Kijana kwenye hii sector umeiva sasa, hii ni moja kati ya taratibu nyingi za kikorea. Unapochekeshwa ama kutaniwa wakati ukiwa na kitu mdomoni ni lazima uweke gesture ya kupaliwa kidogo.😂Kaka ume nifanya niteme maji niliyo kuwa nakunywa😂🤣🤣
Dah wakorea wa jf sisi😂🤣Kijana kwenye hii sector umeiva sasa, hii ni moja kati ya taratibu nyingi za kikorea. Unapochekeshwa ama kutaniwa wakati ukiwa na kitu mdomoni ni lazima uweke gesture ya kupaliwa kidogo.😂
Hutu mdau wa Humu??, Au ndo tigo wenywe??Habari mkuu. Naomba nitumie file hii nipakue A PIECE OF YOUR MIND
Hutu mdau wa Humu??, Au ndo tigo wenywe??
[emoji117]Nisije uza soko la watu, I mean no malice to nobody
Basi acha nitulie🤗🤗We unataka kutuchoma
Kitu kikiwekwaga humu chap kinapotea
Kuhusu huyo sijui[emoji4]
Nipe muongozo dm please hicho kitongaBasi acha nitulie🤗🤗
Kitu ambacho kinachonivutia zaidi kwa wakorea jinsi mazungumzo yao ni madini tupu hata yawe ya kuchekesha maneno mazuri kama wamemezeshwa ndio maana nikicheki huwa nafuatilia subtitles jino kwa jino.Hawa jamaa huwa wana script zilizoenda shule, waigizaji hawaongeiongei hovyo bila mantiki.
Kipo Moto Mimi nimepata jana kwa mwanangu nikajua hakijasambaa Leo nipo kijiwe fulani kimemkuta Wana wanapeana mchongo huo ,nikajisemea moyoni kama imefika kusambaa stage hqkitofika mbali ..Kuna kitonga Cha Tigo, ha tunnel ni 🔥🔥.
Shusha mapazia Sasa😆🤣😂, nikupe list?? Mvaa Kobazi kitonga Cha ha tunnel hiki😆🤣We unatakapo Moto Mimi nimepata jana kwa mwanangu nikajua hakijasambaa Leo nipo kijiwe fulani kimemkuta Wana wanapeana mchongo huo ,nikajisemea moyoni kama imefika kusambaa stage hqkitofika mbali ..
Ngoja niifanyie mpango, ninayo ila sii tumii😂🤒Nimedowload chap kwa kitongo Song of bandits episodes 7 chap ,kinakimbiza balaa ..
Ebu tuelekezaneNgoja niifanyie mpango, ninayo ila sii tumii😂🤒
Huyu jamaa ni Comedian mzuri sana😂
Kajamaa kafala sana haka....Huyu jamaa ni Comedian mzuri sana😂
Hii ni balaa yule Ha Jeong ni kiboko anaonekana ni playgirl na ile style yake ya kubend shingo huku anakata jicho flani[emoji23][emoji23]Mnnh kama too much kujiachia [emoji3525]