Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Ooh kama sina sasa
kama unatumia PC jaribu kutembelea link nilioiweka hapo juu baadae utachagua try internet download manager for free.

utaifanyia installation setup yako ndipo baadae utaianza kuitumia kwa siku 30 lakini kabla ya siku hizo kufika wataanza kukuletea ujumbe wa kukutaka ufanye usajili wa software yako.
Ili kuepusha hayo jaribu kuwatafuta wajuzi zaidi wapate kukusaidia kupata idm software iliokuwa cracked.

unaweza kutembelea link hii ukawaomba wajuzi wakupe msaada au unaweza kutembelea jukwaa la teknolojia wapo wataalamu zaidi wasiokuwa na chembe ya roho mbaya.


usisahau kuwa na browser mfano wa chrome, mozilla au brave browser.​
 
Ahsante Chinguya..

Uko Poa!?
uyo bwana haji manara bin wivu kwa mashabiki wa yanga lia lia ndiye aliyekufanya ujipotezeshe kwangu namna hiyo?
tafadhali usiniambie ya kwamba mimi ndiye niliyeanza kukufukuza ndipo ukaamua utafute mwengine wa kukupozea machungu.

omo omo omo, utanifanya nijinyonge nikiwa mtupu kama nilivyozaliwa kwenye mkarafuu uliojaa siafu bichwa aina ya Maricopa harvester ant kwa kuipoteza nafasi adhimu ya kuwa na mahusiano ya kirafiki lakini na beautifully ahjummaa from kolomijee wanakotokea wasafi watupu wasiovaa nguo zenye kutoa harufu mbaya siku ya mkutano wa SADC.

nimekumisi mjinga wewe mpaka nimejikuta nayakumbuka mashairi ya gwiji wa muziki wa taarabu asilia marehemu maulid machaprala, Mungu amlaze pema peponi kupitia wimbo wake unaoitwa wacha waseme aliouimba kupitia kikundi cha Ikhwani Safaa Musical Club .

wacha waseme sina budi nawe , sikhofu lawama sababu ya wewe
ungekuwa nyoka niradhi uniuwe , seuze ndege tausi wache walalame
ungekua nyoka(haijalishi black mamba), sumu yako dawa, damu husafika maradhi hupoa,

uzuri hakika wewe umepewa , siwezi kwepuka liwe litokuwa
nimefunga nia katu sibadili, hapana khatia (makosa) kupenda jamani
hiyo ni tabia, pasiwe na suali, nimeridhia na nimekubali

jumamosi njema jamani najihisi kama nimetoka kifungoni baada ya takribani wiki mbili za kibabe.
daresalama vipi sisi wengine tunaovaa nguo siku 7 kama mama aliyejifungua tunaweza kuja huko?
 
😣😣.

Yaani Najihisi Hata Kutoa Chozi!

Thanks Chinguya Wangu, Nimekumisi Nami Sana Sana Tu......Mambo Tu Ya Dunia Yakiwa Mengi na Magumu Inabidi Ugande Kwa Muda.

Ila Una Maneno Sana....

Shuklani Sana.
 
Hahaha Drama ya Jeong Do Jeon na Great King Sejong
zilikuwa zinaendana na maandiko ya kihistoria.

Mh! Wacha niendelee na Wang Guhn.
utofauti mkubwa niliouona kupitia hiyo drama ya emperor wang guhn kati ya waigizaji wakuu ni kwamba bwana wang guhn alizungukwa zaidi na wanadamu ambao walikuwa na fikra hai zilizomfanya wang guhn afanikishe malengo yake kwa urahisi zaidi,

jaribu kufikiria takribani asilimia kubwa ya magwiji wa elimu tofauti walikuwa upande wa bwana wang guhn ukimlinganisha na mfalme kyuhyun.

choi ung = aliingia serikalini akiwa na miaka 14 ya kuzaliwa nyakati za utawala wa gong yae, alikuwa ni zaidi ya genius aliyefanikiwa kusoma machapisho mbali mbali ya kielimu akiwa na umri mdogo sana, alikuwa ni nguzo kubwa sana ya fikra na ushauri kwa bwana gong yae hadi kwa bwana wang guhn. Choi ung alifariki akiwa na miaka 35 na kifo chake kilimwachia maumivu makubwa sana bwana wang guhn kwa sababu aliondokewa na kipenzi chake haliyakuwa bado hawajafanikisha ndoto yao ya kuziunganisha three kingdom.

