Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

inaitwa THE FUGITIVE OF JOSEON(the mandate of heaven)
inazungumzia maisha ya daktari choi won ambaye alikuwa anafanya kazi kwenye jumba la kifalme,ila baadae alishutumiwa kama alihusika katika mpango wa kumuekea sumu mfalme Injong jambo ambalo lilimpelekea awe ni mtuhumiwa na kuamua kukimbia(fugitive) pamoja na binti yake ambaye alijulikana kwa jina la choi rang.
fj16.jpg

starring
lee dong wook =choi won
song ji hyo =hong da in
kim yoo bin =choi rang

nakuomba radhi kwa kuchelewa kukujibu kwa sababu sijatembelea hapa kwa wiki moja
bd8413b58d7ae86cb48f47660339765b.jpg
46785c09432e9d0a05604f3e5110449b.jpg
Vp hawa wawili unawafaham aisee huyu mzee anakipaji ni balaa
 
Yupo pia kwenye Kingdom of the wind ni balaa tupu humu utacheka mpaka mbavu zikuume akiwa na huyo bwana mdogo.
Ndo nnapowapenda wakorea yaani wanakupa full package kila kitu unapata humo. Kama ni mbavu utavunjika sana, kama mchozi utamwaga yaani kila kitu unapata humo
 
Hahaha tamu kweli,hutajuta. Malizia tu hio kisha rukia inayosifiwa ukiwa sehemu tulivu kabisa
uuwiiiiii...!!niache kwanza nimalizie hotel king ndo nianzie hii descendants of the sun maana mnavyoicfia natamani niue ndege wawili kwa jiwe moja....hahahaha
 
Hahaha tamu kweli,hutajuta. Malizia tu hio kisha rukia inayosifiwa ukiwa sehemu tulivu kabisa
Nilikuwa naomba unifahamishe ni webste ipi ni rahis sana kudownload series za korea Drama. Nilikuwa natumia Dramanice aisee hii ndio ilikuwa nzur kwangu maana ilikuwa haina usumbufu kabisa lakn nashangaa siku mbili tatu hiz imeanza kusumbua tena sana tu.
 
Mie huwa natumia dramania ni nzuri sana ina vikorea vingi na episode zake zote
Nilikuwa naomba unifahamishe ni webste ipi ni rahis sana kudownload series za korea Drama. Nilikuwa natumia Dramanice aisee hii ndio ilikuwa nzur kwangu maana ilikuwa haina usumbufu kabisa lakn nashangaa siku mbili tatu hiz imeanza kusumbua tena sana tu.
 
Jumong, Bridal Mask,seven flying dragons, iljimae na Kim soro
 
Nimezoea hivyo. Nadownload hivyo hivyo ila kila part inayojirudia huwa nadownload moja tu mfano part 1,moja part 2 moja bila kurudia namba
4311ea72700fe923decfa680db174e37.jpg
namanisha hiyo kitu kwann isiwepo ya kupakua moja kwa moja Epsd 1 kuliko kuleta Part zake ama ww huwa unatumia vp
Yah ndio hiyo ila katka kila Epsd inakuwa na Part nyingi
 
Back
Top Bottom