Jamanii.si wanasema ndege wanao fanana huruka mti mmoja
kumbe hufai kuwa rafiki yangu.
hatuendani
hatulingani
rasmi nimevunja urafiki na mvivu wa kuangalia drama......
Unavyosemaa Kulingana Unamaanisha?si wanasema ndege wanao fanana huruka mti mmoja
kumbe hufai kuwa rafiki yangu.
hatuendani
hatulingani
rasmi nimevunja urafiki na mvivu wa kuangalia drama......
aaaahhh! wapi?Jamanii.
We Ni Chinguya Wangu Hizi Drama Zimekua Kiunganishi Tu.
Huu Mwaka Kiukweli Nimekua Mvivu Sana Kuunywa Huu Urabu.
InshaAllah Nitajitahid Nikukimbize Hili Tufanane Kabla Mwaka Kuisha.
mbona sentensi ni nyepesi kuliko yule mjapani wenu.Unavyosemaa Kulingana Unamaanisha?
Hahahahahahahaha.aaaahhh! wapi?
zimebaki siku moja tumalize mwaka
utaweza kweli kuangalia drama 20 kwa siku hizo...
you are not my chingu
unaye mwengine anayekufanya uwe mvivu.
Dah, Mjapani Yupi?mbona sentensi ni nyepesi kuliko yule mjapani wenu.
Nimeangalia Episode 14 (VIP) Kwa Siku Moja.aaaahhh! wapi?
zimebaki siku kumi na moja tumalize mwaka
utaweza kweli kuangalia drama 20 kwa siku hizo...
you are not my chingu
unaye mwengine anayekufanya uwe mvivu.
yes, binadamu hatufanani kimajukumu...Hahahahahahahaha.
Wala Mambo Mengi Tu.
takumi minamino kutoka salzburgDah, Mjapani Yupi?
Tunaongoza Nguvu, Wale Wawil Wa Chini Yetu Wasitusumbue.takumi minamino kutoka salzburg
Kamshmnida Kwa Kunielewa.yes, binadamu hatufanani kimajukumu...
wengine wanafanya kazi masaa 12
wengine ni kula kulala
wengine mama cha kwangu nikafunue wapi
wengine hupati chakula kama hujakitafuta
ili mradi maisha yetu ya kidunia yamezungumzwa na mitihani kwa kila upande
mwaka wenu huuTunaongoza Nguvu, Wale Wawil Wa Chini Yetu Wasitusumbue.
zikifika nyakati zangu na wewe uje unielewe tafadhaliKamshmnida Kwa Kunielewa.
Usijali Chingu.zikifika nyakati zangu na wewe uje unielewe tafadhali
Hahahaha,mwaka wenu huu
sisi wengine acha tuwanie mifupa ya nafasi ya 4
ππ Hatuchekani sana, maana kwenye listi yangu ya Drama 16 zenye Episode kama milioni moja imeongezeka "PRINCESS MAN" ambayo ni fupi kwelikweli( 24).JUMLA = DRAMA 35.
wazee wa age of warriors munaonekana ni joblessπππππ Hatuchekani sana, maana kwenye listi yangu ya Drama 16 zenye Episode kama milioni moja imeongezeka "PRINCESS MAN" ambayo ni fupi kwelikweli( 24).
Utakuta mtu anaangalia Drama ya Ep. 60 ana lalama, kwani siye tunaoifuatilia WANG GUN ep. 200 na AGE OF WARRIORS ep. 158. Sio watu? au ndio vichwa vimetofautia linapokuja suala la kuimudu pombe na Bange.
πππππwazee wa age of warriors munaonekana ni joblessπππ
ππ Looh!, kwani hujui huku kwetu Pyeongyang ma- jobless nao wanamishahara yao na mafao yao?, ohooh!! Wadhani bila hivo wangesavaivu vipi kwenye Dunia ambayo shida zake nyingi hutatuliwa kwa Fedha?wazee wa age of warriors munaonekana ni joblessπππ