Bora wangemaliza 50 episode wameboa sana ht kwny youtube kwny comment za episode ya mwsho watu wengi wameonyeshwa kutofurahishwa na wengine wametukanaBut ukisoma synopsis yake kule Dramacool, wanakuambia ni 50 episode drama. Ila wameweka 51 na hiyo ya 51 ndo inaudhi sana. Ukikomea ya 50, mambo shwari.
Jang Bogo ana mtoto, business inaenda na king yupo kijana kabisa
Sijafanikiwa kuiona Princess Ja Myung GoYule king anaboa sana. Vey weak. Ukitazama Ja Myung Go (ambayo inaelezea story ya Prince Hodong wa Goguryeo ambaye kwenye Land/Kingdom of the Wind inaisha akiwa bado mdogo) utamuona King Deamushin (Muhyul) alivyo mbabe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gybaek Inasikitisha sana ep. Ya MwishoHizi historical dramas zinaniboa zinavyoisha. Heroes die.
Emperor of the Sea
Gye Baek
Hong Gil Dong
Empress Ki etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Itafute. Ipo Dramacool ya kwanza kwwnye herufi 'J'Sijafanikiwa kuiona Princess Ja Myung Go
Hii Bridal mask mie ilinishinda kuangali,kila nikijilazimisha wapi.View attachment 1005329nani anakumbuka huu moto? Hii ni moja ya tamthilia niliyoitazama mara nyingi inaitwa Bridal Mask ila sijui kama ilikuwa true story ama vipi. Ila humo ndani kuna balaa asikwambie mtu. Ina episode 28 tu.
Acheche
Nisome historia zao zote hizo nigundue nini wakati hata ya mtemi mirambo siijuikati yenu yupo aliyebahatika kuisoma historia ya jang bogo na general gye baek?
kama yupo halafu akawa analalamika umaliziaji wa hizo drama basi kwa mara ya kwanza ndani ya JF nitatoa cheo cha upumbavu kwa mchangiaji haijalishi kama atachukizwa kwa kumtunuku heshima hiyo wala sitothubutu kumuomba radhi.
Jang bogo : waandishi wote wa vitabu vya kihistoria kutoka Tang, japan na hata korea nyakati hizooo wameandika simulizi yenye kufanana kuhusiana na kifo cha mbabe wa baharini aliyefanikiwa kumonopolize biashara kwa njia ya bahari.
Halafu mbona ile drama ya emperor of the sea ilielezea maisha halisi ya jang bogo na si muhusika mwengine, kama tungelikuwa tunaangalia isidingo basi tungelikuwa na haki ya kumuuliza director na mwandishi kwa nini alishindwa kutuonyesha maisha ya mtoto wa kike wa mtemi wa bahari bwana jang bogo ambaye kabla ya kifo cha baba yake mnamo mwaka 846 alitaka kuolewa royal family.
kwa mujibu wa vitabu vya samguk sagi na samguk yusa vyote kwa pamoja vimeandika ya kwamba jang bogo aliuliwa na general yeom jang walipokuwa wanapata kinywaji.
pia zipo baadhi ya nadharia zinadai ya kwamba kifo cha jang bogo kulipelekea hata eneo lake alilokuwa akiishi kusambaratishwa na wapinzani wake wakuu.
GYE BAEK
Huyu mwendawazimu kuna rekodi zimeandika ya kwamba kabla hajaenda kupambana vita yake ya mwisho aliamua kumuua mke wake na watoto wake kwa sababu hakutaka kuwa na wasiwasi kwa familia yake, rekodi kubwa ambayo imeendelea kumtambulisha mwanadamu huyu ushujaa wake kwa takribani karne 15 ni vita yake ya Hwangsanbeol ambayo aliongoza vita hiyo akiwa na wanajeshi 5000 huku wapinzani wake Shilla na Tang kwa pamoja wakiwa na wanajeshi takribani 200000.
gye baek alifanikiwa kushinda vita nne za mwanzo lakini uchache wao ulipelekea wazidiwe na muunganiko wa shilla na Tang china hivyo basi hali hiyo ilipelekea wanajeshi wote wa baekje wakiongozwa na general gye baek wafie vitani na ndio maana hata ukiangalia drama zote zinazoangazia maisha ya gye baek utakuta historia yake inaonyeshwa anafia vitani.
kifo cha gye baek kilizidi kuchochea kuanguka kwa taifa la baekje lililoanzishwa na mfalme onjo ambaye historia inamtaja kama ni mtoto wa soseono.
tutofautishe kati ya historical drama za ukweli na zile zilizojaa nadharia za uongo uongo ili tu afurahishwe mtazamaji.
mulitaka hizo drama mbili zimalize vipi wakati historia zao ndio hukumu yao?
Notedhahahahahahaaaaaaa nimekuelewa na sipaswi kuongeza chochote ili kuepuka ligi isiyokuwa na faida kiupande wetu.
kuna baadhi ya historical drama wenzetu wamezitengeneza kwa kusoma matukio halisi yaliotokezea nyakati hizo, kwa mfano maisha ya jang bogo kuanzia udogoni, kuwa mfanya biashara mkubwa, kuwasambaratisha wanyang'anyi wa baharini mpaka kufa kwake ni matukio ya ukweli ndio maana nikasema hatupaswi kulalamika hivyo hivyo upande wa gye baek drama na nyengine nyingi
kujifunza si ujinga
Ha ha ha ha ha ha ha ha haNisome historia zao zote hizo nigundue nini wakati hata ya mtemi mirambo siijui
Mie sijazisoma habari za hao watu. Nina tabia ya kuangalia series kwanza halafu ndiyo nikiipenda nitasoma life history ya heroes wa kwenye hiyo drama. Vinginevyo napotezea tu.kati yenu yupo aliyebahatika kuisoma historia ya jang bogo na general gye baek?
kama yupo halafu akawa analalamika umaliziaji wa hizo drama basi kwa mara ya kwanza ndani ya JF nitatoa cheo cha upumbavu kwa mchangiaji haijalishi kama atachukizwa kwa kumtunuku heshima hiyo wala sitothubutu kumuomba radhi.
