za waandishi wale zinatuaminisha ya kwamba mfalme Mokjong (karne ya 10) ambaye ndiye huyo unayemuona ndani ya hiyo drama alikuwa anavutiwa zaidi na watumishi wa kiume kuliko watumishi wa kike na aliwafanya kama vile ni wapenzi wake (wonchung ), si ajabu bwana muandishi wa hiyo drama akajaribu kutuonyesha upande huo.

mwengine aliitwa Gongmin naye alitawala Goryeo kwenye karne ya 13, huyu bwana baada ya kumpoteza mke wake mpendwa malikia Noguk kutoka Yuan Mongolia maisha yake ya dunia ni kama vile yalisimamishwa kutokana huzuni ndeefu iliotapakaa kwenye nafsi yake.... katika kutafuta kwake utulivu waandishi wale wanadai bwana huyo aliamua kujiweka karibu zaidi na vijana wa kiume aliowatumia kama walinzi wake na watumishi wake wa ndani zaidiii.

waandishi wakaenda mbali zaidi kwa kudai ya kwamba hata mtoto aliyezaa baadae hakuwa ni wake bali alikuwa ni mtoto wa Monk aitwae Shin Don (tafuta drama yake utamfahamu), masikini baadae yule mtoto aliondoshwa madarakani na kuuliwa.

Lakini usisahau hadithi hizi za vibarazani zilichochewa zaidi na Team Yi Seong Gye (bila ya shaka unajua bwana huyo ndiye aliyeanzisha Utawala wa joseon baada ya kuanguka kwa Goryeo). kuna wajinga wanadai maisha yote mshindi ndiye anayeandika historia atakavyo, si unazikumbuka bibiye hadithi za IDDI AMINI na kukata kwake matiti ya wanawake?
======================
JOSEON

nimeikuta sehemu
During the Joseon Dynasty, however, Korean society experienced a draconian shift as the neo-Confucian elite and scholars declared homosexuality wicked and depraved, forcing homosexual activity to go underground and in secrecy.

unamjua Crown Princess Bong?
alikuwa ni mke wa mfalme Munjong wa Joseon, huyu bwana ndiye alirithi madaraka kutoka kwa baba yake aitwa SEJONG THE GREAT, inamaana alikuwa ni mtawala wa tano wa ukoo wa YI.

kabla ya mume wake kutawazwa kuwa mfalme, huyu dada alitimuliwa ndani ya familia ya kifalme kwa sababu ya kulala na mtumishi wa kike (inasemekana walikuwa wawili), ina maana bidada alikuwa ni lesbian na hiyo ilikuwa ni karne ya 14, kuna mengi aliyapitia ndani ya ndoa yake mpaka akafikia hatua ya kujifurahisha na wasichana wenzake (hakupendwa sana na mume wake). Hatimaye sejong the great akaamua kumtimua.

Je unafahamu japo kidogo stori ya Sa bang ji?
nyaraka za Joseon zimeandika ya kwamba huyu kiumbe alikuwa anashare pande zote mbili za jinsia.
mwaka 1988 nchini korea muandishi fulani na director wake waliamua kutengeneza movie inayomzungumzia huyu kiumbe, wanadai huyu alikuwa anashare dozi kwa walioachwa mpaka kwa wale mabuddha wanyoa vipara wa kike (Bhikkhunī)

kuna neno linaitwa Hypospadias nimelikuta kijiweni
maana yake ipo google
1700757921240.png

filamu ya sa bang ji
=======================
SILLA DYNASTY

mfalme Hyegong of Silla alipata kuishi mnamo karne ya 7 nchini korea ya leo, alitawazwa mfalme akiwa na miaka 8. huyu bwana wanadai hakuvutiwa sana na uwanaume wake, muandishi mmoja anaitwa Ahn Jeong-bok amefikia hatua ya kudai huyu bwana alikuwa ni mwanamke zaidi kuliko mwanaume, alifikia hatua ya kuvaa nguo za kike.

