Ipo habari nzima na shuhuda za watu mimi niligugo 'Jo min ki scandal' nikaonaumeamua kunionea dada yangu, hivi aliyekwambia uangalie drama ndefu kama ukuta wa trump nani?
mwenzako ninapokuwa na ratiba ya kudownload drama nakesha usiku kama askari anayelinda nyumba ya kiongozi
vugu vugu la me too lilipita mpaka korea ambapo celebrities tofauti walitajwa kuhusika na matendo ya kinyanyasaji hususani kwa wanawake, baadhi ya walalamikaji madai yao yalikuwa sahihi lakini wapo wengine walitumia kampeni ya me too kwa dhumuni la kuchafua wengineo.Kwa sisi tuliopitwa tafadhali tuelezee japo kiduchu kuwa alikuwa anawadhalilisha vipi na mifano michache kama ipo.
Nimehangaika kufuatilia lakini naona habari ya kujiua kwake ndio imefunika tuhuma.
Sent from my iPhone using JamiiForums
hivi huyu ahjussi ulikwisha muweka kwenye list yako ya wanted?Ipo habari nzima na shuhuda za watu mimi niligugo 'Jo min ki scandal' nikaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana nilikuwa nampenda tu kama ajussi[emoji23][emoji23][emoji23]hivi huyu ahjussi ulikwisha muweka kwenye list yako ya wanted?
vugu vugu la me too lilipita mpaka korea ambapo celebrities tofauti walitajwa kuhusika na matendo ya kinyanyasaji hususani kwa wanawake, baadhi ya walalamikaji madai yao yalikuwa sahihi lakini wapo wengine walitumia kampeni ya me too kwa dhumuni la kuchafua wengineo.
jamaa alikuwa mkorofi sana chuoni kiasi ambacho wanafunzi wengi walishamfahamu matendo yake ya kihuni lakini nguvu ya kupeleka malalamiko yao sehemu husika hawakuwa nayo.
- february 20 kuna msichana fulani kupitia social media aliweka taarifa yenye kumshutumu jo min ki kuhusika na vitendo vya kinyanyasaji, huyu mzee licha ya kuwa ni muigizaji pia alikuwa ni professor wa chuo kikuu cha Cheongju hivyo basi jamaa alikuwa anawanyanyasa wanafunzi wake wa kike, hivyo basi kashfa dhidi ya mzee jo min ki ndio zikaanza hapo ambapo takribani wasichana 11 walijitokeza hadharani kukiri kufanyiwa matendo ya kinyanyasaji na marehemu.
- miongoni mwa waathrika wa matukio hayo walikuwemo waigizaji wa theater na mmoja kati ya hao ni Song Ha Neul ambaye pia alikiri kufanyiwa vitendo vichafu na marehemu. Ukipata muda jaribu kupitia hizo link upate kusoma ushuhuda uliokuwa ukitolewa na waathirika wa matendo.
kwenye taarifa yake ya utetezi alisema ya kwamba ni kweli alikuwa anawashika wanafunzi lakini si kwa nia ya kuwanyanyasa (molestation) bali ni kwa dhumuni la eti kuwajaza morali na kuwaliwaza.
kibaya zaidi wapo waathirika wa matukio yake ambao aliwahi kuwatumia hadi picha zake za utupu pamoja na kuchat nao mazungumzo ya kihuni.
Jo Min Ki: Your boyfriend must love it.
Victim: No he doesn't. lol We're platonic. We don't even kiss.
Jo Min Ki: Then you should at least do something with your long tongue.�
Jo Min Ki: Right now... I'm imagining so much by myself..�I'm so aroused. Very dangerous.
Jo Min Ki: I want to see you. I'm so hard.
Victim: Hul..�what do you want me to do;;
Jo Min Ki: You can get wet too
Jo Min Ki: Are you touching yourself now?", "I'm already touching myself. Help me.
victim: No", "You are dangerous", "I'm going to bed now
- https://www.soompi.com/article/1137459wpp/breaking-jo-min-ki-reportedly-found-dead
- https://www.soompi.com/article/1132011wpp/jo-min-ki-finally-apologizes-sexual-harassment
- https://www.soompi.com/article/1127...red-from-university-alleged-sexual-harassment
- https://www.soompi.com/article/1128...ifies-sexual-harassment-jo-min-ki-steps-drama
- https://www.soompi.com/article/1132...ally-harassing-woman-explicit-messages-photos
- https://www.soompi.com/article/1132011wpp/jo-min-ki-finally-apologizes-sexual-harassment
- https://www.allkpop.com/article/201...hocking-messages-and-nude-photos-she-received
chicago typewriter ndio imejaribu kuzungumzia nadharia ya reincarnation.Nafikiri nikiiangalia Misty nitapata kufahamu kuhusu hilo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani we bwana comments zakoSon Seung Won receives final court sentence of 18 month in prison for hit-and-run DUI with no license
View attachment 1068889
- On April 11, the Seoul Central District Court in Seocho District gave Son Seung Won his sentence after arresting him for dangerous driving under the Additional Punishment Law on Specific Crimes and violating the Road Traffic Act by driving drunk and without a license.
