Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

muigizaji kim soo hyun leo amekanusha taarifa zilizosambazwa na chombo cha habari ya kwamba atakwenda kutumikia shughuli za kijeshi ifikapo mwezi septemba. Kwa mujibu wa kim soo hyun agency (keyeast) wamesema ya kwamba taarifa zilizochapishwa ni za uongo kwa sababu mpaka sasa hatujapokea taarifa yoyote kuhusiana na shughuli hizo za kijeshi ila tutakapopata taarifa kutoka sehemu husika basi tutaiweka hadharani.kutokana na kusumbuliwa na tatizo la moyo pindi alipokuwa mdogo kim soo hyun ameruhusika asitumikie jeshini na atafanya kazi za kijamii
19955578_500567953628240_1637844310420357120_n.jpg
Another Korean handsome face
 
muigizaji Jo In Sung amekubali ofa ya kuigiza kwenye historical movie inayoitwa ANSI CITY.
hii itakuwa ni historical movies ya pili kwa jo in sung kushiriki tokea aigize kwenye movie ya FROZEN FLOWER miaka 9 iliyopita. ANSI CITY ni movie inayozungumzia vita iliyodumu kwa takribani siku 88 kati ya taifa la TANG na nchi ya GOGURYEO. Jo in sung ndiye muigizaji mkuu wa movie hii na atacheza uhusika wa General YANG MANCHUN ambaye alikuwa ni commander wa taifa la Goguryeo kwenye ngome(fortress) ya ANSI kwenye miaka ya 640.
Jo-In-Sung.jpg
Duuh aisee huyu kaka ana roho ngumujee.. ila nisiseme maana co-actress yuko bize anacheza movie zingine kama sio yeye wa kwenye frozen flower hahaa
 
Duuh aisee huyu kaka ana roho ngumujee.. ila nisiseme maana co-actress yuko bize anacheza movie zingine kama sio yeye wa kwenye frozen flower hahaa
hahahahaaaaa ameshasahau.halafu noona bila ya kuwa na juhudi huwezi kufanikiwa kumbe song joong ki kwenye frozen flower alikuwemo na alicheza uhusika wa body guard wa mfalme.jaribu kuangalia picha na leo amekuwa muigizaji maarufu sana
Maxssanghwajum14.jpg
 
muigizaji Jo In Sung amekubali ofa ya kuigiza kwenye historical movie inayoitwa ANSI CITY.
hii itakuwa ni historical movies ya pili kwa jo in sung kushiriki tokea aigize kwenye movie ya FROZEN FLOWER miaka 9 iliyopita. ANSI CITY ni movie inayozungumzia vita iliyodumu kwa takribani siku 88 kati ya taifa la TANG na nchi ya GOGURYEO. Jo in sung ndiye muigizaji mkuu wa movie hii na atacheza uhusika wa General YANG MANCHUN ambaye alikuwa ni commander wa taifa la Goguryeo kwenye ngome(fortress) ya ANSI kwenye miaka ya 640.
Jo-In-Sung.jpg
Hamna series ya kikorea nliyotokea kuichukua kama hii ptyuuuuuu...!!(frozen flower)
 
hahahahaaaaa ameshasahau.halafu noona bila ya kuwa na juhudi huwezi kufanikiwa kumbe song joong ki kwenye frozen flower alikuwemo na alicheza uhusika wa body guard wa mfalme.jaribu kuangalia picha na leo amekuwa muigizaji maarufu sana
Maxssanghwajum14.jpg
Hahaa mi nilikaona...kalikuwa kanatokea mara chache sana. Wakorea hapo ndo nawapendaga mimi ukionyesha uaminifu katika dogo hawasiti kukupa kubwa. Wanakupa nafasi uonyeshe uwezo kwanza
 
muigizaji Jo In Sung amekubali ofa ya kuigiza kwenye historical movie inayoitwa ANSI CITY.
hii itakuwa ni historical movies ya pili kwa jo in sung kushiriki tokea aigize kwenye movie ya FROZEN FLOWER miaka 9 iliyopita. ANSI CITY ni movie inayozungumzia vita iliyodumu kwa takribani siku 88 kati ya taifa la TANG na nchi ya GOGURYEO. Jo in sung ndiye muigizaji mkuu wa movie hii na atacheza uhusika wa General YANG MANCHUN ambaye alikuwa ni commander wa taifa la Goguryeo kwenye ngome(fortress) ya ANSI kwenye miaka ya 640.
Jo-In-Sung.jpg
Mi Nilimkubari Kwenye It's OK, This is love, Moja ya Drama ilonitoa Machozi Bila ya kuyazuia, Amecheza vizuri sana Mule Ndani Na ile Chemistry na Kong Hyo-jin ilikuwa balaa,Yupo Vizurii...
 
hahahahaaaaa ameshasahau.halafu noona bila ya kuwa na juhudi huwezi kufanikiwa kumbe song joong ki kwenye frozen flower alikuwemo na alicheza uhusika wa body guard wa mfalme.jaribu kuangalia picha na leo amekuwa muigizaji maarufu sana
Maxssanghwajum14.jpg
Kwani Hii drama Naona Mnaisema Sana Ipoje?? Manaa Bado Sijaiangalia
 
hahahahaaaaa ameshasahau.halafu noona bila ya kuwa na juhudi huwezi kufanikiwa kumbe song joong ki kwenye frozen flower alikuwemo na alicheza uhusika wa body guard wa mfalme.jaribu kuangalia picha na leo amekuwa muigizaji maarufu sana
Maxssanghwajum14.jpg
Mbona sioni habari za Song il Gook ama kaisha potea