choi jimong = huyu bwana mdogo nayeye alikuwa ni zaidi ya genius kwenye elimu ya nyota hadi nimebaki najiuliza hivi wanadamu kama hawa wapo kweli nyakati hizi au wamebaki wale wale jamii ya sheikh yahya husseni.

hakuna ndoto hata moja au utabiri aliowahi kuufanyia tafsiri ikawa kinyume chake, kuna vita fulani kuanzia episode za 150 alimtabiria bwana wang guhn atakutana na dhoruba kali sana hatimaye ikawa ni kweli ndipo wang guhn akaanza kuufanyia kazi ushauri wake,

kuna vita nyengine bwana wang guhn alipigwa na jeshi la baekje pona yake aliamua kutafuta nguo za wanajeshi wa baekje ili apate kukimbia na hatimaye mavazi yake ya kifalme akavalishwa rafiki yake wa karibu waliekula pamoja kiapo cha undugu (jina namuhifadhi kwa sasa).

kilichotokezea wanajeshi wa baekje wakamkata hyung nim wakidhani kuwa ndiye wang guhn, hasira zake bwana kyuhyun aliamua kumkata kichwa hadharani kwa hasira na kuitupa maiti yake.

bwana wang guhn alipofanikiwa kuiona maiti ya ndugu yake aliporudi mji mkuu alitoa amri ya kuchinjwa kila mwananchi mwenye asili ya makabila yaliovunja uaminifu kwake pamoja na koo zinazotokea taifa la baekje.

tukio hilo ndio pekee lililorikodiwa kwenye vitabu vya kihistoria katika tawala yake kuwa ni tukio la mauaji ya kinyama kulifanya bwana wang guhn

bila ya kumsahau millitary advisor bwana tae pil nayeye pia alikuwa ni zaidi ya genius, kuna vita fulani nayo pia ilirekodiwa kwenye vitabu vya kihistoria inasemekana jamaa alitabiri ndani ya siku saba zijazo upepo utabadili muelekeo baharini hivyo basi goryeo wasianzishe kampeni ya vita kwa siku saba mfululizo kufnaya hivyo wataipa faida baekje kwa sababu upepo kwa siku saba hizi kwa jinsi unavyovuma kimuelekeo itakuwa ni faida kubwa sana kwa baekje endapo watakaposhambuliwa.

ebwana weee alipofariki tae pil bwana wang guhn alimwaga chozi kuliko bwana yule lia lia anayekimbilia kanisani kuombewa baada ya kuanzisha vita asiyokuwa na uwezo wa kushinda
 
😣😣.

Yaani Najihisi Hata Kutoa Chozi!

Thanks Chinguya Wangu, Nimekumisi Nami Sana Sana Tu......Mambo Tu Ya Dunia Yakiwa Mengi na Magumu Inabidi Ugande Kwa Muda.

Ila Una Maneno Sana....

Shuklani Sana.
upo sahihi gharama za mafanikio ni kufanya kazi kwa bidii bila ya kukata tamaa haijalishi umefanikiwa au kinyume chake.
endelea kupambana mpaka uifikie njia inayoitwa mafanikio uliojiwekea kuipita siku za mbeleni ukiwa na usafiri wa gharama zaidi ya lamborghini.

hivi nimemzidi haji manara kwa maneno ya ovyo dhidi ya timu inayopendwa na baba yangu kipenzi yanga afrikans.
 
Halaf unajua nini mkuu
Wewe na Daemusin ni mtu mmoja ID mbili tofauti
Ni mawazo yangu tu wala usimind
hapana, hapana, hapana sina uhusiano wowote na ID ya franc the great.
siku utakayofanikiwa kuiona ID ya roy kim
humu ndani au pengine popote basi ndio utakuwa umeiona sura nyengine mbaya ya daemusin iliojaa chunusi na vipele vingi kama mkate wa ufuta.
 
Ndomana Hua Unaipiga Vita Simba Kumbe We Yanga Hongera Na Jezi Zenu Nzuri Sana.