Jang bogo : waandishi wote wa vitabu vya kihistoria kutoka Tang, japan na hata korea nyakati hizooo wameandika simulizi yenye kufanana kuhusiana na kifo cha mbabe wa baharini aliyefanikiwa kumonopolize biashara kwa njia ya bahari.
Halafu mbona ile drama ya emperor of the sea ilielezea maisha halisi ya jang bogo na si muhusika mwengine, kama tungelikuwa tunaangalia isidingo basi tungelikuwa na haki ya kumuuliza director na mwandishi kwa nini alishindwa kutuonyesha maisha ya mtoto wa kike wa mtemi wa bahari bwana jang bogo ambaye kabla ya kifo cha baba yake mnamo mwaka 846 alitaka kuolewa royal family.
kwa mujibu wa vitabu vya samguk sagi na samguk yusa vyote kwa pamoja vimeandika ya kwamba jang bogo aliuliwa na general yeom jang walipokuwa wanapata kinywaji.
pia zipo baadhi ya nadharia zinadai ya kwamba kifo cha jang bogo kulipelekea hata eneo lake alilokuwa akiishi kusambaratishwa na wapinzani wake wakuu.
GYE BAEK
Huyu mwendawazimu kuna rekodi zimeandika ya kwamba kabla hajaenda kupambana vita yake ya mwisho aliamua kumuua mke wake na watoto wake kwa sababu hakutaka kuwa na wasiwasi kwa familia yake, rekodi kubwa ambayo imeendelea kumtambulisha mwanadamu huyu ushujaa wake kwa takribani karne 15 ni vita yake ya Hwangsanbeol ambayo aliongoza vita hiyo akiwa na wanajeshi 5000 huku wapinzani wake Shilla na Tang kwa pamoja wakiwa na wanajeshi takribani 200000.
gye baek alifanikiwa kushinda vita nne za mwanzo lakini uchache wao ulipelekea wazidiwe na muunganiko wa shilla na Tang china hivyo basi hali hiyo ilipelekea wanajeshi wote wa baekje wakiongozwa na general gye baek wafie vitani na ndio maana hata ukiangalia drama zote zinazoangazia maisha ya gye baek utakuta historia yake inaonyeshwa anafia vitani.
kifo cha gye baek kilizidi kuchochea kuanguka kwa taifa la baekje lililoanzishwa na mfalme onjo ambaye historia inamtaja kama ni mtoto wa soseono.
tutofautishe kati ya historical drama za ukweli na zile zilizojaa nadharia za uongo uongo ili tu afurahishwe mtazamaji.
mulitaka hizo drama mbili zimalize vipi wakati historia zao ndio hukumu yao?
Ninachofuata kwenye Korean drama ni historical drama tu...Hizi series za mjini ili inivutie lzm ina action za kutosha kama A Man God,City hunter, K2,Ghost argent,Plan B n.k, lkn historical drama kama story yake ni nzuri hata bila ngumi naweza kuitazama mfano sasa naifuatilia Jewel in Palace
Sky castle ilinitia uvvu kuangalia. Nimeishia episode ya piliKoreans Choose Their Top 10 Favorite TV Shows For January
kuna watu wataanza kununa muda si mrefu na kurusha vidole angani utadhani wanacheza taarabu za gwiji marehemu omary kopa,
turudi kwenye stori : kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Gallup Korea wananchi wengi wameitaja sky castle kama ni show inayowavutia zaidi kuifuatilia kwa mwezi huu. kwa mujibu wa Gallup Korea wanadai ya kwamba sky castle pia imevunja rekodi iliokuwa ikishikiliwa na goblin ya kuwa ni show iliopata kura nyingi tokea waanze shughuli ya kufanya utafiti.
kwa nini uteseke wakati dollari bado ipo stable kwa kufanya manunuzi nje ya nchi?
- “SKY Castle”
- “My Only One”
- “I Live Alone”
- “I Am a Natural Person”
- “My Ugly Duckling”
- “War of Words”
- “Memories of the Alhambra,
Ukiacha hizo historical ila bado mi naona kama wakorea wana vitu tofauti drama za kizungu.Ninachofuata kwenye Korean drama ni historical drama tu...
Mambo mengine yote ninaweza kuyapata kutoka katika drama za Kizungu..!
Nami nilikua hivi maana nliona waigizaji wengi kweli alafu nliona inaenda haraka haraka kiasi nasahau matukio, lakini nikwambie Ni a must watch in mafunzo mengi Sana kuliko Korean drama nyingi, na ipo world wide kimafunzo maana kila familia yenye uwezo in struggle ivo. Nzuri MaSky castle ilinitia uvvu kuangalia. Nimeishia episode ya pili
Nitajaribu tena nioneNami nilikua hivi maana nliona waigizaji wengi kweli alafu nliona inaenda haraka haraka kiasi nasahau matukio, lakini nikwambie Ni a must watch in mafunzo mengi Sana kuliko Korean drama nyingi, na ipo world wide kimafunzo maana kila familia yenye uwezo in struggle ivo. Nzuri Ma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ku-download ama kuangalia online KOREAN DRAMAS, mie hutumia sites zifuatazo: