UPCOMING DRAMA
Mama Fairy and the Woodcutter / Tale of Gyeryong Fairy
05/11/2018
beautiful lady
moon chae won amerudi tena na stori ya kusadikika kupitia kituo pendwa cha TvN pindi itakapomaliza
100 days my prince drama
acha tu nianze na paukwa na nyinyi mutaitikia pakawa ila sijui maana yake ni nini na anayehisi anadanganywa akwende zake gymkhana au colassium guest house akapumzike (natania tu)
omo omo omo
View attachment 906698
hapo zamani za kale kwenye utawala wa Goryeo dynasty alikuwepo mwanadada mmoja anayeitwa Sun Ok-Nam ambaye ujio wake hapa duniani ulikuwa ni wa kimaajabu (fairy).
sasa basi siku moja huyu bidada alikwenda kwenye maporomoko ya maji yaliopo maeneo ya Gyeryong kwa dhumuni la kusafisha mwili wake (kukoga). Wakati akiendelea kukoga alitokezea mvulana mmoja ambaye kazi yake ilikuwa ni kutafuta nishati ya kuni au mbao akazichukua nguo zake kwa dhumuni la kuzificha.
Tukio hilo lilisababisha mwanadada Sun Ok-Nam kushindwa kurudi peponi hivyo basi akaamua kuishi maisha ya ulimwengu huu wa kidunia na bwana mkata kuni na hatimaye walifanikiwa kupata watoto wawili lakini bahati mbaya sana mume wake alifariki dunia baada ya kuanguka kwenye maporomoko ya milima. Sun Ok-Nam alihangaika sana kuzitafuta nguo zake alizokuja nazo ili aweze kurudi kwenye maisha yake ya asili lakini hakufanikiwa kuziona. Sun ok Nam aliamua kuendelea kuishi kwenye ulimwengu huu huku akiwa na matumaini ya kwamba siku moja mume wake atazaliwa tena kupitia mwili mpya (reincarnated).
baada ya miaka takribani 699 kupita siku moja akiwa kwenye milima ya gyeryong ambako alifungua biashara ya kuuza kinywaji aina ya kahawa alitembelewa na wavulana wawili hivyo basi akapata hisia ya kwamba mmoja kati ya wavulana hao wawili amebeba nafsi ya aliyekuwa mume wake ambaye ameshamsubiri kwa karne 7 tokea afariki dunia bahati mbaya sana kati ya wale vijana wawili hakujua ni yupi hasa aliyebeba nafsi ya mume wake, hivyo basi aliamua kuwafuata vijana wale hadi mji mkuu wa korea (seoul) kwa dhumuni la kuwachunguza.
hadithi yangu imeishia hapo na mwenye maswali akamuulize da mange
😡😡
View attachment 906697
nimemkumbuka
Khantwe natumai ni mzima wa afya.
View attachment 906718
dah hizi hanbok siku za mbeleni itanilazimu nimtafutie my only one, itapendeza sana tukizivaa mtoko wa jioni kwa ajili ya chakula, natumai hatoniuliza
honey mbona unatumia sana, hivi umeshaweka hela ya kununua umeme na malipo ya watoto kwa ajili ya skuli na madrasa.