Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Nimemaliza Slave hunters, nimepata series nyingine inaitwa "Shine or Go Crazy" kitonga nimekuta kuna mwamba anayo mwanzo mpaka final ila ya kutafsiriwa nimeiweka nilicheki.

Intelligent businessman ushacheki hilo kigongo ninachocheki now ?
Kaka mwamba Jang hyuk kaki washa mno humo.
Yaani uchizi wake ndo Ume onekana humo, ana piga Huku ana cheka😂.

Kifupi ni 🔥🔥🔥 adriz
 
Kaka mwamba Jang hyuk kaki washa mno humo.
Yaani uchizi wake ndo Ume onekana humo, ana piga Huku ana cheka😂.

Kifupi ni 🔥🔥🔥 adriz
Mimi mara ya kwanza Jang hyuk nimemuona kwenye hii niliyoimaliza slave hunters kama Deagilinga ,mule nilimkubali sana ukichaa wake na humu bado anapigo hizo hizo anaishi na mkewe kama anaishi na msela wake mpaka mtangazaji alipomuona tu akasema huyu mwamba tunae na huwa hana akili vizuri kama kapagawa..
 
Arrgh yaani adriz bado una kula chakula kwa kuhadithiwa😂🙄.
👉Kamtafuta kwenye my country, kaki chafua pia.
 
Nimemaliza Slave hunters, nimepata series nyingine inaitwa "Shine or Go Crazy" kitonga nimekuta kuna mwamba anayo mwanzo mpaka final ila ya kutafsiriwa nimeiweka nilicheki.

Intelligent businessman ushacheki hilo kigongo ninachocheki now ?
Hii drama niliangalia episode moja ikawa inaniboa nikaachana nayo... baadae nilivyomjua Jang hyuk nikaangalia drama zake nakuta ipo na hiyo aisee nilirudi kwa speed nahisi drama nzima niliimaliza kwa siku mbili[emoji1787][emoji1787]
 
Hii drama niliangalia episode moja ikawa inaniboa nikaachana nayo... baadae nilivyomjua Jang hyuk nikaangalia drama zake nakuta ipo na hiyo aisee nilirudi kwa speed nahisi drama nzima niliimaliza kwa siku mbili[emoji1787][emoji1787]
Fated to love you, uliiona?
 
Arrow in the bow string
Kama sikosei
 
Wakati nasubiria episodes zingine za drama yangu Koryeo Khitan war, basi nikasema wacha niijaribu drama ya My Country. Anyway si mbaya. Ndo kwanza nipo episode ya 2 wacha tuone.
 
Nikianza drama ni ngumu sana kuikatisha au kurukia nyingine. Nipo napambana na jumong mpaka iishe kisha nirukie waikiki 2.
 
Nikianza drama ni ngumu sana kuikatisha au kurukia nyingine. Nipo napambana na jumong mpaka iishe kisha nirukie waikiki 2.
Hahaha walewajinga, Kina Jung Ki kwenye waikiki Chubakka au bakka wanavituko. "Kazzaaa"
Kwenye ile nyumba ukienda na akili zako timumamu baada ya wiki nawewe unageuka wazimu.
Waikiki 2 ni nzuri ila bado haijafika kwa Waikiki 1.
Ukiimaliza waikiki 2 kaitafute Modern farmers ni nzuri pia.
 
Vituko sana,nilipenda sehemu kavumbua saini yake,mtu anasaini masaa telee. Tatizo la wakorea season 2 wanabadilisha characters wengi mpaka inaharibu ladha ya muendelezo.Sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…