talnam dude hili round hii kuna sheria mpya kwa trailer yake inaonekana hata kuflirt na kukiss ruksa[emoji23]View attachment 2826690
Imesogezwa hadi 2024 sijui itatoka mwezi wa ngapi[emoji1787][emoji1787]
Mambo ya eden sasa
Aibu tutaona sie watazamaji
Exchange hairudi?
Kaka twende goguryeoNitapaswa kutembea KM ngapi ili nifike kwao:-
koncho77
Hziyech22
Han Kyul
talnam
Numbisa
Mpemba kadandia boti ya bakharesa, kaja kushangaa maghorofa ya darisalama na miili mikubwa ya wasichana.
Jioni hii nimejaribu kunyoosha miguu mpaka mwenge stendi ya gari, nimechoka.
Kilichonishangaza ni kuona barabarani kunachomwa half cake kila baada ya masafa mafupi.
Ila nyie wajinga muna linchi kubwa mnoo,
Goguryeo imeshajifia...Kaka twende goguryeo
Nitapaswa kutembea KM ngapi ili nifike kwao:-
koncho77
Hziyech22
Han Kyul
talnam
Numbisa
Mpemba kadandia boti ya bakharesa, kaja kushangaa maghorofa ya darisalama na miili mikubwa ya wasichana.
Jioni hii nimejaribu kunyoosha miguu mpaka mwenge stendi ya gari, nimechoka.
Kilichonishangaza ni kuona barabarani kunachomwa half cake kila baada ya masafa mafupi.
Ila nyie wajinga muna linchi kubwa mnoo,
nimefika kweli jiji la tafrani na kupigwa vikumbo njiani.Mpemba kafika dar,
urojo nimeambiwa niandae mwenyewe, huku watu wanajua chapati, maandazi ya mafuta na hizo half cake nilizoziona kila barabara niliopita tena zinapikwa na wavulana wa DAR.Katafuta urojo wee kakosa maandazi anaita half cake jamani
Inshaallah, ngoja niombe likizo huko mbeleni.Njoo koromije kila kituo utakutana na wauza miwa
mahindi yenyewe munayachemsha kwa maji ya ziwa viktoria beckam.koromije pekee bila kusahau mahindi ya kuchoma na ya kuchemsha
Nitapaswa kutembea KM ngapi ili nifike kwao:-
koncho77
Hziyech22
Han Kyul
talnam
Numbisa
Mpemba kadandia boti ya bakharesa, kaja kushangaa maghorofa ya darisalama na miili mikubwa ya wasichana.
Jioni hii nimejaribu kunyoosha miguu mpaka mwenge stendi ya gari, nimechoka.
Kilichonishangaza ni kuona barabarani kunachomwa half cake kila baada ya masafa mafupi.
Ila nyie wajinga muna linchi kubwa mnoo,
My demon imenibamba kweliNow weekend nasonga na Perfect Marriage Revenge na kuanzia kesho naenda sawa na My Demon & Story Of Park's Marriage Contract
Hao wazembe nilishawahama nipo KissasianKimoitv siku hizi wanariiingaaa full mizunguko
Nzuri sana ila inanipa vibe la Goblin naona kuna chembe za sad ending but let's wait and seeMy demon imenibamba kweli
Wale main cast wameendana vibaya mno
Hao wazembe nilishawahama nipo Kissasian
[mention]Han Kyul [/mention] nimeyavagaa mambo ya kutafuta dating show
Nikajikuta nimeshusha ep 10
Kuingia ndani kumbe BL[emoji24]
Nilikuta iko recommended sana youtube among best kdating za mwaka huu sikupata akili ya kutafsir lile jina
Nimefungua ep ya kwanza sioni wanawake ya pili mmnh
Dah astakhfirullah za kutosha huku nafuta