talnam i think nimekata tamaa kwa Dong Jin & Dahye ni muda wa bibie kumuacha jamaa aende kiroho safi,hatakuwa na majuto badala yake ataishi na historia ya loyal girlfriend miaka 13 kuspend na mwanaume mmoja ni nadra sana kutokea kwa hulka za wanawake wengi.
Nimehamia kwa Chang Jin na Yu Jung-hapa panaonekana pagumu ila soon tutakuwa tunashangilia huyo Bibie bado ana hisia na jamaa ila hasira na kinyongo cha jamaa kutomjibu meseji ya breakup akidhani atamstop ndio kinachomfanya awe cold mbele ya mshkaji na kuamua kujiweka kwa Juwon.
Anasema hataki kurudiana na jamaa halafu akimuona anacheka kwa furaha na wanawake wengine wivu na hasira vinamshika anasema eti Chang Jin is so rude to her(kwenye preview ya episode ijayo vicheko vya Changjin na Dahye vitamkosesha raha tena ataamua kukaa na jamaa waongee)
Changjin atalalamika kuhusu Yu Jung kuonesha sura tofauti kwake tangu anafika,mtoto wa kike atareact kwamba na yeye pia kaona sura za tofauti kwa jamaa kitu ambacho kimemtia wazimu,atatiririka hadi ishu ya kukosa usingizi ile siku ambayo asubuhi yake alilia sana kitendo cha kusikia jamaa anapiga story na kucheka sana na Dahye.
I think moments zao zitaanzia hapo
Kuhusu Jong Eun na Kwang Tae nitatoa views zaidi nimemuelewa sana huyu bibie wanaendana na kijana