inaitwa THE FUGITIVE OF JOSEON(the mandate of heaven)
inazungumzia maisha ya daktari choi won ambaye alikuwa anafanya kazi kwenye jumba la kifalme,ila baadae alishutumiwa kama alihusika katika mpango wa kumuekea sumu mfalme Injong jambo ambalo lilimpelekea awe ni mtuhumiwa na kuamua kukimbia(fugitive) pamoja na binti yake ambaye alijulikana kwa jina la choi rang.
starring
lee dong wook =choi won
song ji hyo =hong da in
kim yoo bin =choi rang
nakuomba radhi kwa kuchelewa kukujibu kwa sababu sijatembelea hapa kwa wiki moja
Huyu mzee nlimuona kwenye City hunter na Prosecutor princessVp hawa wawili unawafaham aisee huyu mzee anakipaji ni balaa
Yupo pia kwenye Kingdom of the wind ni balaa tupu humu utacheka mpaka mbavu zikuume akiwa na huyo bwana mdogo.Huyu mzee nlimuona kwenye City hunter na Prosecutor princess
Ndo nnapowapenda wakorea yaani wanakupa full package kila kitu unapata humo. Kama ni mbavu utavunjika sana, kama mchozi utamwaga yaani kila kitu unapata humoYupo pia kwenye Kingdom of the wind ni balaa tupu humu utacheka mpaka mbavu zikuume akiwa na huyo bwana mdogo.
uuwiiiiii...!!niache kwanza nimalizie hotel king ndo nianzie hii descendants of the sun maana mnavyoicfia natamani niue ndege wawili kwa jiwe moja....hahahaha
Habari yako mkuuHahaha tamu kweli,hutajuta. Malizia tu hio kisha rukia inayosifiwa ukiwa sehemu tulivu kabisa
Nilikuwa naomba unifahamishe ni webste ipi ni rahis sana kudownload series za korea Drama. Nilikuwa natumia Dramanice aisee hii ndio ilikuwa nzur kwangu maana ilikuwa haina usumbufu kabisa lakn nashangaa siku mbili tatu hiz imeanza kusumbua tena sana tu.Hahaha tamu kweli,hutajuta. Malizia tu hio kisha rukia inayosifiwa ukiwa sehemu tulivu kabisa
Nilikuwa naomba unifahamishe ni webste ipi ni rahis sana kudownload series za korea Drama. Nilikuwa natumia Dramanice aisee hii ndio ilikuwa nzur kwangu maana ilikuwa haina usumbufu kabisa lakn nashangaa siku mbili tatu hiz imeanza kusumbua tena sana tu.
Ww unaitumia vp maana mm ninayo ila inazingua tuMie huwa natumia dramania ni nzuri sana ina vikorea vingi na episode zake zote
Ipo hivi au?maana umesema dramanice huku hii inaitwa dramaniaWw unaitumia vp maana mm ninayo ila inazingua tu
Yah ndio hiyo ila katka kila Epsd inakuwa na Part nyingiInakuzingua wapi au kiaje?
Ipo hivi au?maana umesema dramanice huku hii inaitwa dramaniaView attachment 531069
Inakuzingua wapi au kiaje?
Ipo hivi au?maana umesema dramanice huku hii inaitwa dramaniaView attachment 531069
namanisha hiyo kitu kwann isiwepo ya kupakua moja kwa moja Epsd 1 kuliko kuleta Part zake ama ww huwa unatumia vp
Yah ndio hiyo ila katka kila Epsd inakuwa na Part nyingi
Jumong, Bridal Mask,seven flying dragons, iljimae na Kim soro
Aiseee ni nzuri jamani numbisaqBridal mask nimejilazimisha mara nying kuipenda na kuiangalia nimeshindwa
Mimi pia hii movie siielewi had leoBridal mask nimejilazimisha mara nying kuipenda na kuiangalia nimeshindwa
Mkuu mimi nilikuwa natumia website tu, ila siku hizi kuna App inaitwa Dramania icheki upakueMkuu software gani unatumia kupakua??
Aiseee ni nzuri jamani numbisaq
Mimi pia hii movie siielewi had leo