Nimeulizia kwa aliyeniuzia laini na haya ndio majibu yakeNomba maelekezo ya kujiunga na kile cha halotel mie kinagoma bado japo lain inaonyesha kipo
Ndio yenyewe.Wanaoangalia za kutafsiriwa wana tabu sana wanawekewa majina ya kipuuzi.
Kwa contents za drama za mwaka jana bila shaka anaisemea hii Our Blooming Youth ya Park Hyung Sik kama sio hii basi anapaswa kupambana kivyakeView attachment 2906757
Nimeulizia kwa aliyeniuzia laini na haya ndio majibu yake
View attachment 2907186
talnam inahitajika miujiza na mazungumzo ya kina kuokoa at least couple moja ama mbili za Exchange 3
No doubt almost wote wana lingering feeling ,ia communication issues ndio tatizo kubwa sana wanaume wa round hii wazembe too much kujieleza ila wanajikuta wataalamu wa mambo kwa kukimbilia relationship mpya kisa watu wapya hawawezi kujua flaws zao just kwa wiki chache wanazospend wote.
Umri sio ishu kuna yule dogo wa season 1 aliyekuwa na miaka 21 akadate na mwanamke mkubwa kwake miaka 6,dogo alikuwa na matured mind sana kiasi kwamba wanawake wote mule walikuwa wanamkubali kwa sababu hata wakiwa nae wanajihisi wapo na mkubwa mwenzao hawaoni gap kabisa.Hapo ya hwiyun na hye won tu nae tangu nijue umri wake, akakue kwanza venye bado hata hela hakana hapaswi kumsumbua hyewon wangu
Nikijibu hili tokea ep 8 [emoji24]
Na nimeona leo ep 10 jaman siku ya kuzitazama khee
Nipo nacheki hili picha najihisi namuangalia Gilidongwaaaaaaaa au six flying dragonsMpaka sasa nimeishia episode 24( zingine bado hazijatoka)
View attachment 2907295
Hii Goryeo Khitan war Drama imenifurahisha.
Choi soo jong anazidi kuonesha kuwa yeye ni baba wa historical drama. Mzee wenu( Boo Deuk Bool) a.k.a waziri wa Buyeo anaziweza sana fitna.
Mwamba aliyecheza kama Yang Kyu ametisha sana. Kifupi humu ndani kila mmoja katisha sana. Lile limwamba Xiao Paiya( kamanda wa Khitan) linasura ya kikatili ila linaakili pia. Halafu huyu mfalme aliyepinduliwa mtoto wa Empress Chunchu anaonekana alikuwa kweli anashiriki mapenzi ya jinsia moja. Maana hata kwenye drama ya Empress Cheonchu pia amechorwa hivyo pia.
Nilichogundua watoto wasiku hizi ndio wanaharibu drama. Cheki chuma kama hii imefanywa watu wa kazi imesimama dede. Kifupi nimejihisi kama nipo 2015 kurudi nyuma maana dude limeiva.
Hahah Gang Gam Chan na Mkewe wanavituko sana.
Anyway nyie watu wa ongoing drama ndio mnatesekaga hivi?!
Umri sio ishu kuna yule dogo wa season 1 aliyekuwa na miaka 21 akadate na mwanamke mkubwa kwake miaka 6,dogo alikuwa na matured mind sana kiasi kwamba wanawake wote mule walikuwa wanamkubali kwa sababu hata wakiwa nae wanajihisi wapo na mkubwa mwenzao hawaoni gap kabisa.
Sasa huyu Hwihyun bila shaka upumbavu ni jadi yake halafu tangu ajijue yeye ndio Maknae kundini basi anajikuta mtoto kweli.
Hyewon ndio anaeteseka maana si kwa kumpenda kule ukizingatia kabla ya kuwa nae karibu alikuwa anammezea mate kwa miaka miwili akaamue ajitose kwa kijana.
Wakirudiana sio mbaya ila wataachana tena kwa sababu zilezile but dogo akiwa dumped itakuwa lesson kubwa kwake kwenye future yake.
Halafu anataka kudate na mtu kama Seokyung[emoji23][emoji23]
Anafikiri kila mwanamke ni Hye Won kwamba atampenda unconditionally na flaws zake kama zote tena Seokyung ana pride si kitoto dogo atakuja kujinyonga bure.
After all kumbe Sang Jeong sio ex wa Kwang Tae,nilitaka kushangaa ucheshi wote ule, vibe na energy yake kama yote neno I love you limshinde
Tukirudi kwa Changjin hana interest na yoyote zaidi za ex wake,anahitahi ujasiri mkubwa ili kumrudisha Yu Jung kwenye himaya yake alifanya mistake japo sio kubwa kutomshirikisha kwenye matatizo yake but naelewa hakutaka kuonekana dhaifu kama mwanaume.Ah yule kama Mtu mzima jaman
Hata mi nili m crush
Alikua anamdekeza jaman, sent from heaven kabisa yule.
Hii moja ya kazi Kali ambazo natamani nirudie wahusika wake wapo Moto sana .Khantwe Al-Hadidy Mac Alpho na wadau wote wa huu uzi mi nawatakia usiku mwema
View attachment 2901160
the slave Hunter, Jang hyuk huyoo.Sasa nafuatilia Slave hunters nipo episode ya 20 nakaribia kumaliza huku nimeanza Iljimae..
Avatar ya mkorea nilikuwa najiuliza ni mwamba gani nikaja kumona sasa kwenye Slave hunters ni mkali Daegil.
Niko na warrior baek dong so ep 3Sasa nafuatilia Slave hunters nipo episode ya 20 nakaribia kumaliza huku nimeanza Iljimae..
Avatar ya mkorea nilikuwa najiuliza ni mwamba gani nikaja kumona sasa kwenye Slave hunters ni mkali Daegil.
Ya bwana Ji Chang wook.Niko na warrior baek dong so ep 3
Nakutumia external device yanguSielewi hayo manuva yanapigwaje mtu akiwa mbali .