Ndio Maneno yako yanafanana Nayake.
 
nashabikia mtibwa sugar tokea nyakati za mshambuliaji machachari abdalla juma
Muongo! We Mshabiki wa Yanga Ndomna Vijembe Vyako Hua Vingi! Nalipia Bot na Pakulala J4 Njoo Ukione Kikosi Cha Dunia.
 
  1. Monday Kiz feat punch = another day
  2. 10 cm = lean on my shoulder
  3. taeyeon = a poem called you
  4. yang da il = only you
  5. heize = can you see my heart
  6. chung ha = at the end

daebak, ndio kwanza episode ya 7 tokea hotel del luna ianze kuonyeshwa cha kufurahisha kila episode imekuwa na wastani wa kubeba original sound track a.k.a ost.
mara ya mwisho kuangalia drama iliyobeba ost nyingi ilikuwa ni mr sunshine drama.

nilikuwa nasoma habari muda huu nimekutana na taarifa ya kuongezeka kwa waimbaji wengine watakaoimba ost ambao ni Paul Kim, na Gummy.

huyu director Song Dong Woon ambaye ndiye muhusika wa hizi ost ndani ya hii drama anaonekana ni hodari sana, amefanya kazi kwenye drama kama vile descendent of the sun, scarlet heart ryeo pamoja na its okay thats love.

mara paaaap ametuletea davinchi, baek zi young na sauti ya the one.
 
Kang Ji Hwan Reportedly Hires New Lawyers From Big Law Firm In Preparation For Sexual Assault Trial

According to reporting by Star News, Kang Ji Hwan has hired four lawyers from law firm Lee & Ko ahead of his trial on quasi-rape and quasi-indecent acts by force. The actor had previously been releasing his statements through the law firm Hwa Hyun, but he appears to have hired new legal representatives from a bigger law firm for the trial.

Lee & Ko is one of the six biggest law firms in Korea. They recently took on cases for former Korean Air executive Cho Hyun Ah, and her mother and Ilwoo Foundation’s director Lee Myung Hee, who was charged with employing illegal immigrants for housework and unlawfully important brand-name products from overseas.


Kang Ji Hwan’s trial is expected to begin this month. His charges involve quasi-rape and quasi-indecent acts by force on two women who were sleeping in a room after sharing drinks in his home. The police arrested Kang Ji Hwan after they received a report from one of the victims, and Kang Ji Hwan admitted to the majority of charges, but stated he didn’t remember anything after they had drinks. On July 25, the police formally charged Kang Ji Hwan with sexual assault.
 
Jung Kyung Ho In Talks For New Medical Drama By “Reply” Series PD Shin Won Ho
On August 2, a source from tvN stated, “There were conversations about Jung Kyung Ho appearing in ‘Doctor Playbook,’ but at the moment he is focusing on another project so it’s hard to say that he’s confirmed [for the drama].”

Doctor Playbook,” which is set to be directed by “Reply” series and “Prison Playbook” PD Shin Won Ho, is a humanistic medical drama that tells the stories of doctors and patients in an emergency room. The drama will reportedly feature four male leads and one female lead, and currently Jo Jung Suk and Yoo Yeon Suk are also in talks to star.

Jung Kyung Ho starred in tvN’s “Prison Playbook” in 2017, and is currently appearing in tvN’s Wednesday-Thursday drama “When the Devil Calls Your Name.”

 
KBS considers suspending Mon-Tue dramas due to 100-billion-won loss

Having an expected business losses of up to 101.9 billion won, KBS is considering temporarily suspending the broadcast of Mon-Tue dramas.
On August 2, a source from KBS told OSEN, “We are currently reviewing whether or not to temporarily suspend dramas in the Monday-Tuesday time slot.”

A report earlier that day had stated that KBS would no longer be airing Monday-Tuesday dramas from December 2019 to February 2020. This would mean that “Tale of Nok-Du,” which stars Kim So Hyun and Jang Dong Yoon and premieres in September, would be the last drama to air in that time slot before 2020.

The other two major public broadcasters, MBC and SBS, have already made the decision to temporarily suspend the Monday-Tuesday drama time slot.

MBC will no longer air TV dramas on Monday and Tuesday after the end of “Welcome 2 Life” (the drama premieres on August 5).

SBS has already stopped airing Monday-Tuesday dramas after the end of “The Secret Life of My Secretary” in June, choosing to air variety shows in that time slot instead.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…