- The judge Hong Ki Chan said, “The defendant has already been fined for two incidents of drunk driving. Despite not taking care of the accident after the DUI incident last August 3, he was indicted again for driving drunk without a license and fleeing after causing an accident on December 26.”
- the court's final ruling regarding Son Seung Won will be a sentence of one year and 6 months in prison. The star will be given a week's time to submit any appeals. However, in the case that he chooses not to appeal and serve his sentence, Son Seung Won will no longer be able to carry out his mandatory military service as an active duty soldier, according to South Korean law.
- Song Seung Won stated, “During the 70 days I was imprisoned, I deeply reflected on my actions. I will never make this mistake again. I’m sorry to the victims who were injured.” It was also revealed that he had been receiving treatment for his panic disorder for one year and taking medication while serving his sentence. This is the fourth time Son Seung Won has been caught driving under the influence.
aminas ahjumma where are you?
nikikumbuka vituko vyake na upole wake ndani ya season 1 ya waikiki drama nashindwa kuamini ya kwamba jamaa ni mzembe aliyepitiliza, hivi unafanyaje kosa moja mara nne?
ule uzi wa jela ulioanzishwa humu JF anapaswa aupitie ili apate elimu ya gerezani.
safari njema huko keko bwana wewe uliyepewa kipaji cha kuigiza na kuimba lakini ukajinyima kipaji cha kujirekebisha pindi unapokosea, mambo haya ya kuendesha gari huku umelewa njoo ufanye huku kwetu sudan ambako rais wetu anawambia watumishi wake wagonge bangi kisirisiri.
Alikuwa mlafi wa hela huyo utasikia anasema" Hii sehrmu nasikia hela zinanukia" hasa maneno haya aliyazungumza sana walipokuwa wanaanza kuijenga Chunghae base. na yule master Sui alikuwa na hekima na busara na nilimpenda mno.Haha kwenye emperor of the sea alikuwa na bonge la paraa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] alikuwa anakamata fursa aisee akiona fursa habanduki. Hivi alikuwa master Sui au Sul?Alikuwa mlafi wa hela huyo utasikia anasema" Hii sehrmu nasikia hela zinanukia" hasa maneno haya aliyazungumza sana walipokuwa wanaanza kuijenga Chunghae base. na yule master Sui alikuwa na hekima na busara na nilimpenda mno.
Sasa huyo Master Sui aliyecheza kwenyw Emperor of the Sea, kacheza kwe Jodo Jeong(Sambong) as Vice Chancellor, kifupi anai- Control Nchi atakavyo.
[emoji23][emoji23] Sohwa..Queen Seon Duk: Aisee we acha tu, yule binti alie mzalisha mtoto wa pili mke wa mfalme, binti anakipaji sijapata kuona. Binti amenifurahisha na kunikonga nyoyo yangu vile ipasavyo. Vile vituko vyake aisee nacheka mpaka basi tu.
MGC
Yushin ndio alikuwa anajua muda mrefu, Jukbang hyungnim aligundua baadae sana baada ya ule ukaguzi ndio kujua kuwa Yushin alikuwa anajua siku nyingi ila alikaushaJukbang Pamoja Na Kim Yusin Walishagundua Toka Kitambo Kuwa Deokman Alikuwa Mwanamke Ila Waliuchuna Tu, Tena Kim Yusin Alijuaga Mapema Sana Licha Ya Hivyo Akawa Anampa Deokman Mazoezi Magumu Ndani Ya Kikundi Chao. Ila Ni Afadhali Hiyo Siri Haikuvuja Kwenda Makundi Mengine Ambayo Ni Mahasimu Wao, Ingekuwa Balaa!
Kweli, Mwisho Wa Bidam Ulikuwa Mbaya Sana. Wafuasi Wanaweza Kuwa Chanzo Kikubwa Cha Kumjenga Mtu Ama Kumuangusha. Mtihani Kama Huu Uliwahi Kumkuta Kim Yusin Akafanikiwa Kuchomoka Ila Kwa Upande Wa Bidam Ilishindikana Kujinasua Katika Mtego Huu Mpaka Akaingia Kwenye Uasi Ambao Kiukweli Ilikuwa Ni Huzuni Kubwa.
Ingawa Wafuasi Wa Bidam Walifanikiwa Kumalizwa Baada Ya Kushiriki Katika Ule Uasi Lakini Inasemekana Baadhi Yao Walibaki Na Wame-Extend Kikundi Chao Mpaka Miaka Zaidi Ya 700 Baadaye Kipindi Cha Kuanzishwa Kwa Joseon. Hichi Kikundi Kipo Kwenye Drama Ya Six Flying Dragons Ambacho Kilikuwa Kikihusika Kwenye Mission Mbalimbali Za Mauaji Ya Watu Mashuhuri Na Kui-Control Serikali Behind The Scenes.
