Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Aiseee haya hii hapa imekubaliView attachment 1358348nayo ipo playstore. Udhaifu wa hii maringo,inapenda uwe unaifatilia mara kwa mara pale unapodownload drama,inavuta episode tatu kwa wakati mmoja
Asante Sana kwa msaada wako.Issue hapo iliyobakia nieleze namna ya kudownload tu drama yangu kwenye website ya dramacool kwa kutumia hiyo app.
 
Ukishaivuta application,ingia hapo juu type dramanice itakupeleka huko google ingia dramanice search damo. Kisha click episode ya kwanza,ikija videoclick hako kamshale ka pink,itakupeleka hapa,umeona hivyo viboksi vinne,chagua hicho cha kwanza,achana na hicho cha pekee juu
Ukichagua hicho cha kwanza itakupeleka hapa. Hakikisha wakati inakupeleka hapa. Juu yake yatokee maandishi gcloud.live. Yakitokea mengine jua ni tangazo stopisha kwenye herufi X inayokua mbele ya hayo maneno(chunguza utaelewa)
Ukifika hatua hio pichan unabonyeza download unasuburia namba mpaka ziro itakuja 360 unaibonyeza,mshale wa application utabadilika rangi utaubonyeza mzigo utaanza kushuka.Nasubiria mrejesho
Asante Sana kwa msaada wako.Issue hapo iliyobakia nieleze namna ya kudownload tu drama yangu kwenye website ya dramacool kwa kutumia hiyo app.
 
Kwanini Huwa Unafuta Unachokiandika??

Unaipenda Sana Simba Sema Ndo ivyo Unajaribu Kuficha Hisia Zako Nakuamua Kuzitoa Kupitia Mtindo Huu.
ni kwa sababu mimi ndiye muandishi (kumbe na wewe unachukia basi pole sana)

niliwahi kushabikia simba kabla ya kuzaliwa kwako ila kwa sasa sina mzuka na soka la afrika...
ni bora niangalie kirikuuu ni mdogo lakini ana akili
 
ni kwa sababu mimi ndiye muandishi (kumbe na wewe unachukia basi pole sana)

niliwahi kushabikia simba kabla ya kuzaliwa kwako ila kwa sasa sina mzuka na soka la afrika...
ni bora niangalie kirikuuu ni mdogo lakini ana akili
Hahaha Mi Mkubwa Wako.
Unazoniquote Usifute.
 
Shukulani
 
nataka niwe mwalimu wako lakini sharti haji manara asiwepo darasani ninapoamua kukusomesha.

nimezaliwa mwaka wa njaa ya karume...... mwenzangu ulizaliwa mwaka gani?

nitafanya hivyo, ukichelewa kujibu kama kawaida nazifuta
Kunifundisha Kuandika Ama!? Kunifundisha Kufuta!?

Uyo Haji Mi ata Simjui! Namfahamu Tu!
Unajikuta Mkubwa Eti. Inawezekana Unachati Na Umri Sawa Na Mama Mzazi.
 
kuandika kiswahili na kiingilishi unajua ila zipo lugha nyengine hujui kuandika......

ok sitomtaja tena Haji manara

ok, sitoleta tena habari za umri (kitisho chako kimenisambaratisha)
Unataka Nifundisha Nini!?
 
kuandika kiswahili na kiingilishi unajua ila zipo lugha nyengine hujui kuandika......

ok sitomtaja tena Haji manara

ok, sitoleta tena habari za umri (kitisho chako kimenisambaratisha)
Lugha Gani!? Kipemba au Kiunguja!?
 
Nikiandika we ni Crez Unakataa!

Sasa Umevaaje Kanzu Bila Kitu Ndani!! Hahahahaha.
joto hasira lalalaaaaaaa🎼🎼
na pesa hakuna lalalaaaaaa🎻🎻🎸🎺🎷

utavaaje nguo nne hadi tano kwa wakati mmoja kama maiti ya kizungu...

suti ya juu
suti ya chini
shati
tai
viatu
chupi
kitambaa cha kufutia jasho ukiwa kaburini
 
Please Stop.
 
Kingdom Nayo Ni Cheche,
Male Lead Nimemkubari Naye Namueke Kwenye Anga Zangu.
 
Kwa Sasa Jinsi Navyoangalia Drama Najua Mwenyewe.
Ikiisha CLO Sitakua Na On-Going Yeyote, Nataka Nianze Na Tell Me What U... Na Hii Labda Na Forest Nataka Kuianza Leo Maana Naona Inawatazamji.
 
Handsome siblings hiv ni nzuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…