bila ya shaka tunawafahamu HWARANG, stori za vibaraza vya kahawa pia zinatutanabahisha ya kwamba eti wale vijana nao walikuwa na chembe chembe za kufungia kwao (ushoga)
kwa kunukuu zaidi baadhi ya mashairi ya nyimbo zao ambazo zimenukuliwa kwenye kitabu cha the chronocle of three kingdom.

neno hwarang kwa dunia ya leo nchini korea limesababisha kuzaliwa kwa maneno kama vile hwallyangi au hwangangnom (yenye maana ya play boy au good for nothing)

Song of Yearning for the Flower Boy Taemara
The whole world weeps sadly
The departing Spring.
Wrinkles lance
Your once handsome face,
For the space of a glance
May we meet again.
Fair Lord, what hope for my burning heart?
How can I sleep in my alley hovel?​



Ch’oyong’s Song
Playing in the moonlight of the capital
Till the morning comes,
I return home
To see four legs in my bed.
Two belong to me.
Whose are the other two?
But what was my own
Has been taken from me, what now?


mpaka sasa sijui nimeandika nini.
mjinga D A E M U S H I N
 
USISOME KAMA HUNA MIAKA 90 YA KUZALIWA

nimesoma sehemu fulani sijui kama ni kweli au ni kasumba za vibaraza vya kahawa.
" During the Goryeo dynasty, same-sex sexual activity was not explicitly prohibited".

unaikumbuka movie ya frozen flower, unajua yule mfalme baradhuli (kwetu tunamwita khanithi) alikuwa ni wa taifa la Goryeo japokuwa uhusika wake ni wa kidhahania, nafikiri ni rahisi kuzungumzia homosexuality kupitia utaifa wa Goryeo iliojengwa kwa imani ya kuvumiliana (buddhism) kuliko utaifa wa Joseon iliojengwa kwa misingi ya neo Confucianism

chukua na hii:
rikodi tofauti za waandishi wale zinatuaminisha ya kwamba mfalme Mokjong (karne ya 10) ambaye ndiye huyo unayemuona ndani ya hiyo drama alikuwa anavutiwa zaidi na watumishi wa kiume kuliko watumishi wa kike na aliwafanya kama vile ni wapenzi wake (wonchung ), si ajabu bwana muandishi wa hiyo drama akajaribu kutuonyesha upande huo.

mwengine aliitwa Gongmin naye alitawala Goryeo kwenye karne ya 13, huyu bwana baada ya kumpoteza mke wake mpendwa malikia Noguk kutoka Yuan Mongolia maisha yake ya dunia ni kama vile yalisimamishwa kutokana huzuni ndeefu iliotapakaa kwenye nafsi yake.... katika kutafuta kwake utulivu waandishi wale wanadai bwana huyo aliamua kujiweka karibu zaidi na vijana wa kiume aliowatumia kama walinzi wake na watumishi wake wa ndani zaidiii.

waandishi wakaenda mbali zaidi kwa kudai ya kwamba hata mtoto aliyezaa baadae hakuwa ni wake bali alikuwa ni mtoto wa Monk aitwae Shin Don (tafuta drama yake utamfahamu), masikini baadae yule mtoto aliondoshwa madarakani na kuuliwa.

Lakini usisahau hadithi hizi za vibarazani zilichochewa zaidi na Team Yi Seong Gye (bila ya shaka unajua bwana huyo ndiye aliyeanzisha Utawala wa joseon baada ya kuanguka kwa Goryeo). kuna wajinga wanadai maisha yote mshindi ndiye anayeandika historia atakavyo, si unazikumbuka bibiye hadithi za IDDI AMINI na kukata kwake matiti ya wanawake?
======================
JOSEON

nimeikuta sehemu
During the Joseon Dynasty, however, Korean society experienced a draconian shift as the neo-Confucian elite and scholars declared homosexuality wicked and depraved, forcing homosexual activity to go underground and in secrecy.

unamjua Crown Princess Bong?
alikuwa ni mke wa mfalme Munjong wa Joseon, huyu bwana ndiye alirithi madaraka kutoka kwa baba yake aitwa SEJONG THE GREAT, inamaana alikuwa ni mtawala wa tano wa ukoo wa YI.