Mimi naona wamechukua kwenye empress Ki tukianza na huyu Jukbang, Misaeng, Hajong(lilikuwa linadeka hili) na mwingine sijui nani yule nimemsahauKama umegundua director ni huyohuyo ndio maana kawatumia characters wengi kutoka kwenye Jang Geum na akaendelea nao kwenye Dong Yi.
Artist Yi ana vituko sana na ile michoro yake ya magendo hahaaaaaa ila mimi namkubali yule mzee mwenye macho makubwa Uncle ake na Da Esu, mahusiano yake na yule mama wa bar huwa nacheka hata kabla hawajaongea.
Ila hakuna drama ambayo nimewahi kucheka kuzidi Queen Seondeok, Jukbang na rafiki yake Godo walijua kunipa afueni baada ya matukio mengine ya huzuni.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi naona wamechukua kwenye empress Ki tukianza na huyu Jukbang, Misaeng, Hajong(lilikuwa linadeka hili) na mwingine sijui nani yule nimemsahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kuanz kuangalia drama ya temptation of an angel kwa yoyote anae ijua iko vzur?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh sawa, nitazitafuta niangalieHapana dear, drama tulizokuwa tunaziongelea ni za muda kidogo kabla ya Empress Ki.
Drama nilizoziongelea mimi ni The Great Jang Geum (2003/4) Yi San (2007) na Dong Yi (2010) while hiyo Empress Ki ni ya 2014.
Drama hizo 3 zote zimekuwa directed na Director mmoja ambaye namkubali sana yule mzee, kama ujuavyo director ndiye hupanga characters ndio maana wengi wamejirudiarudia ktk drama zote 3.
Pi Jukbang hayupo ktk drama zote 3 hapo, ziangalie ukipata muda, ni nzuri sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sidhani Kama Nilikua Mmoja Wao!hii laana ya thread hata mimi pia inaendelea kuniandama na kila ninapojaribu kuitelekeza huwa nashindwa, baadhi ya nyakati naweza kutafuta kisingizio chochote ili nisiweze kutembelea humu ndani lakini wapiiii naishia kuchukua wiki moja hadi mbili then narudi uchawini.
baadhi ya nyakati nikiwa likizoni nakutana na notification za wadau mbali mbali hivyo basi nashindwa kuwapuuzia,
baadhi ya nyakati naandika then nafuta, comment zangu nyingi za mwanzoni nimeshazifuta.
kali zaidi kuna siku nilikwishafikia maamuzi ya kuwablock baadhi ya wadau muhimu wanaotembelea hii thread, niliamini kufanya hivyo kutaniwezesha kutokuwa na mawazo ya kutembelea humu ndani, nikatafakari nikaona yatakuwa ni maamuzi ya kipumbavu zaidi ulimwenguni.
nilichojifunza ya kwamba ili niweze kuachana rasmi na ulimwengu wa korea ni lazima nipate starehe nyengine itakayoniburudisha zaidi, bahati mbaya kwa sasa sijakutana na starehe pendwa kama hiyo.
hivyo basi mkuu endelea kuwa mlevi wa hii thread mpaka mapafu yako yaharibike au peleka malalamiko JF uzi huu usiwe pinned.
Nipo Apa Ahjussi...Son Seung Won receives final court sentence of 18 month in prison for hit-and-run DUI with no license
View attachment 1068889
- On April 11, the Seoul Central District Court in Seocho District gave Son Seung Won his sentence after arresting him for dangerous driving under the Additional Punishment Law on Specific Crimes and violating the Road Traffic Act by driving drunk and without a license.
- The judge Hong Ki Chan said, “The defendant has already been fined for two incidents of drunk driving. Despite not taking care of the accident after the DUI incident last August 3, he was indicted again for driving drunk without a license and fleeing after causing an accident on December 26.”
- the court's final ruling regarding Son Seung Won will be a sentence of one year and 6 months in prison. The star will be given a week's time to submit any appeals. However, in the case that he chooses not to appeal and serve his sentence, Son Seung Won will no longer be able to carry out his mandatory military service as an active duty soldier, according to South Korean law.
- Song Seung Won stated, “During the 70 days I was imprisoned, I deeply reflected on my actions. I will never make this mistake again. I’m sorry to the victims who were injured.” It was also revealed that he had been receiving treatment for his panic disorder for one year and taking medication while serving his sentence. This is the fourth time Son Seung Won has been caught driving under the influence.
aminas ahjumma where are you?
nikikumbuka vituko vyake na upole wake ndani ya season 1 ya waikiki drama nashindwa kuamini ya kwamba jamaa ni mzembe aliyepitiliza, hivi unafanyaje kosa moja mara nne?
ule uzi wa jela ulioanzishwa humu JF anapaswa aupitie ili apate elimu ya gerezani.
safari njema huko keko bwana wewe uliyepewa kipaji cha kuigiza na kuimba lakini ukajinyima kipaji cha kujirekebisha pindi unapokosea, mambo haya ya kuendesha gari huku umelewa njoo ufanye huku kwetu sudan ambako rais wetu anawambia watumishi wake wagonge bangi kisirisiri.