Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

(1) Shopping King Louis
(2) The Smile Has Left In Your Eyes
(3) Encounter
(4) Emergency Love
(5) Because This Is My First Life



 
Kama una tumia PC,download torch browser harafu install,utapakuwa poa kabisa kupitia framanice na dramacool,
 
Haya mkuu.

Kuna mtu ananisumbua sana kuhusu Season 2 ya Vagabond, je! Kuna Dalili za Mwendelezo wake?
 
Waungwana natamani sana kujaribu kufatilia series hizi za Kikorea zinazohusu, u-spy na mavitavita tu lakini nashindwa nikiangalia moja ya pili nasinzia!
.
kamekuwa katabia hata za kizungu na China ninasinzia na bahati mbaya nijue zipo 62 au 48 ndo kabisaa nakata moto.
msaada wenu nyie mmewezaje?
 
Ukitaka kuwapenda watanzania jifunze Tamaduni zao
 
me too.....nasubiria tiketi ya simba, corona imenikosesha futari ya tambi na njugu mawe....
when my love blooms inaendelea kuniliza, kuniliwaza, kuniumiza, kunikosoa na hata kunipa moyo kwenye safari yangu,
sijui mwenzangu upo wapi muda huu?
Nipo EP.12
Maisha Ya Mahusiano Yana Siri Sana Na ni Kitu Kisichotegemewa Kuwa Hivyo Hivyo Maisha Yote.

Kila Mtu Alishaoa Na Kuolewa Kwengine Na Watoto Juu, Ila Upendo Kati Yao Bado Upo Vile Vile.

Kwaiyo Ajushi Nafasi Bdo Unayo.
 
Bila kusahau ile bookstore aliyoiona mwaka 2022 kwa CCTV camera... Yaan sijui ile record aliipata wapi hadi sasa[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Sikujua Kama Ni MKe Wa Ji Sung Duh Kapata Mrembo Hasa Hongera Zake,

Mazingira Yao, Na Nahisi Hali Ya Hewa Ya Kwao Pia Inawasaidia Japo Sina Uhakika.

Uku Mama Chanja Ukiwa Na Wawil tu Basi.

Mpendwa Wako Mbona Hajaibiwa Na Manara (Mbona Kama Kaibiwa Na We Mwenyewe) Kama Le Gon Alivyojiokoa

Na Mke Mbishi Yule Hataki Kuachia Kijiti Japo Anaona Kabisa Hawezi Kukishika Tena.
 
Sasa Naangalia When My Love Blooms Na Handsome Minoz.

Nairudia Na Jumong Kwa Mara Ya Tatu Sasa Naiangalia.
 
Ngoja tuone kinachofuata, kama binti anaihitaji kweli ndoa yake basi amgeuke baba yake na awe upande wa mume wak....
hmmmmmmmm! hata mimi nisingelichukua uamuzi huo.

kupatwa kwa kulinda ndoa,
Hata Kama Akimgeuka Sina Uhakika Kama Jae Hyun Ataendelea Kua Nae.

Nimpenda Sana Namna Walivyotuonyesha Nguvu Ya Upendo Wa Kweli Hua Pale Siku Zote.
 
Nitajaribu Sir
 
ondoa khofu muheshimiwa, captain henderson atakata kiu yenu iliodumu kwa takribani miaka 30....
corona ni kaugonjwa kadogo sana....ni mafua yanayotokana na unywaji wa maji baridi
Dah kwani Henderson anacheza peke yake?
Ila sawa tu ili mradi tunabeba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…