kabla ya mume wake kutawazwa kuwa mfalme, huyu dada alitimuliwa ndani ya familia ya kifalme kwa sababu ya kulala na mtumishi wa kike (inasemekana walikuwa wawili), ina maana bidada alikuwa ni lesbian na hiyo ilikuwa ni karne ya 14, kuna mengi aliyapitia ndani ya ndoa yake mpaka akafikia hatua ya kujifurahisha na wasichana wenzake (hakupendwa sana na mume wake). Hatimaye sejong the great akaamua kumtimua.

Je unafahamu japo kidogo stori ya Sa bang ji?
nyaraka za Joseon zimeandika ya kwamba huyu kiumbe alikuwa anashare pande zote mbili za jinsia.
mwaka 1988 nchini korea muandishi fulani na director wake waliamua kutengeneza movie inayomzungumzia huyu kiumbe, wanadai huyu alikuwa anashare dozi kwa walioachwa mpaka kwa wale mabuddha wanyoa vipara wa kike (Bhikkhunī)

kuna neno linaitwa Hypospadias nimelikuta kijiweni
maana yake ipo google
View attachment 2822654
filamu ya sa bang ji
=======================
SILLA DYNASTY

mfalme Hyegong of Silla alipata kuishi mnamo karne ya 7 nchini korea ya leo, alitawazwa mfalme akiwa na miaka 8. huyu bwana wanadai hakuvutiwa sana na uwanaume wake, muandishi mmoja anaitwa Ahn Jeong-bok amefikia hatua ya kudai huyu bwana alikuwa ni mwanamke zaidi kuliko mwanaume, alifikia hatua ya kuvaa nguo za kike.

bila ya shaka tunawafahamu HWARANG, stori za vibaraza vya kahawa pia zinatutanabahisha ya kwamba eti wale vijana nao walikuwa na chembe chembe za kufungia kwao (ushoga)
kwa kunukuu zaidi baadhi ya mashairi ya nyimbo zao ambazo zimenukuliwa kwenye kitabu cha the chronocle of three kingdom.

neno hwarang kwa dunia ya leo nchini korea limesababisha kuzaliwa kwa maneno kama vile hwallyangi au hwangangnom (yenye maana ya play boy au good for nothing)

Song of Yearning for the Flower Boy Taemara
The whole world weeps sadly
The departing Spring.
Wrinkles lance
Your once handsome face,
For the space of a glance
May we meet again.
Fair Lord, what hope for my burning heart?
How can I sleep in my alley hovel?​



Ch’oyong’s Song
Playing in the moonlight of the capital
Till the morning comes,
I return home
To see four legs in my bed.
Two belong to me.
Whose are the other two?
But what was my own
Has been taken from me, what now?


mpaka sasa sijui nimeandika nini.
mjinga D A E M U S H I N
Dah hili andiko saluti[emoji1316][emoji23][emoji23]

Hapo kwa Gongmin umenikumbusha kwenye The Great Seer yule mfalme aliyeuawa na vijana wa kiume waliokuwa wanacheza nae,muonekano wao ulikuwa unanitia shaka japo fikra hazikufika mbali.


Kwa sababu mimi ni mfuatiliaji wa vitu acha nichimbe zaidi


Anyway juzikati mahakama ya South Korea imeondoa ban ya homosexuality jeshini
 
Twinkling ni drama bora sana kuanzia story line na wahusika,japo mwanzoni ina changanya kidogo ila baada ya episode kadhaa utaipenda

Basi naona nipo huko mwanzoni
Ila nimeishusha yote nitatizama

Kale kanyimbo ka mwanzo ka band ndo kanafanya nivumilie

Yi chan kachangamka sana
 
USISOME KAMA HUNA MIAKA 90 YA KUZALIWA

nimesoma sehemu fulani sijui kama ni kweli au ni kasumba za vibaraza vya kahawa.
" During the Goryeo dynasty, same-sex sexual activity was not explicitly prohibited".

unaikumbuka movie ya frozen flower, unajua yule mfalme baradhuli (kwetu tunamwita khanithi) alikuwa ni wa taifa la Goryeo japokuwa uhusika wake ni wa kidhahania, nafikiri ni rahisi kuzungumzia homosexuality kupitia utaifa wa Goryeo iliojengwa kwa imani ya kuvumiliana (buddhism) kuliko utaifa wa Joseon iliojengwa kwa misingi ya neo Confucianism

chukua na hii:
rikodi tofauti za waandishi wale zinatuaminisha ya kwamba mfalme Mokjong (karne ya 10) ambaye ndiye huyo unayemuona ndani ya hiyo drama alikuwa anavutiwa zaidi na watumishi wa kiume kuliko watumishi wa kike na aliwafanya kama vile ni wapenzi wake (wonchung ), si ajabu bwana muandishi wa hiyo drama akajaribu kutuonyesha upande huo.

mwengine aliitwa Gongmin naye alitawala Goryeo kwenye karne ya 13, huyu bwana baada ya kumpoteza mke wake mpendwa malikia Noguk kutoka Yuan Mongolia maisha yake ya dunia ni kama vile yalisimamishwa kutokana huzuni ndeefu iliotapakaa kwenye nafsi yake.... katika kutafuta kwake utulivu waandishi wale wanadai bwana huyo aliamua kujiweka karibu zaidi na vijana wa kiume aliowatumia kama walinzi wake na watumishi wake wa ndani zaidiii.

waandishi wakaenda mbali zaidi kwa kudai ya kwamba hata mtoto aliyezaa baadae hakuwa ni wake bali alikuwa ni mtoto wa Monk aitwae Shin Don (tafuta drama yake utamfahamu), masikini baadae yule mtoto aliondoshwa madarakani na kuuliwa.

Lakini usisahau hadithi hizi za vibarazani zilichochewa zaidi na Team Yi Seong Gye (bila ya shaka unajua bwana huyo ndiye aliyeanzisha Utawala wa joseon baada ya kuanguka kwa Goryeo). kuna wajinga wanadai maisha yote mshindi ndiye anayeandika historia atakavyo, si unazikumbuka bibiye hadithi za IDDI AMINI na kukata kwake matiti ya wanawake?
======================
JOSEON

nimeikuta sehemu
During the Joseon Dynasty, however, Korean society experienced a draconian shift as the neo-Confucian elite and scholars declared homosexuality wicked and depraved, forcing homosexual activity to go underground and in secrecy.

unamjua Crown Princess Bong?
alikuwa ni mke wa mfalme Munjong wa Joseon, huyu bwana ndiye alirithi madaraka kutoka kwa baba yake aitwa SEJONG THE GREAT, inamaana alikuwa ni mtawala wa tano wa ukoo wa YI.

kabla ya mume wake kutawazwa kuwa mfalme, huyu dada alitimuliwa ndani ya familia ya kifalme kwa sababu ya kulala na mtumishi wa kike (inasemekana walikuwa wawili), ina maana bidada alikuwa ni lesbian na hiyo ilikuwa ni karne ya 14, kuna mengi aliyapitia ndani ya ndoa yake mpaka akafikia hatua ya kujifurahisha na wasichana wenzake (hakupendwa sana na mume wake). Hatimaye sejong the great akaamua kumtimua.

Je unafahamu japo kidogo stori ya Sa bang ji?
nyaraka za Joseon zimeandika ya kwamba huyu kiumbe alikuwa anashare pande zote mbili za jinsia.
mwaka 1988 nchini korea muandishi fulani na director wake waliamua kutengeneza movie inayomzungumzia huyu kiumbe, wanadai huyu alikuwa anashare dozi kwa walioachwa mpaka kwa wale mabuddha wanyoa vipara wa kike (Bhikkhunī)

kuna neno linaitwa Hypospadias nimelikuta kijiweni
maana yake ipo google
View attachment 2822654
filamu ya sa bang ji
=======================
SILLA DYNASTY

mfalme Hyegong of Silla alipata kuishi mnamo karne ya 7 nchini korea ya leo, alitawazwa mfalme akiwa na miaka 8. huyu bwana wanadai hakuvutiwa sana na uwanaume wake, muandishi mmoja anaitwa Ahn Jeong-bok amefikia hatua ya kudai huyu bwana alikuwa ni mwanamke zaidi kuliko mwanaume, alifikia hatua ya kuvaa nguo za kike.

bila ya shaka tunawafahamu HWARANG, stori za vibaraza vya kahawa pia zinatutanabahisha ya kwamba eti wale vijana nao walikuwa na chembe chembe za kufungia kwao (ushoga)
kwa kunukuu zaidi baadhi ya mashairi ya nyimbo zao ambazo zimenukuliwa kwenye kitabu cha the chronocle of three kingdom.

neno hwarang kwa dunia ya leo nchini korea limesababisha kuzaliwa kwa maneno kama vile hwallyangi au hwangangnom (yenye maana ya play boy au good for nothing)

Song of Yearning for the Flower Boy Taemara
The whole world weeps sadly
The departing Spring.
Wrinkles lance
Your once handsome face,
For the space of a glance
May we meet again.
Fair Lord, what hope for my burning heart?
How can I sleep in my alley hovel?​



Ch’oyong’s Song
Playing in the moonlight of the capital
Till the morning comes,
I return home
To see four legs in my bed.
Two belong to me.
Whose are the other two?
But what was my own
Has been taken from me, what now?


mpaka sasa sijui nimeandika nini.
mjinga D A E M U S H I N

Asante sana kwa andiko hili

Wakati natafuta sababu ya kuendelea kuitazama, niliipitisha tu kuwa inawezekana historia ndio ilivyokua

Na huyo Bae wake nna mashaka nae sijui ni team Baba wa kambo
 
Nasubiria sana Exchange 3

Dating show wanazokaa mwenz ni worth watching kwakweli

Hutazamagi I am solo?

Wanakaa siku tano ila unaeza kutana na drama [emoji1787] kama wamejuana kitambo.

Ile ya kurudiana niliiacha, wamebadili badili vitu
Wanaeka waigizaji wakati wenye stori wapo
 
Hizi nzuri hutajutia bando lako(muda wako)

Crash Landing on You

Descendants of the Sun

The Heirs

I’m Not a Robot

Healer

Fight for My Way

Love in the Moonlight

What’s Wrong with Secretary Kim

Business Proposal

My Love from the Star

Hwarang: The Poet Warrior Youth

Bring It On, Ghost

Coffee Prince

Etc etc Hapo sijaweka hospital dramas nazo ni nzuri sana
[emoji16][emoji16] kati ya hizi sijaangalia love in the moonlight na Fight for my way
 
Kuna anayeangalia healer mwaka huu 2023? [emoji2]

Binafsi naangalia latest drama ya mwaka husika ama mwaka unaofuata mwanzoni....mfano drama za 2023 nitaacha kuangalia 2024 june

Hata healer niliiangalia kipindi inatoka
Hiyo spring night nimeona ni ya 2019 [emoji2356]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ungejua drama za zamani zilivyo tamu, mimi drama ambayo siwezi angalia sasa hivi ni ya chini ya 2010. Sichagui sibagui... Mwaka jana au mwaka juzi sikumbuki vizuri nimeangali Cheese in the trap, Cinderella and the four knights na Cofee prince
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ungejua drama za zamani zilivyo tamu, mimi drama ambayo siwezi angalia sasa hivi ni ya chini ya 2010. Sichagui sibagui... Mwaka jana au mwaka juzi sikumbuki vizuri nimeangali Cheese in the trap, Cinderella and the four knights na Cofee prince

Hahaha mie nataka vipya tu...
Vya mwaka husika ama nikijitahidi sana ni mwaka mmoja nyuma

Sasa hivi kuna hii ipo on going inaitwa a good day to be a dog ...ni ya mwaka huu,kila baada ya wiki inatoka episode moja
 
Back
Top Bottom