Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

nilitokea kumpenda sana huyu mwanadada kwenye ile drama ya IRIS
 
Kitu kilichoniboa Tena Sana msanii wangu ninayempenda Ha ji won yule demu star kwenye series ya The empress ki unaenda kumpa series yakipuuzi ya chocolate badala ya kumweka kwenye action ambapo watu wengi tunampenda uko ni kumchafulia CV yake na sijui kwanini na yeye kakubali kucheza series ya ovyo Kama hii.
 
Ukitoa empress k Je,Ulishamuona kwenye drama ngapi za action?
 
Ni nzuri na wadau wengi wameipenda.

Ila haikujikita sana katika kuuonesha upande mbaya wa Jang Ok Jung na mabaya yake kwa ujumla katika historia yake kama ilivyowasilishwa katika drama ya Dong Yi.
Aaah! Ok, Kwa mtazamo wako Kati ya Jang Ok Jang na Dong Yi ipi kali?, na je, Dong Yi kwenye hiyo Drama( Jang Ok Jang) uhusika wake umeelezewaje? au ndio simba na Yanga kila mmoja anajivunia uwanja wa Nyumbani.
 
"THREE DAYS" Hii ndio Drama ya Kwanza ya Mjini kuitazama tangu mwaka 2017 nilipoitazama "FASHION KING".

"THREE DAYS"
Ndio Drama ya kwanza ya mjini kuitazama Online.

Kiukweli ni bonge la Drama wacha ni enjoy my coke, ndio kwaaanza niko Episode ya 2.

Karibuni sana hapa kwetu Pyongyang ila sharti unapoingia Nchini kwetu, Utaulizwa maswali mengi ila lifuatalo ni miongoni mwa mengi utakayoulizwa. " NCHI YETU ITAFAIDIKA VIPI NA UJIO WAKO? UTAFANYIA NINI NCHI YETU KWA UWEPO WAKO HAPA ILI UWE KUMBUKUMBU"
 
Mmmh hamna cast unayemjua? Ukimpata ni rahis kugoogle.
Nimefikiria the last empress ila naona sio
Naomba mnipe jina la hii series ni ya 2019 inahusiana Sana na mambo ya ndoa kuna mdada apendezewi na ndoa yake na mumewe so anaamua kumwambia kabisa kwenye simu mumewe anaenda kumcheat baada ya mumewe kumuuliza upo wapi ili aje amchukue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…