inaitwaje hii mkuumr sunshine drama
lee byung hun
baada ya miaka 9 amerudi tena kwenye ulimwengu wa drama.
unaikumbuka IRIS 1?
tofauti yake kiumri na muigizaji mkuu wa kike ambae ni kim tae ri ni miaka 20.
heshima kwako sunbae
ndio ila sikumbuki matukio yaliyomo ndani ya drama ya dong yi.Tvn Kama Kawaida Yao,
Eti Dong Yi Ushaiona!?? @Damushi
hii sentensi yako ina maana nyingi sana ila kama umekusudia kudownload basi unaweza kutembelea kwenye tovuti mbali mbali zinazo update asian drama na movies.mpendwa nisaidie movie kama hizi napataje?
Total Variety Network (TvN) wapo vizuri sana hususan drama zenye maudhui ya rom-comedyTvn Kama Kawaida Yao,
Eti Dong Yi Ushaiona!?? @Damushi
Hahahahha Inawezekana, Ila Uliimaliza?? Na Ipo Kwenye Historia?ndio ila sikumbuki matukio yaliyomo ndani ya drama ya dong yi.
aigoooo labda ni kwa sababu shujaa wa drama hii ni mwanamke (natania tu)
jamani sasa ndio nini hiki wanachotufanyia hawa wazee wa kubanwa na ratiba, yaani miezi minne tu ndio wameshachokana au ndio washajuana tabia zao za ndani na nje.
haiwezekani itakuwa kuna mmoja akilala anakojoa kitandani ndio maana wameamua kuachana.
Lee Dong Wook And Suzy Confirmed To Have Broken UpJYP entertainment wamethibitisha ya kwamba wawili hao wameamua kuvunja mahusiano yao ya kimapenzi na sababu kubwa ni kubanwa na ratiba ya kikazi jambo linalopelekea lee dong wook na bae suzy kushindwa kuonana.
wawili hao waliweka hadharani mahusiano yao ya kimapenzi mnamo mwezi Machi.
aigooooo
im not sober
ngoja nitafute chupa ya soju na jajangmyon ili niendelee kujiliwaza na kipigo tulichokipata wajapani.
upande mmoja wa sarafu upo sahihi ila kiupande mwengine inawezekana hawa wavulana kutoka mji wa SEOUL wanamuangusha kwenye ulimwengu wa mahusiano.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti anakojoa kitandani, nadhani bae suzy atakua na shida kiaina
upande mmoja wa sarafu upo sahihi ila kiupande mwengine inawezekana hawa wavulana kutoka mji wa SEOUL wanamuangusha kwenye ulimwengu wa mahusiano.
ngoja nisubirie hadi wafike wavulana 10 ndipo nijaribu bahati yangu kwa bae suzy.
kumbukumbu zangu zinaniambia sikuiangalia hadi mwisho na hata sifahamu hata nilifika episode ya ngapi.Hahahahha Inawezekana, Ila Uliimaliza?? Na Ipo Kwenye Historia?
ㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋUkibahatisha usisahu kutununulia pork ribs na soju,aigoooo utakua matawi,ila nae si aende kwa ma sponsor hivyo viben 10 vinaharakati nyingi sana
Jamani, Wanaume Wenyewe Ni Mitihani Tuuu Inawezekana Ikawa wala si kosa lake,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti anakojoa kitandani, nadhani bae suzy atakua na shida kiaina
Wooooo Yaani Ulivyoiandika Iyo Wok Of Love Nilitamani Nikurukie Ndo Naiangalia Hapa Na Iyo Jajangmyeon Ndo Wanaila Yaani Nikajikuta Tabasamu Limechomoza Tuuh.ㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋ
하하하하 하하하하
gwenchanh gwenchanah,
hawa wakorea wana utamaduni wa ajabu sana yaani utamkuta mtu hachelewi kumwambia mwenziwe nitakununulia chakula au kinywaji wakati huku kwetu offer ya kununuliwa paketi ya diamond karanga huipati.
au hamjashuhudia tukio kama hilo munapoangalia drama?
shikamoo wakorea.
hivyo basi usijali nitakununulia pork ribs, soju na bakuli moja la jajangmyeon.
hii drama ya wok of love wanapigia promo sana hiki chakula cha jajangmyeon, nathubutu kusema episode zote chakula hiki kimepikwa.
sijui na huku kwetu ugali unaliwa kwenye bongo movies za mandhari ya kitajiri?
Ntamanigi Nikionje Sijuh Nitakipata Wapi! Kwa Macho Kinavutiaㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋ
하하하하 하하하하
gwenchanh gwenchanah,
hawa wakorea wana utamaduni wa ajabu sana yaani utamkuta mtu hachelewi kumwambia mwenziwe nitakununulia chakula au kinywaji wakati huku kwetu offer ya kununuliwa paketi ya diamond karanga huipati.
au hamjashuhudia tukio kama hilo munapoangalia drama?
shikamoo wakorea.
hivyo basi usijali nitakununulia pork ribs, soju na bakuli moja la jajangmyeon.
hii drama ya wok of love wanapigia promo sana hiki chakula cha jajangmyeon, nathubutu kusema episode zote chakula hiki kimepikwa.
sijui na huku kwetu ugali unaliwa kwenye bongo movies za mandhari ya kitajiri?
Na Kimchiㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋㅋ
하하하하 하하하하
gwenchanh gwenchanah,
hawa wakorea wana utamaduni wa ajabu sana yaani utamkuta mtu hachelewi kumwambia mwenziwe nitakununulia chakula au kinywaji wakati huku kwetu offer ya kununuliwa paketi ya diamond karanga huipati.
au hamjashuhudia tukio kama hilo munapoangalia drama?
shikamoo wakorea.
hivyo basi usijali nitakununulia pork ribs, soju na bakuli moja la jajangmyeon.
hii drama ya wok of love wanapigia promo sana hiki chakula cha jajangmyeon, nathubutu kusema episode zote chakula hiki kimepikwa.
sijui na huku kwetu ugali unaliwa kwenye bongo movies za mandhari ya kitajiri?
Mi Ndo Nipo Ya Kumi Naivutia Kasi Iyokumbukumbu zangu zinaniambia sikuiangalia hadi mwisho na hata sifahamu hata nilifika episode ya ngapi.
ni historia ya kweli inayomuhusu malikia suk bin choe (17 December 1670 – 9 April 1718) ambaye alikuwa ni miongoni mwa wake wa mfalme sukjong wa joseon.
baada ya kufanikiwa kumzalia mfalme mtoto wa kiume akapewa cheo cha sukbin na mtoto huyo baadae ndiye mfalme yeong jo ambaye alikaa madarakani kwa miaka 52 na ndiye mfalme aliyeiongoza joseon kwa muda mrefu zaidi.
alitokea kwenye makabila yasiokuwa na heshima yoyote jambo lililopelekea kuwa mtumishi wa royal palace kuanzia alipofikisha miaka 7.
royal gambler drama (jackpot) na jang ok jung drama pia wame potray uhusika wa suk bin.
dong yi stori yake ipo taratibu sana kama uji wa mgonjwa.Mi Ndo Nipo Ya Kumi Naivutia Kasi Iyo