Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hii sijawahi kuiona mkuu
Hahahahah,Nakuona Tuh Unavyopita Juu Juu Sa Nami Inabidi Nikuite Maana Naona Alerts Uzioni..(Joking)noona aminas huwa najaribu kuikimbia hii thread tokea juzi ili niendelee kutokuwa na mzuka wa kuangalia korean drama lakini nashindwa. kwani bado haijaanza
bingo''People tell me to take care of my face while I am defending the country, but I won’t listen to that carefully. The country must be protected,” he said with a laugh
![]()
Bado Mpka 14 AugustHuyu hajaenda bado jeshini
Mrs Van
kumbe joo won nae ameshakwenda jeshini baada ya kumalizia my sassy girl drama, mmoja kati ya waigizaji na waimbaji wenye sauti nzuri sana
![]()
![]()
Ndio aliondoka muda.Tena Nahisi Aliondoka Baada Ya Kumaliza Kushoot,Ata Kabla ata My Sassy Girl Aijaisha kwenye screen
kumbe joo won nae ameshakwenda jeshini baada ya kumalizia my sassy girl drama, mmoja kati ya waigizaji na waimbaji wenye sauti nzuri sana
![]()
![]()
Mi Apa Tuuu Huwa Sielewi S.korea Na Izi Mambo Zao Za Jeshi...Ndio aliondoka muda.
Kwel S.Korea hawana utani na jeshi.
Mrs Van
BaeMilitarybingo
Kwaiyo Ni Kwa Kila Mwanaume Wa Korea Inabidi Aingie Jeshini?hahahahaaaaaa sheria msumeno tena kwa celebrities ni lazima atumikie jeshi kabla hajavuka miaka 30
Yan kule mwanaume mwenye afya lazima aende jeshiniMi Apa Tuuu Huwa Sielewi S.korea Na Izi Mambo Zao Za Jeshi...