Another Korean handsome facemuigizaji kim soo hyun leo amekanusha taarifa zilizosambazwa na chombo cha habari ya kwamba atakwenda kutumikia shughuli za kijeshi ifikapo mwezi septemba. Kwa mujibu wa kim soo hyun agency (keyeast) wamesema ya kwamba taarifa zilizochapishwa ni za uongo kwa sababu mpaka sasa hatujapokea taarifa yoyote kuhusiana na shughuli hizo za kijeshi ila tutakapopata taarifa kutoka sehemu husika basi tutaiweka hadharani.kutokana na kusumbuliwa na tatizo la moyo pindi alipokuwa mdogo kim soo hyun ameruhusika asitumikie jeshini na atafanya kazi za kijamii
Naanzaje labda kumsahau my precious oppaaigooooooo nilikuwa nakujaribu nilifikiri umeshamsahau choi jin hyuk
Duuh aisee huyu kaka ana roho ngumujee.. ila nisiseme maana co-actress yuko bize anacheza movie zingine kama sio yeye wa kwenye frozen flower hahaamuigizaji Jo In Sung amekubali ofa ya kuigiza kwenye historical movie inayoitwa ANSI CITY.
hii itakuwa ni historical movies ya pili kwa jo in sung kushiriki tokea aigize kwenye movie ya FROZEN FLOWER miaka 9 iliyopita. ANSI CITY ni movie inayozungumzia vita iliyodumu kwa takribani siku 88 kati ya taifa la TANG na nchi ya GOGURYEO. Jo in sung ndiye muigizaji mkuu wa movie hii na atacheza uhusika wa General YANG MANCHUN ambaye alikuwa ni commander wa taifa la Goguryeo kwenye ngome(fortress) ya ANSI kwenye miaka ya 640.
hahahahaaaaa ameshasahau.halafu noona bila ya kuwa na juhudi huwezi kufanikiwa kumbe song joong ki kwenye frozen flower alikuwemo na alicheza uhusika wa body guard wa mfalme.jaribu kuangalia picha na leo amekuwa muigizaji maarufu sanaDuuh aisee huyu kaka ana roho ngumujee.. ila nisiseme maana co-actress yuko bize anacheza movie zingine kama sio yeye wa kwenye frozen flower hahaa
Hamna series ya kikorea nliyotokea kuichukua kama hii ptyuuuuuu...!!(frozen flower)muigizaji Jo In Sung amekubali ofa ya kuigiza kwenye historical movie inayoitwa ANSI CITY.
hii itakuwa ni historical movies ya pili kwa jo in sung kushiriki tokea aigize kwenye movie ya FROZEN FLOWER miaka 9 iliyopita. ANSI CITY ni movie inayozungumzia vita iliyodumu kwa takribani siku 88 kati ya taifa la TANG na nchi ya GOGURYEO. Jo in sung ndiye muigizaji mkuu wa movie hii na atacheza uhusika wa General YANG MANCHUN ambaye alikuwa ni commander wa taifa la Goguryeo kwenye ngome(fortress) ya ANSI kwenye miaka ya 640.
Hahaa mi nilikaona...kalikuwa kanatokea mara chache sana. Wakorea hapo ndo nawapendaga mimi ukionyesha uaminifu katika dogo hawasiti kukupa kubwa. Wanakupa nafasi uonyeshe uwezo kwanzahahahahaaaaa ameshasahau.halafu noona bila ya kuwa na juhudi huwezi kufanikiwa kumbe song joong ki kwenye frozen flower alikuwemo na alicheza uhusika wa body guard wa mfalme.jaribu kuangalia picha na leo amekuwa muigizaji maarufu sana
Mi Nilimkubari Kwenye It's OK, This is love, Moja ya Drama ilonitoa Machozi Bila ya kuyazuia, Amecheza vizuri sana Mule Ndani Na ile Chemistry na Kong Hyo-jin ilikuwa balaa,Yupo Vizurii...muigizaji Jo In Sung amekubali ofa ya kuigiza kwenye historical movie inayoitwa ANSI CITY.
hii itakuwa ni historical movies ya pili kwa jo in sung kushiriki tokea aigize kwenye movie ya FROZEN FLOWER miaka 9 iliyopita. ANSI CITY ni movie inayozungumzia vita iliyodumu kwa takribani siku 88 kati ya taifa la TANG na nchi ya GOGURYEO. Jo in sung ndiye muigizaji mkuu wa movie hii na atacheza uhusika wa General YANG MANCHUN ambaye alikuwa ni commander wa taifa la Goguryeo kwenye ngome(fortress) ya ANSI kwenye miaka ya 640.
