gwenchana gwenchanahSounds interesting! Japo sijibii mtihani ila nitaitazama.
Hehehehee!! Yajayo yanafurahisha.nimesikia kwa kutumia picha hii unaweza kuombea mkopo hata kama umesoma private school?
miaka 13 iliopita
mdogo wao ndio mkubwa wao
acha tuendelee kuwa na matumaini kama alivyokuwa yeom moon kwa jung hwa agassiHehehehee!! Yajayo yanafurahisha.
Yaani Wewe Muone Vile Nakuona Tuu Unavyoongea Nyuma Yangu Macho Yale Kama Yako!Nilijua tu hakuna zawadi yeyote ndio maana nikapiga kimya.
Damushin sunbae, POLE!
Wala Usijari Zawadi Ipo Pale Pale We Karibu Tu InshaAllah Usimsikilize Uyo. Kwa Vile Tuu Ajapatia Swali Ndomnainamaana dongsaeng ulishafahamu kitakachotokezea na bado ulishindwa kunitaarifu?
naisubiri ramadhani ifike nihudhurie futari itakayoandaliwa na iron lady.
gwenchanah gwenchanah
Hahahhahahha Yaani Sema Leo Nimeamka Mpole, Hihihihihihehehe! Muulize kwanza kama anajua kupika.
gwenchanh gwenchanahWala Usijari Zawadi Ipo Pale Pale We Karibu Tu InshaAllah Usimsikilize Uyo. Kwa Vile Tuu Ajapatia Swali Ndomna
Hahahahhahha, Itakuwa Tuu, Atusindikize Jmosi Tukachukue Ubingwa Singida Kule.gwenchanh gwenchanah
nina wasi wasi dongsaeng ni mpenzi wa yanga
kama timu ina ukata wa fedha unafikiri dongsaeng atatoa pesa yake mfukoni?Hahahahhahha, Itakuwa Tuu, Atusindikize Jmosi Tukachukue Ubingwa Singida Kule.
Hahahah Unauchokozi Naye Eti.kama timu ina ukata wa fedha unafikiri dongsaeng atatoa pesa yake mfukoni?
njia pekee ya dongsaeng kwwenda kuangalia mpira ni kupakiwa kwenye magari bure kama wanachama wa vyama vya siasa.
anamsubiri harabeoji afariki arithi kampuni ili baadae ainunue yanga
gwenchanah gwenchanah
mian hae
EMPTY dongsaeng
natania tu.
Wanawarudisha Tena Pamoja Oyoooooo SafiiiSuzy And Lee Seung Gi In Talks To Reunite Through Upcoming SBS Drama
kwa mujibu wa taarifa mwanadada bae suzy na lee seung gi wamepata offer ya kushiriki kwenye spy action drama inayokwenda kwa jina la vagabond itakayoonyeshwa na kituo cha sbs.
kama wawili hao watakubali kushiriki kwenye drama hiyo basi itakuwa ni mara ya pili kuongoza drama wakiwa pamoja. mnamo mwaka 2013 wawili hao walishiriki kwenye drama inayoitwa gu family book na kilichotokezea kimeendelea kubaki ni historia yenye kuvutia.
huyu the one sauti yake inaweza kumfanya black mamba apate usingizi wa ghafla.
lakini upande wa pili bae suzy pia ana offer nyengine ya kufanya kazi na park bo gum haijulikani atachagua project ipi.Wanawarudisha Tena Pamoja Oyoooooo Safiii
Duuh kwa Nini Aikubali Hii??lakini upande wa pili bae suzy pia ana offer nyengine ya kufanya kazi na park bo gum haijulikani atachagua project ipi.
sidhani kama atakataa project ya pamoja na park bo gum endapo bo gum atakubali offer.
Ni mtazamo wangu
Park Bo Gum And Suzy Considering Offers To Star In Upcoming Drama
jang dong gun ni ahjussi na si kijana tena.
Nimejikuta Namkubari Uyu Kijana Sijajua Kwa Nini, Au Sababu Ya Role Yake Jinsi Anavyomshushua Yule Mfanyakazi Wake Au Ni kwa Jinsi Anavyojiamini, Ila Nimempenda namfikilia kumjazia kwa list Now Ni Mwendo Wa Wazee tuuh Maana Vijana Ni Foleni.
Eeeh Mbona Bado Kijana Na ndo Wazuri Ao, No Kuwaza Etijang dong gun ni ahjussi na si kijana tena.
ana miaka 46.
hahahahahaaaaaa kila la kheri na utashika nafasi ya pili baada ya mke wa kwanza.Eeeh Mbona Bado Kijana Na ndo Wazuri Ao, No Kuwaza Eti