Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Uwe una andika drama cool.og, Hawa nime wanyooshea mkono.Ipo vizuri sana Mimi siwezi kuchukua site nyingine zaidi ya hiyo ,sasa wahuni wamevamia ukiingia chrome ukiandika dramaCool zinakuja za mchongo ni ngumu kuipata Og , mimi nikipata tabu mpaka nikurudi nyuma page fulani katika Uzi huu nikaikuta link ndio ikaja website Og.
Series ukiibofya chini inaweka na wahusika wakuu wote na ukimclick zinakuja list za movies zake na maelezo mafupi kuhusu muhusika , ukitaka unasearch mtu vigongo vyake vyote vinakuja..View attachment 2921836
Yani nimeona tu na kuvuta simu hapa guess whaat imefunguka…..AsanteeNimesikia sikia tetesi nyumbani kumenoga bila vpn wala file mida ile ile ya files
Bila shaka ni binti...adriz, Selikavu
Hii ni moja ya ost Kali na yenye majonzi Sana.
Ime nikumbusha mtu, Hadi nime toa machozi
View attachment 2921826
Hayupo Tena Kaka, ali fariki Mwaka Jana.Bila shaka ni binti...
Mapenzi yatakuua kaka😅
Bado kumenoga maana kama hii code naipata pata hivi😃Nimesikia sikia tetesi nyumbani kumenoga bila vpn wala file mida ile ile ya files
Pole sana kakaHayupo Tena Kaka, ali fariki Mwaka Jana.
Alipo nitoa, Kaka nili Lia sana
Nita andika story yake, tume kutana Mwaka Jana, and she was gone Mwaka huo.Pole sana kaka
Sawaa naingojea....Nita andika story yake, tume kutana Mwaka Jana, and she was gone Mwaka huo.
Aisee ni Kama alikuja kuni heal tu
Nadhani after 2 weeks, nasubiri kitu fulaniSawaa naingojea....
Sina namba zake mlikubaliana saa ngapi kwani??
Ilikuwa kuanzia weekend, naona adriz kukimbia🤣🤓Sina namba zake mlikubaliana saa ngapi kwani??
Nina miaka 4 sija licheza, download Sasa hivi niku umbue🤣🤓Sema mimi nililifuta nikidownload tena nakshtua tuwashe
Nina kazi za watu acha nifanye😃Nina miaka 4 sija licheza, download Sasa hivi niku umbue🤣🤓