Kwani Hii drama Naona Mnaisema Sana Ipoje?? Manaa Bado Sijaiangaliahahahahaaaaa ameshasahau.halafu noona bila ya kuwa na juhudi huwezi kufanikiwa kumbe song joong ki kwenye frozen flower alikuwemo na alicheza uhusika wa body guard wa mfalme.jaribu kuangalia picha na leo amekuwa muigizaji maarufu sana
Mbona sioni habari za Song il Gook ama kaisha poteahahahahaaaaa ameshasahau.halafu noona bila ya kuwa na juhudi huwezi kufanikiwa kumbe song joong ki kwenye frozen flower alikuwemo na alicheza uhusika wa body guard wa mfalme.jaribu kuangalia picha na leo amekuwa muigizaji maarufu sana
Kipindi wanatoa ile series ya D of the Sun walikuwa tayali ni wapenz????kwa mara ya kwanza leo baba wa muigizaji song joong ki amefanya mahojiano kuhusiana na taarifa za mtoto wake kufunga ndoa na mwanadada aliyemzidi kiumri kwa miaka 2 song hye kyo na alisema maneno yafuatayo
"song yupo kwenye umri mzuri sana kwa ajili ya kufunga ndoa na kama wazazi ni jukumu letu kuheshimu maamuzi ya mtoto wetu na zipo taarifa za uvumi zinazodai kama sisi tunapingana na ndoa hii iliyotangazwa kufanyika october 31 jambo ambalo ni la uongo. ninapenda kuona nikiitwa babu na mtoto atakayezaliwa na mwanangu na pia kumuona mtoto wangu akitekeleza majukumu yake ya kifamilia na pia kuzidi kufanikiwa kwenye kazi yake ya uigizaji.
pia ameendelea kusema ya kwamba bado mtoto wake anamtembelea mara kwa mara pamoja na marafiki zake hususan lee kwang soo ambaye ndiye rafiki yake mkubwa sana.
pia wakatii wakifanya kazi kwenye drama ya descendent of the sun song couple,jin goo,kim jin woo walikua wanalala hapa baadhi ya siku kwa sababu film location ilikuwa ni karibu
Huyu jamaa namkubal sanamuigizaji kim soo hyun leo amekanusha taarifa zilizosambazwa na chombo cha habari ya kwamba atakwenda kutumikia shughuli za kijeshi ifikapo mwezi septemba. Kwa mujibu wa kim soo hyun agency (keyeast) wamesema ya kwamba taarifa zilizochapishwa ni za uongo kwa sababu mpaka sasa hatujapokea taarifa yoyote kuhusiana na shughuli hizo za kijeshi ila tutakapopata taarifa kutoka sehemu husika basi tutaiweka hadharani.kutokana na kusumbuliwa na tatizo la moyo pindi alipokuwa mdogo kim soo hyun ameruhusika asitumikie jeshini na atafanya kazi za kijamii
Bado aijaisha Ila Mpka Apo ilipofikia, Naweza kusema aina Mapigano Sana ila Ina Mtiririko Mzuri wa Stori na Ina Mahaba Yasiyo ya juu sana,Mahaba yale yanayokufanya Uguswe Moyoni,Hii Queen of seven days ni nzuri? ina mahaba tuu ama na mapigano yapo?
Yaan mi hiyo siku naiangalia nlikuwa na mwanangu na hubby bahati nzur mtoto akasinzia hapo hapo ile naenda kumlaza narudi ndo nakuta wanafanya upuuzi wao aiseee nilikereka ile mbaya nikaifutilia mbali,hata sikutaka kujua kilichoendelea..!!Wengine tunapenda kuangalia hz series coz hata ukikaa na mzee au watoto sebulen unachek bila chenga lakin kwenye FROZEN FLOWER mmh...walizingua kidogo sio kwa figisu figisu zle[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....AigooooYaan mi hiyo siku naiangalia nlikuwa na mwanangu na hubby bahati nzur mtoto akasinzia hapo hapo ile naenda kumlaza narudi ndo nakuta wanafanya upuuzi wao aiseee nilikereka ile mbaya nikaifutilia mbali,hata sikutaka kujua kilichoendelea..!!
Hahahahaha pole[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....Aigoooo
Yan me bahat nzur siku hyo nlkuwa room mwnyw nikasema ikitokea watu wakaingia room watadhan nilikuwa napornoka maana nililiamsha dude[emoji12]
Ila ni nzur amaWengine tunapenda kuangalia hz series coz hata ukikaa na mzee au watoto sebulen unachek bila chenga lakin kwenye FROZEN FLOWER mmh...walizingua kidogo sio kwa figisu figisu zle[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwangu mi cjaona km ni nzur labda wengneIla ni nzur ama
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaha pole