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
kwa mara ya kwanza leo baba wa muigizaji song joong ki amefanya mahojiano kuhusiana na taarifa za mtoto wake kufunga ndoa na mwanadada aliyemzidi kiumri kwa miaka 2 song hye kyo na alisema maneno yafuatayo

"song yupo kwenye umri mzuri sana kwa ajili ya kufunga ndoa na kama wazazi ni jukumu letu kuheshimu maamuzi ya mtoto wetu na zipo taarifa za uvumi zinazodai kama sisi tunapingana na ndoa hii iliyotangazwa kufanyika october 31 jambo ambalo ni la uongo. ninapenda kuona nikiitwa babu na mtoto atakayezaliwa na mwanangu na pia kumuona mtoto wangu akitekeleza majukumu yake ya kifamilia na pia kuzidi kufanikiwa kwenye kazi yake ya uigizaji.
Song-Hye-Kyo-Song-Joong-Ki1.jpg

pia ameendelea kusema ya kwamba bado mtoto wake anamtembelea mara kwa mara pamoja na marafiki zake hususan lee kwang soo ambaye ndiye rafiki yake mkubwa sana.
pia wakatii wakifanya kazi kwenye drama ya descendent of the sun song couple,jin goo,kim jin woo walikua wanalala hapa baadhi ya siku kwa sababu film location ilikuwa ni karibu
Kipindi wanatoa ile series ya D of the Sun walikuwa tayali ni wapenz????
 
Wengine tunapenda kuangalia hz series coz hata ukikaa na mzee au watoto sebulen unachek bila chenga lakin kwenye FROZEN FLOWER mmh...walizingua kidogo sio kwa figisu figisu zle[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
muigizaji kim soo hyun leo amekanusha taarifa zilizosambazwa na chombo cha habari ya kwamba atakwenda kutumikia shughuli za kijeshi ifikapo mwezi septemba. Kwa mujibu wa kim soo hyun agency (keyeast) wamesema ya kwamba taarifa zilizochapishwa ni za uongo kwa sababu mpaka sasa hatujapokea taarifa yoyote kuhusiana na shughuli hizo za kijeshi ila tutakapopata taarifa kutoka sehemu husika basi tutaiweka hadharani.kutokana na kusumbuliwa na tatizo la moyo pindi alipokuwa mdogo kim soo hyun ameruhusika asitumikie jeshini na atafanya kazi za kijamii
19955578_500567953628240_1637844310420357120_n.jpg
Huyu jamaa namkubal sana
kwa wadau wanaomkubal wajarib kuchek series moja hv inaitwa MY LOVE FROM ANOTHER STAR iko vizur sana jamaa yupo ndan hutojutia[emoji5] [emoji12]
 
Hii Queen of seven days ni nzuri? ina mahaba tuu ama na mapigano yapo?
Bado aijaisha Ila Mpka Apo ilipofikia, Naweza kusema aina Mapigano Sana ila Ina Mtiririko Mzuri wa Stori na Ina Mahaba Yasiyo ya juu sana,Mahaba yale yanayokufanya Uguswe Moyoni,
Ila ni Story inayowakutanisha ndugu wawili waliochangia Baba, Baba yao ni Mkuu wa nchi ila baada ya kifo chake aliacha wosia Kwenye Mwili wa Mwanamke ambaye bado ajafaamika ni Yupi,Na uo wosia ulikuwa unaelezea kuwa yule Mtoto Mdogo kati ya wale wawili ndo aje arithi kiti chake,Ila Mambo yalienda tofauti Na Visasi Vinaanza kwa yule Mkubwa Pamoja na wapambe wake Kumuwinda yule Mdogo kwa Nia ya Kumuua, Iyo ni kwa kifupi kwa Mengi Yaliyomo Umo, Nachokuahidi autajutia Bando Lako na Utapata full Package...Lakin kama Ni Mpenzi wa DRAMA Izo...
 
Wengine tunapenda kuangalia hz series coz hata ukikaa na mzee au watoto sebulen unachek bila chenga lakin kwenye FROZEN FLOWER mmh...walizingua kidogo sio kwa figisu figisu zle[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaan mi hiyo siku naiangalia nlikuwa na mwanangu na hubby bahati nzur mtoto akasinzia hapo hapo ile naenda kumlaza narudi ndo nakuta wanafanya upuuzi wao aiseee nilikereka ile mbaya nikaifutilia mbali,hata sikutaka kujua kilichoendelea..!!
 
Yaan mi hiyo siku naiangalia nlikuwa na mwanangu na hubby bahati nzur mtoto akasinzia hapo hapo ile naenda kumlaza narudi ndo nakuta wanafanya upuuzi wao aiseee nilikereka ile mbaya nikaifutilia mbali,hata sikutaka kujua kilichoendelea..!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....Aigoooo
Yan me bahat nzur siku hyo nlkuwa room mwnyw nikasema ikitokea watu wakaingia room watadhan nilikuwa napornoka maana nililiamsha dude[emoji12]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....Aigoooo
Yan me bahat nzur siku hyo nlkuwa room mwnyw nikasema ikitokea watu wakaingia room watadhan nilikuwa napornoka maana nililiamsha dude[emoji12]
Hahahahaha pole
 
Wengine tunapenda kuangalia hz series coz hata ukikaa na mzee au watoto sebulen unachek bila chenga lakin kwenye FROZEN FLOWER mmh...walizingua kidogo sio kwa figisu figisu zle[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila ni nzur ama
 
Back
Top Bottom