makala7
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 497
- 407
Six ni Moja kati ya series zangu bora kabisaNamuona dogo aliye cheza kwenye six flying dragons
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Six ni Moja kati ya series zangu bora kabisaNamuona dogo aliye cheza kwenye six flying dragons
Six ni Moja kati ya series zangu bora kabisaNamuona dogo aliye cheza kwenye six flying dragons
Six ni Moja kati ya series zangu bora kabisaNamuona dogo aliye cheza kwenye six flying dragons
Aigooooo nitaitafuta na hiyo
Kava yake unayoHivi kuna wale jamaa wameact.Agent-X,Princes junyoum n ile ya zeon zen inaitwaje cjui ni wakorea hawa jamaa au wachina?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp Usha ichek
Yule jamaaNamuona dogo aliye cheza kwenye six flying dragons
Kazingua sio, vp hiyo kitu ni nzurYule jamaa
Moo Hyul
Ila huku kawa mzembe mzembe hv
![]()
Nzur kiac chake hasa story na mpangilio wa ma2kiaoKazingua sio, vp hiyo kitu ni nzur
legend of qing kama sikosei.sio wakorea bana mkuuHivi kuna wale jamaa wameact.Agent-X,Princes junyoum n ile ya zeon zen inaitwaje cjui ni wakorea hawa jamaa au wachina?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahah, Bado sijaimaliza Nipo Episode ya 23, Ila Nahisi Icho Kipande cha kushindwa bado sijakifikia ila kiukweli Hii Drama Ni Inanisafisha Macho kwa Machozi lol! Tena Kuanzia Episode ya 20 Yaani,![]()
Hii Series inastory nzur
Story yake ya ukweli ina mhusu HONG GILDONG JEON tatzo lake wamezngua saana Series kias fulan imekosa uhalisia
Huwezi kutuambia eti King na jeshi lake lote washindwe na kijeshi kidogo hohehahe kama kile cha YOON GYUN-SANG
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Nzuri Banah Tena Ni Nzuri Sana...Ni kati ya drama Ambazo Inakuchukua na Unaenda Nayo ( Apa sasa Sijuhi Inaweza kukufikisha wapi hii Inategemea na Mtazamaji) ila kwa Mimi imenifanya nisahau kidogo Vinavyonisumbua kwa wakati huu ila Nafikiria Nikishaimaliza Nitakuwa kwenye Kona Ipi..,Nzur kiac chake hasa story na mpangilio wa ma2kiao
Lakn action wamezngua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna, Dramafire, Myasiantv.se, Dramanice, Hizo Tuuh Ndo Kwa Mimi Ninazo Zitumia..
Aigooooo! Gil Dong, Amenivuta sana Nahisi Anaingia Kwenye Diary Sasa Kuungana Na Kina Chang WookYule jamaa
Moo Hyul
Ila huku kawa mzembe mzembe hv
![]()
Huyu mchizi si amechezq kama muhyool kwenye six flying dragon![]()
Hii Series inastory nzur
Story yake ya ukweli ina mhusu HONG GILDONG JEON tatzo lake wamezngua saana Series kias fulan imekosa uhalisia
Huwezi kutuambia eti King na jeshi lake lote washindwe na kijeshi kidogo hohehahe kama kile cha YOON GYUN-SANG
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo yy mkuuHuyu mchizi si amechezq kama muhyool kwenye six flying dragon
Sent From Heaven